-->

Msimpangie Beckham- Fid Q

Post Image

Farid Kubanda ‘Fid Q’ ameshindwa kuwavumilia wabongo wanaomtusi mwanasoka David Beckham aliyeko nchini Tanzania mapumzikoni, kwa kuwaambia wasimpangie kutangaza bali wamuheshimu mtalii huyo ambaye ametumia garama zake kufika nchini na siyo ufadhili. Fid Q amelazimika kufunguka hayo kwenye Stori tatu ya planet Bongo ndani ya East Africa radio baada ya watanzania kuanza kumshambulia mitandaoni mchezaji […]

Read More..

Christian Bella Hoi Nchini Congo

Post Image

King of the best melody, Christian Bella amelazwa hospitalini nchini Congo DRC baada ya kuugua ghafla. Bella aliwasili nchini humo takriban wiki ya mbili sasa akiwa pamoja na TID ambapo tayari ameshafanya show kadhaa nchini humo. Muimbaji huyo wa Malaika Band, ameweka picha katika mtandao wa Instagram akionekana amelazwa hospitalini huku akiwa ametundikiwa drip kitendo […]

Read More..

Wagosi wa Kaya na Mwanzo Mpya Katika Muziki

Post Image

WAGOSI wa Kaya ni moja ya makundi yaliyoweka historia mkoani Tanga wakitambulika na Kibao cha Tanga Kunani na baada ya hapo wakawashika mashabiki vilivyo na vibao vingine kama Wauguzi, Tajiri na Maskini, Pole, Trafiki, Kibaka Kaokoka na Taxi Driver. Kundi hilo linaloundwa na vichwa viwili, John Evans ‘Dk. John’ na Fredy Mariki ‘Mkoloni’ limefanikiwa kwa […]

Read More..

Wema Sepetu Apandishwa Tena Kizimbani Kisut...

Post Image

Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu amepandishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo na wenzake wawili, Matilda Abass na Angelina Msigwa ambao ni wafanyakazi wake wa ndani kwa kosa la matumizi na kukutwa na dawa za kulevya aina ya bangi lakini amekana mashitaka hayo yote. Mahakama imeahirisha kesi yake hiyo na itasikilizwa tena Julai […]

Read More..

VIDEO: Jay Moe Amtetea ‘Mamu’

Post Image

Mkongwe ambaye bado anaonesha ubabe wake kwenye game Juma Mchopanga ‘ Jay Moe’ amtetea aliyekuwa msambazaji wa albamu za muziki wa bongo ‘Mamu’ na kusema kuwa hakuwahi kuwanyonya wasanii kama jinsi watu wanavyodai bali wezi walimzidi ujanja. Akizungumza kupitia eNewz ya EATV, Jay Moe amedai kuwa msambazaji huyo alizidiwa ujanja na baadhi ya maharamia wa kjazi […]

Read More..

Wolper Ataja Vitu Anavyovikumbuka kwa Aliki...

Post Image

Msanii wa filamu Bongo Jackline Wolper amefunguka mengi kuhusu Alikiba ambaye alikuwa mpenzi wake. Wolper amedai kuwa anakumbuka mambo mengi kutoka kwa mpenzi wake huyo, zaidi akikumbuka upole wake pamoja na unyenyekevu. “Mengi nakumbuka, kikubwa ni upole wake pamoja na unyenyekevu. Ni tofauti na wanaume wengine ambao nimewahi kukutana nao,” muigizaji huyo ameliambia gazeti la […]

Read More..

Alikiba Uso kwa Uso na Davido

Post Image

Mfalme wa bongo fleva Alikiba mwaka huu ameamua kuzunguka duniani kukutana na mashabiki wake na kutanua wigo wa muziki, mwezi Julai anatarajia kuanza ziara yake katika bara la Ulaya ambapo ‘show’ ya kwanza ataipiga na mkali kutoka Nigeria Davido. Katika ‘show’ hiyo ambayo itawakutanisha Alikiba na Davido itafanyika Ubelgiji na baada ya hapo mkali huyo […]

Read More..

NDANI YA BOKSI: Tunasubiri Wastaafu, Wafe T...

Post Image

Kuna wapendwa wetu wengi ambao tumebaki nao kwenye dunia hii kupitia sauti tu. Video ama maandishi yao. Ardhi inameza sana watu. Dogo Mfaume kishatangulia. Alipigania uhai wake kwa kupambana kuacha matumizi ya dawa za kulevya. Mpaka mauti yanamfika alikuwa ‘sobber house’, na aligoma kuondoka pale kurudi kitaa. Aliamini kuwa akirudi kitaa atashindwa kukwepa ushawishi wa […]

Read More..

Nash MC Auza Nakala Zaidi ya 100 Ujerumani

Post Image

MSANII wa hip hop anayetamba na wimbo wa ‘Shujaa’, Nash Mc, baada ya onyesho lake katika mji huo ameuza nakala zaidi ya 100 za kazi zake mbalimbali za muziki kwa wadau mbalimbali wa Kiswahili waliohudhuria kwenye Kongamano la 25 la Kiswahili la Chuo Kikuu cha Bayreuth, lililofanyika nchini Ujerumani. Msanii huyo kutoka Tanzania amekuwa  wa […]

Read More..

Baba Mzazi wa Afungukia Harmorapa Kukataa K...

Post Image

Baba mzazi wa msanii Athuman Omary ‘Harmorapa amefunguka na kudai kwamba mwanae huyo aligoma kujiunga na jeshi alipomaliza kidato cha nne kwa madai ya kutaka kufanya muziki licha ya kuwa tayari alikwisha tafutiwa nafasi. Bw. Omary (baba Harmorapa) amesema hayo kupitia kipindi cha Planet bongo ya EATV na kusema alipoona mtoto wake amekataa nafasi hiyo ya […]

Read More..

Jike Shupa Akataliwa Ukweni

Post Image

WAKATI akiwa na matumaini kuwa huenda naye akampata wake wa kutengeneza familia yake, muuza sura kwenye video za wasanii wa Bongo Fleva, Zena Abdallah ‘Jike Shupa’ amekataliwa na wazazi wa mwanaume aliyetaka kumuoa. Akipiga stori na Za Motomoto News, Jike Shupa alisema ataendelea kuishi na mwanaume huyo bila ndoa hata katika kipindi hiki cha Mfungo […]

Read More..

Rais Magufuli Afunguka Anavyomkumbuka Ndesa...

Post Image

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ameeleza kusikitishwa na taarifa za kifo cha Mbunge mstaafu wa Jimbo la Moshi mjini Mzee Philemon Ndesamburo kilichotokea asubuhi ya leo. Katika salamu za rambirambi alizozitoa Rais Magufuli kwenda kwa wafiwa pamoja na viongozi na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) […]

Read More..

Mrisho Mpoto Amlilia Mzee Ngosha, Anayedaiw...

Post Image

Msanii wa muziki wa kughani nchini Tanzania, Mrisho Mpoto amesikitishwa na kifo cha Mzee Francis Kanyasu aliyechora Nembo ya Taifa na kusema anatamani siku zirudi nyuma ili aweze kuongea naye tena. Mpoto amefunguka hayo kupitia ukurasa wake wa instagram kwa kudai Mzee huyo alishawahi kumsaidia kumpa wazo la kufanya video ya wimbo wake wa ‘Njoo […]

Read More..

Magari ya Kifahari Yatawala Msiba wa Mume w...

Post Image

Uganda. Magari ya kifahari yameonekana leo katika mazishi ya bilionea Ivan Ssemwanga yaliyofanyika nyumbani kwao Kayunga jijini Kampala. Ivan aliyekuwa mume wa Zari Hassan maarufu ‘Zarithebosslady’ ambaye kwa sasa ni mpenzi wa Diamond Platnumz, alifariki dunia wiki iliyopita baada ya kupata kiharusi na kuwa katika hali ya koma kwa wiki mbili mfululizo katika hospitali ya […]

Read More..

Shamsa Ford Apigia Saluti Wabongo wa Instag...

Post Image

Msanii wa filamu bongo, Shamsa Ford amefunguka mapya kwa kudai laiti watu wangekuwa wanaitumia vizuri mitandao ya kijamii basi wangekuwa wamefika mbali kimaendeleo lakini wamebakia katika kutengenezea mambo ya uongo tu. Shamsa amebainisha hayo kupitia ukurasa wake wa instagram baada ya kukerwa muda mrefu na watu wanaopenda kutumia mitandao ya kijamii kuanzisha mijadala ambayo haina […]

Read More..

Sitegemei Mwanaume Kufanya Kazi Zangu- Aish...

Post Image

AISHA Bui mwigizaji wa filamu wa kike amefunguka kwa kusema kuwa yeye katika kuandaa kazi zake za filamu hakuna mchango wowote anaotegemea kutoka kwa mwanaume bali ni kazi ya jasho lake hawezi kuandaa sinema yake na kusubiri hela kutoka kwa Pedeje. “Kazi ya utengenezaji wa filamu kwangu naichulia kama sawa na biashara nyingine, hivyo ninavyotengeneza […]

Read More..

Maajabu ya Pacha Walioungana, Wajikuta Kati...

Post Image

Jana tuliishia sehemu inayoeleza jinsi pacha hawa walioungana, Maria na Consolata, wanavyochangia hisia za baadhi ya viungo vyao. Pengine ni kuchangia huko kwa hisia za viungo, kumefanya wawe pia na hisia moja katika masuala ya kimaisha. Wawili hawa wanahisia moja ya kimapenzi. Sasa endelea… Si rahisi kufikiria maisha ya ndoa ya Maria na Consolata kwa […]

Read More..

Ivan Kuzikwa Leo, Zari Aahidi Kuwaangalia W...

Post Image

Baada ya Jumatatu hii mwili wa Ivan Ssemwanga kuagwa na kufanyiwa ibada takatifu, aliyekuwa mke wa zamani wa marehemu, Zari Hassan alipata fursa ya kuzungumza kwa mara ya kwanza. Katika misa ya mazishi iliyofanyika kwenye kanisa la Namirembe mijini Kampala, Uganda Jumatatu hii, Zari alionekana akiwa ametulia na akizungumza na wanae. Alipoitwa kuzungumza madhabahuni, watu […]

Read More..