-->

Meneja Amtetea Aslay kwa WCB

Post Image

Meneja wa Aslay, Chambuso amemtetea msanii wake huyo kuwa hajawahi kuwa na ukaribu na Alikiba. Hilo limekuja baada ya kusambaa maneno kuwa hitmaker huyo wa ‘Muhudumu’ ameingia kwenye mgogoro na WCB kutokana na ukaribu wake na Alikiba. Akiongea Ijumaa hii katika kipindi cha FNL, Chambuso amesema, Aslay hajawahi kuwa karibu na Kiba na wala hakuwa […]

Read More..

Mlela Anavyozidi Kuingiza Mkwanja Nje ya Bo...

Post Image

BAADA ya mwaka jana kula shavu la ku­cheza tamthiliya nchini Kenya kwa mwaka mmoja ambalo limeisha mwezi huu, staa wa fil­amu Bongo, Yusuf Mlela amejikuta akichekelea baada ya kupata kazi ny­ingine tena. Akipiga stori na Risasi Jumamosi, Mlela alisema ana furaha kubwa kupata kazi nyingine inayokwenda kwa jina la Nyota ambayo ni ya miezi saba […]

Read More..

Waganga Watanimalizia Pesa – Dully

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva, Prince Dully Sykes amefunguka na kusema kwamba wasanii au watu wanaokwenda kwa waganga wa kienyeji ili kufanikiwa wanaongozwa tu na tamaa na kutoridhika na kile wanakichopata. Dully amefunguka hayo alipokuwa kwenye  Planet Bongo ya East Africa radio ikiwa ni siku chache baada ya Meneja Maneno kufunguka na kudai […]

Read More..

Video : Q Chief Amtabiria Mazito Chid Benz

Post Image

Msanii Q Chief amefunguka kwa kudai ameamua kumrudisha tena mkali wa ‘free style’ Chid Benz katika ulimwengu wa muziki. Q Chief amebainisha hayo baada ya kusambaa picha mtandaoni zilizokuwa zinawaonyesha wawili hao wakiwa studio ambapo watu wengi walianza kujiuliza maswali yasiyokuwa na majibu ndani yake. “Chid Benz ni moja kati ya ma-rapa ambao wanahistoria kubwa […]

Read More..

Jina Lamtesa Aunty Ezekiel

Post Image

STAA wa filamu za Bongo, Aunty Ezekiel, ameweka wazi kwamba kipindi cha mfungo wa Ramadhan kinapofika kila mwaka hujikuta akiona aibu kula hadharani, kutokana na jina lake la Rahma alilolitumia kipindi alipobadili dini. Aunty aliwahi kubadili dini wakati alipoolewa na Sunday Demonte, anayetumikia kifungo cha miaka kumi jela huko Abu Dhabi. “Mimi ni Mkristo, ila […]

Read More..

Afande Sele Atoa Neno kwa Wavuta Sigara na ...

Post Image

Msanii Afande Sele amefunguka na kusema kama Taifa tunakila sababu ya kuendelea kuwaombea watu wanaovuta sigara na walevi wa pombe kwa kuwa kila mwaka ndiyo watu ambao wanaibuka vinara kwenye kuchangia kulijenga taifa kwa mapato. Afande Sele amesema hayo baada ya jana Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango kuwasilisha bungeni mapendekezo ya makadirio […]

Read More..

Zari Kuishi Kwenye Nyumba ya Ivan Au Diamon...

Post Image

KAMATI ya watu wanne walioteuliwa kushughulikia namna ambavyo mali za marehemu Ivan Ssemwanga zitasimamiwa, imempa mpenzi wa mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, Zari Hassan, moja ya nyumba za marehemu huyo iliyopo nchini Afrika Kusini ili aishi na watoto wake. Kwa mjibu wa mtandao wa Kenya moja, kamati hiyo iliwajumuisha Ritah Ssemwanga (dada wa Ivan), […]

Read More..

Mapenzi Kando, Nafanya Kazi – Jacquel...

Post Image

Diva wa Bongo Movie Jacqueline Wolper amesema kuwa haoni haja ya kuwa na mahusiano kwa wakati huu, japo kuwa wanaume wengi wenye pesa wamekuwa wakimsumbua kumtaka kimapenzi, na kwamba anaamini ni wasumbufu tu na hawana mapenzi ya kweli. Wolper  amefunguka hayo karibuni na kusema kwama  kutokana na upendo wa kweli anaojitahidi kumuonyesha mwanaume anapokuwanaye kwenye […]

Read More..

Mama Diamond Afungukia Diamond Kuhusishwa n...

Post Image

Baada ya kuwepo kwa story ambayo inaendelea kusambaa kwenye mitandao ya kijamii ikidai kuwa mwimbaji staa Diamond Platnumz amempa ujauzito Hamisa Mobetto na kumnunulia gari, mama mzazi wa staa huyo amefunguka. Kupitia kwenye U-heard ya XXL ya Clouds FM leo June 9, 2017 mtangazaji Soudy Brown baada ya kuwakosa Diamond na Hamisa Mobetto alipiga story na […]

Read More..

Bajeti ya Mpango Yaibua Shangwe

Post Image

Serikali  ya Jamuri ya Muungano wa Tanzania imewasilisha bajeti yake kwa mwaka wa fedha 2017/18, huku ikiwa imetangaza kufuta na kupunguza tozo, ushuru na kodi ya ongezeko la thamani (VAT) kwenye sekta mbalimbali hapa nchini. Bajeti hiyo imewasilishwa leo Juni 08, na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango ambapo amependekeza kusamehe Kodi ya Ongezeko […]

Read More..

R.O.M.A Mkatoliki Karudi, Makamuzi Yanaende...

Post Image

RAPA kipenzi cha Watanzania, Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ amefunguka kuwa afya yake imeimarika na sasa yupo tayari kupanda jukwaani kukamua shoo kama kawaia yake. ROMA ameyasema hayo leo wakati akitoa neno la shukrani kwa uongozi na wafanyakazi wa Kampuni ya Glopbal Publishers kwa kuendelea kumsapoti, kufanya naye kazi, kuboresha mahusiano yaliyo mema na kumfariji hasa […]

Read More..

Peter Msechu Atangaza Kununua Nyimbo

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva, Peter Msechu amesema kutokana na muziki wake kwa sasa kuhitaji mchango wa watu wengi ili kuwa bora zaidi amelazimika kutoa fursa kwa mashabiki wake kumuandikia nyimbo na kununua. Mwimbaji huyo ameeleza kuwa mtu yeyote mwenye wimbo mkali amtafute na wakae chini kuongea kwa ajili ya kupatana bei, lakini kiasi cha fedha […]

Read More..

Sitegemei Muziki Kuishi Mjini – Shetta

Post Image

Rapa anayewakilisha Ilala, Shetta ‘Baba Qayllah amefunguka na kudai kwamba haishi kwa kutegemea kufanya ‘show’ ndio maana maisha yake hajawai kuyumba hata kama asipotoa nyimbo kwa muda mrefu. Shetta amefunguka na kusema hizo hizo pesa anazokusanya kwenye muziki amewekeza kwenye biashara kubwa na ndogo ambazo zinamkimu yeye pamoja na familia yake na siyo ‘show’ za muziki […]

Read More..

Futari Zao Mbona Freshi Tu

Post Image

WAUMINI wa dini ya Kiislam kwa sasa wapo kwenye Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, moja ya nguzo muhimu katika imani ya dini hiyo. Hiyo ni nguzo ya nne kati ya nguzo tano ambapo waumini hujizuia kula na kunywa nyakati za mchana, sambamba na kujipinda kufanya ibada ili kufanya toba na kumwomba Mungu kuwafutia madhambi […]

Read More..

Huddah: Sitaki Kuolewa

Post Image

MWANAMITINDO maarufu nchini Kenya, Huddah Monroe, amefunguka na kusema kwamba hana mpango wa kuolewa katika maisha yake. Mrembo huyo ambaye hakauki mitandaoni, amekuwa akihusishwa kutoka na nyota wa soka wa timu ya Taifa ya Kenya na klabu ya Tottenham ya nchini England, Victor Wanyama, lakini amekuwa akikana taarifa hizo na sasa ametangaza kwamba hana mpango […]

Read More..

VIDEO: Simgandi Mume Wangu – Riyama

Post Image

Muigizaji wa filamu nchini Tanzania, Riyama Ally amekanusha zile tetesi za yeye kumganda mume wake kwa wivu mpaka katika kazi zake anazozifanya za kimuziki na kudai yeye aliombwa kufanya hivyo.     Riyama amebainisha hayo baada ya watu kumuona katika video ya muziki ya msanii wa bongo fleva Leo Mysterio ambaye ndiyo mume wake huku […]

Read More..

Mabomu Yatumika Kutawanya Bobaboda

Post Image

Jeshi la polisi mkoani Shinyinga limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya madereva Bobaboda ambao walikuwa wakiaandamana kuonyesha kupinga kitendo cha polisi baada ya dereva bodaboda mmoja kufariki wakisema kifo chake kimesababishwa polisi. Kwa mujibu wa mashuhuda wanasema tukio hili limetokea leo majira ya saa moja asubuhi hadi saa sita mchana ambapo askari polisi walikuwa wakipimana […]

Read More..

Shilole: Watoto Wangu Hawataiga Maisha Yang...

Post Image

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, amesema kwamba watoto wake hawataiga maisha wala mavazi anayovaa kwenye shoo zake wala maisha ya sanaa anayoishi kwa kuwa wanatambua yupo kazini kwa ajili yao. Shilole aliliambia MTANZANIA kwamba, malezi anayowalea watoto wake ni tofauti na maisha anayoishi yeye na watoto hao wanatambua kwamba mama yao […]

Read More..