-->

Kesi ya Wema Sepetu Yapigwa Kalenda

Post Image

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeharisha kesi ya kutumia dawa za kulevya aina ya Bangi inayomkabili Msanii wa filamu, Wema Sepetu na wenzake hadi Julai 10, mwaka huu. Wakili wa Serikali, Elizabeth Mkunde Jumatano hii alimueleza Hakimu Mkazi Mkuu, Godfrey Mwambapa kuwa shauri hilo lilipaswa kuanza kusikilizwa mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Thomas Simba lakini […]

Read More..

VIDEO : Young Dee Amkana Mama wa Mtoto Wake

Post Image

Msanii Young Dee a.k.a Pakarasta amemkana mzazi mwenzake Mamisa na kusema hakuwahi kuwa na mahusiano naye ya kimapenzi japo kuwa wamepata mtoto kama baraka tu kwake. Young Dee amesema hayo kupitia kipindi cha 5 Selekt cha EATV na kudai kitendo kilichotokea hakikuwa katika mipango yake hivyo sasa hivi kila mmoja ana maisha yake. “Am single […]

Read More..

JPM Asema Barrick ni Wanaume, Wametubu na W...

Post Image

Rais John Pombe Magufuli (JPM) amekutana na Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni mama ya uchimbaji wa madini ya Barrick Canada, Profesa John Thornton na kufanya naye mazungumzo Ikulu leo. Amesema Barrick imepitia mapendekezo yote ya kamati ya pili ya mchanga wa madini na kuwa imekubali kulipa chochote ambacho kitaonekana wanatakiwa kulipa. “Baada ya kuwaona nilifurahi na […]

Read More..

Filamu ya Kisogo ya Gabo na Wema Sepetu Kur...

Post Image

FILAMU ya Kisogo ya mwuigizaji nyota Bongo imekamilika na inatarajia kuonekana Dunia kote kwa njia ya kisasa kabisa akiongea na FC Salim Ahmed ‘Gabo Zigamba’ anasema kuwa sinema ya Kisogo imetengenezwa katika teknolojia ya kimataifa na hivyo itaweza kubadilisha soko la filamu Bongo na kuweza kufika katika anga za kimataifa kwani ni kazi yenye mvuto […]

Read More..

Spika Awakumbusha Wapinzani Kuwa Nao Wana M...

Post Image

Dodoma. Mjadala wa bajeti umeendelea leo bungeni huku suala la mchanga wa madini likitawala sehemu kubwa ya mjadala huo. Wakati wa mjadala huo, Spika wa Bunge, Job Ndugai amewakumbusha wabunge wa upinzani wanaotaka marais wastaafu washtakiwe kuhusu sakata la mchanga wa madini, wakumbuke wanao mawaziri wakuu wastaafu wawili ambao watahusika pia. Ndugai amesema hayo leo […]

Read More..

Rose Ndauka: Msiwasamehe Wanaowanyanyasa Ki...

Post Image

STAA wa filamu za bongo, Rose Ndauka, amewatahadharisha wanawake wenzake kwamba wasiwasamehe wanaume wanaowanyanyasa kimapenzi ndani ya nyumba zao, kwa kuwa kufanya hivyo ni kujinyima haki kisheria. Rose alisema mwanamke anayejielewa hatakubali kunyanyasika awapo kwenye ndoa yake na anayeogopa ni yule asiyejitambua, bali anaishi ilimradi kaolewa. “Huwa nachukizwa sana na mwanamke anayekubali kunyanyaswa katika ndoa […]

Read More..

TID Ampa Makavu Harmorapa

Post Image

Msanii mkongwe wa bongo fleva, TID ambaye kwa sasa anapenda kuitwa jina la Mnyama, amesema Harmo ni msanii ambaye hajui muziki lakini anataka kuimba. “Harmorapa ni mtu asiyejua muziki lakini anataka kuimba,” TID amekiambia kipindi cha On The Eight cha TVE. Hata hivyo sio muimbaji huyo pekee ambaye ameonekana kutomkubali rapper huyo, wengine ni Master […]

Read More..

Khadija Kopa Afungukia Kifo cha Taarab

Post Image

Mkongwe wa muziki wa taarab, Bi. Khadija Omar Kopa amedai muziki wa wao unaonekana kama umepoteza ladha kwa sababu ya nyimbo zao kupigwa sana sehemu ya kuuza vilevi na kupotezewa katika vyombo vya habari. Khadija amezungumza hayo akiwa kwenye uzinduzi wa video ya Saida Karoli ‘Orugambo na kusema kwamba muziki wa taarabu umeshushwa na watu wachache […]

Read More..

Pesa Zamfukuza Saida Karoli Kwenye Muziki

Post Image

Mkongwe wa muziki wa asili wenye ladha ya bongo fleva, Saida Karoli amefunguka na kusema kwamba ukosefu wa pesa na mapromota waongo ndicho kitu pekee kilichomfanya apotee katika ramani ya muziki nchini. Saida amefunguka hayo baada ya ujio wake mpya kwa kuachia  video inayokwenda kwa jina la ‘Orugambo’  na kuongeza kwamba aliamua kurudi kijijini kwao […]

Read More..

Alipo Barnaba Si Levo Zake Kabisa! (Maoni)

Post Image

KUWA na kipaji ni suala moja, kukitumia ni suala la pili. Ila suala muhimu zaidi ni kuvuna matunda stahiki kupitia kipaji husika. Ni ujinga kuwa na kipaji na kuishia kupewa sifa tu. Haina maana kuwa na kipaji kikubwa ikiwa wanaofaidika ni wale wenye vipaji vya kawaida. Barnaba ni msanii mwenye kipaji kikubwa. Wengi wa wasaniii […]

Read More..

VIDEO: Shaa Afunguka Kuhusu Kolabo na Chipu...

Post Image

Malkia wa uswazi anayefanya poa kwenye game ya bongo fleva, Shaa amefunguka na kusema haoni shida kumsaidia msanii chipukizi ili kutimiza malengo yake kwani hata yeye alishikwa mkono na wasanii wakubwa pasipo kulipishwa hata shilingi mia. Akiongea kwenye kipindi cha FNL cha EATV, Shaa amesema yeye wakati anaanza muziki akiwa msanii mdogo aliweza kupata nafasi ya […]

Read More..

Chid Benz Aibuka, Afunguka Mazito, Baada ya...

Post Image

DAR ES SALAAM: HUYU HAPA! BAADA ya Mwanamuziki Rashid Makwiro ‘Chid Benz’ kupotea kwa muda mrefu kwenye gemu la Muziki wa Bongo Fleva, kufuatia kutopea kwenye matumizi ya madawa ya kulevya, hatimaye ameibuka na kufunguka mambo kibao. Akizungumza na Risasi Jumamosi hivi karibuni, Chid Benz ambaye kwa sasa yupo jijini Dar akitokea Zanzibar alikokuwa amekwenda […]

Read More..

Jay Moe Akiri Kuwa-diss Hawa

Post Image

Mkongwe aliyerudi kwenye game kwa kasi nzuri, Juma Mchopanga ‘Jay Moe’ amefunguka na kusema kwamba kwenye nyimbo zake alizoweza kuandika na ku-diss watumiaji wa unga ilikuwa ni njia ya kufikisha ujumbe kwa marafiki zake na wasanii kwa njia ya sanaa. Jay Moe ameweka wazi hayo baada ya kuulizwa juu ya mstari wake ‘ bora mimi […]

Read More..

Rais Magufuli apokea taarifa ya ripoti ya P...

Post Image

Leo June 12 2017 ndio ilikua siku ya Rais Magufuli kuipokea Ripoti ya pili ya mchanga wa madini ambao Makontena yake yalizuiwa kusafirishwa kwenda nje ya Tanzania.. hii video hapa chini itakukutanisha na kila alichosema na kuonyesha hisia zake

Read More..

Wema Sepetu na Gabo Zigamba Ndani ya KISOGO...

Post Image

Malkia wa filamu Bongo Wema Sepetu, ameweka bayana ujio wa filamu fupi mpya ya “Kisogo” aliyofanya pamoja na muigizaji mwenzake Gabo Zigamba, itakayo weza kupatikana kwa njia ya mtandao. Wema amebainisha hayo kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram kwa kuweka kionjo cha filamu hiyo pamoja na ujumbe huu. “Asikwambie Mtu Kuigiza Raha bwaaana… Sema ndo […]

Read More..

Wivu Utaniua – Shamsa

Post Image

Muigizaji wa filamu bongo Shamsa Ford amefunguka na kusema kwamba hataweza kukubali Mume wake kuongeza mke wa pili kama hataweza kumpa sababu maalumu kwa kuwa anaamini anamtosheleza mume wake kwa kila kitu. Shamsa amefunguka hayo kwenye FNL na kusema kuwa wivu alionao juu ya mume wake hafikirii kama atakubali kirahisi kuongezewa mke mwenza huku akiwa […]

Read More..

Wema: Ustaa ni Mateso, Niacheni

Post Image

“NAHITAJI kupumzika sasa, nimechoka kuhusishwa na mambo yasiyo na mashiko. Kwakweli nimechoshwa na ninaumizwa sana na hii hali,” ndivyo anavyosema msanii wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu. Wema ambaye ni Miss Tanzania mwaka 2006, amezua mjadala mkubwa kwenye mitandao ya kijamii baada ya clip inayosikika sauti inayodaiwa ni yake akizungumza kimahaba na mtu anayedaiwa kuwa […]

Read More..

AT Atoa Siri Kuhusu Kiba

Post Image

Muimbaji wa muziki wa mduara anayewakilisha pande za Zanzibar, Ally Tall  ‘AT’ amefunguka na kusema katika maisha yake hawezi kumsahau mwanamuziki Ali Kiba kwani pasipo kukutana naye leo hii angekuwa ni mvua samaki kwao. Akiwa kwenye heshima ya bongo fleva ya Planet Bongo ndani ya East Africa Radio, AT amesema kwamba baada ya kuahidiwa kupatiwa msaada […]

Read More..