Uchumi Umeyumba Sana – Mzee Yusuf

Aliyekuwa mmiliki wa band ya Jahazi Modern Taarab, Mzee Yusuf amefunguka na kusema toka ameamua kuachana na biashara ya muziki na kumrudia Mungu maisha yake yameyumba sana lakini amekuwa na amani, furaha na maisha hayo kuliko kipindi cha nyuma. Mzee Yusuf amesema wakati anafanyakazi ya muziki alikuwa na maisha bora sana na kufanya vitu ambavyo […]
Read More..