Chuchu Nanyonyesha na Bado Nafunga

MSANII wa filamu Bongo Chuchu Hans amesema licha ya kumnyonyesha mtoto wake aitwaye Jaden, bado ataendelea kufunga Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, kwani kama ni wingi wa maziwa, atahakikisha anakula vizuri baada ya kufuturu. Akipiga stori na Za Motomoto News, alisema yeye ni Muislam anayezingatia maadili ya mfungo, hivyo kitendo cha kuwa na mtoto mdogo ambaye […]
Read More..