-->

Uchumi Umeyumba Sana – Mzee Yusuf

Post Image

Aliyekuwa mmiliki wa band ya Jahazi Modern Taarab, Mzee Yusuf amefunguka na kusema toka ameamua kuachana na biashara ya muziki na kumrudia Mungu maisha yake yameyumba sana lakini amekuwa na amani, furaha na maisha hayo kuliko kipindi cha nyuma. Mzee Yusuf amesema wakati anafanyakazi ya muziki alikuwa na maisha bora sana na kufanya vitu ambavyo […]

Read More..

Sura za Wanaume Hazinisumbui- Shamsa Ford

Post Image

MREMBO anayefanya vyema kwenye filamu nchini, Shamsa Ford, ameibuka na kuwataka wasichana wenye majina kuacha kuchagua wanaume wa kuwaoa kwa sura zao bali waangalie tabia zao. Shamsa alisema wasichana wengi wamekuwa na tabia ya kupenda wanaume kwa sura zao, lakini yeye anashauri waangalie tabia zao. “Natoa ushauri huu kwa wanawake wezangu hasa hao wanaojiona mastaa, […]

Read More..

P-Funk Majani Atoboa Siri ya Kupumzika Muzi...

Post Image

Mkongwe katika utayarishaji wa muziki bongo, P. Funk Majani ameweka wazi chanzo cha kupumzika kwa muda mrefu katika uandaaji wa muziki wa bongo fleva ni maslahi madogo ambayo hayakuwa na manufaa kwenye maisha yake. Majani amefunguka hayo kwa mara ya kwanza ndani ya Planet Bongo ya East Africa radio na kusema kwamba alilazimika kuachana na muziki […]

Read More..

Kiingereza Kikwazo Kwetu- Jaqueline Wolper

Post Image

MSANII wa filamu nchini, Jacqueline Wolper, ameweka wazi kwamba wasanii wengi wa Tanzania wanashindwa kufanya filamu na wasanii wa nje kwa sababu hawaifahamu vyema Lugha ya Kiingereza. Wolper alisema kwake lugha ya kiingereza ni changamoto kubwa ndiyo maana hawezi kufanya filamu za kushirikiana na wasanii wa nje kama baadhi ya wasanii wanavyofanya. “Wasanii wachache ndio […]

Read More..

Msanii Sio Malaika – Irene Uwoya

Post Image

Malkia wa filamu Bongo, Irene Uwoya amefunguka kwa kusema anachukizwa na tabia za baadhi ya mashabiki waliopo mitandaoni kushindwa kutoa ushauri kistaarabu na badala yake kuanza kuwashambulia kwa kuwatukana. Uwoya ameeleza hayo baada zile kelele za wasanii wengine kudai mashabiki zao ndiyo wamekuwa vinara katika kuwakosoa pindi wanapokuwa wame-post kazi zao hata muda mwingine maisha yao […]

Read More..

Avamia Mghahawa Zanzibar na Kuchoma Watu vi...

Post Image

Zanzibar. Watu sita wakiwemo wanne raia wageni kutoka nje ya Tanzania wamejeruhiwa vibaya kwa kuchomwa na kisu usiku wa kuamkia leo katika mgahawa wa Lukman Mkunazi Mjini Zanzibar. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, Hassan Nassir Ali alizungumza na waandishi wa habari jana ofisini kwake leo amesema kuwa tukio hilo limetokea saa 1:20 […]

Read More..

Irene Uwoya Ala Shavu la Ubalozi

Post Image

Staa wa bongo movie, Irene Uwoya amepata dili la kuwa balozi wa kampuni ya simu ya Itel. “Napenda ni mshukuru sana MUNGU wangu kwa kunipenda…natoa shukrani Zangu za dhati kwa viongoz wangu wa itel kwa kuniamini na kunichagua Kuwa balozi wao… Itel ni simu nzuri sana tena kwa wale wapenda self Kama mim hiii Ndio […]

Read More..

Rais Magufuli Amwondoa IGP Mangu, Simon Sir...

Post Image

Dar es Salaam. Rais John Magufuli amemteua Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon Sirro, kuwa Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP). Taarifa iliyotolewa na Ikumu muda mfupi uliopita inasema aliyekuwa IGP, Ernest Mangu, atapangiwa kazi nyingine. Taarifa iliyotolewa na katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi, inaeleza kuwa Sirro ataapishwa kesho Jumatatu […]

Read More..

Mfanyabiashara Ivan Semwanga Kuzikwa Uganda...

Post Image

Mwili wa mfanyabiashara Ivan Don Ssemwanga ambaye ni mzazi mwenza na mama watoto wa Diamond, Zari the Bosslady aliyefariki Alhamisi hii nchini Afrika Kusini alipokuwa akitibiwa utasafirishwa Jumapili hii kwenda nyumbani kwao Uganda kwaajili ya mazishi kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na familia. Mjomba wa marehemu, Herbert Luyinda ameviambia vyombo vya habari nchini Uganda kwamba […]

Read More..

Namuona Harmorapa Akizidi Kupepea (Maoni)

Post Image

BADO ni underground, lakini anajulikana! Wengi tumemjua kwa sababu tu anafanana sana na msanii mwingine wa Bongo Fleva, chipukizi anayeelekea kukua, Harmonize. Harmonize yeye ni msanii anayefanya poa akiwa na Lebo ya WCB, chini ya Nasibu Abdul ‘Diamond’ ambaye uwezo wake na mafanikio yake kwenye muziki huo ni mkubwa na mfano wa wasanii wa Bongo […]

Read More..

Wolper Awachana Wavaa Nusu Uchi (VIDEO)

Post Image

Mwigizaji Jacqueline Wolper amefunguka na kuwataka watu maarufu kujiheshimu na kuvaa nguo kulingana na mazingira kwani kuvaa nguo ambazo hazina staha inaweza kupeleka kukosa kazi au hata heshima yao kushuka. Wolper alisema hayo kupitia kipindi cha eNewz na kudai japo hawakatazwi kuvaa nguo nusu uchi lakini si jambo jema, na kusema mtu unapovaa nguo za […]

Read More..

Wasanii Vinara kwa Ushirikina Watajwa

Post Image

Meneja wa wasanii wa bongo fleva maarufu kwa jina la Meneja Maneno, amefunguka na kusema wapo wasanii wengi Bongo wanaamini ushirikina na kukiri kuwa wapo wasanii wengine ambao yeye mwenyewe aliwapeleka kwa waganga wa kienyeji kwa ajili ya kuroga. Meneja Maneno aliyewahi kuwa meneja wa Diamond Platnumz, Rich Mavoko, Sam wa Ukweli na Nay wa […]

Read More..

VIDEO:Nitaenda Uganda Kumzika Ivan – Diam...

Post Image

Muimbaji huyo amesema hayo mbele ya wanafunzi wa Chuo kikuu cha Nairobi, katika kipindi cha The Trend kilichokuwa kinaruka moja kwa moja kupitia runinga ya NTV. “Kiukweli umekuwa wakati mgumu na mpaka sasa umekuwa wakati mgumu, nilikuwa nipo booked muda kidogo kuhusiana na msiba umetokea, sasa kucancel to ghafla show ya watu unajua inawezekana ukapata […]

Read More..

Mzee Yusuph Ataka Nyimbo Zake Zifutwe

Post Image

Aliyekuwa mfalme wa muziki wa miondoko ya pwani ‘taarab’, Mzee Yusuph amewataka watu wote waliokuwa na nyimbo zake kwenye simu wafanye hima kuzifuta kwa madai wakiendelea kuzisikiliza watampatisha dhambi katika hilo. Mzee Yusuph amefunguka hayo ikiwa ni masaa machache yamebakia kwa waumini wa dini ya kiislamu kuanza ibada yao ya kufunga mwezi mtukufu wa Ramadhani. […]

Read More..

Jinsi mume Alivyomuua Mke kwa Risasi na Yey...

Post Image

Mwanza. Mtoto Ester Maxmilian (17) ameelezea vifo vya wazazi wake waliofariki baada ya baba yake kumpiga risasi mama na yeye kujipiga risasi. Wawili hao ni Maxmilian Tula (40) aliyejipiga risasi kifuani baada ya kumpiga risasi tatu mkewe Teddy Malulu (38) huku chanzo vifo hivyo kikiwa na utata. Wanandoa hao wamezaa watoto wawili, Ester na Grace […]

Read More..

Bongo Movie Full Kutishana Tico Atumiwa Sms...

Post Image

KUFUATIA kuyumba kwa soko la filamu na kufanyika kwa mikakati mbalimbali ya kutafuta suruhu la kuokoa soko hilo lilopotezwa na filamu za nje, sasa wasanii na watayarishaji wameanza kutishana wao kwa wao ikiwa kuambiana watafapotezana katika tasnia ya filamu. Mmoja kati ya watayarishaji wa filamu Bongo Timoth Conrad ‘Tico’ aliposti katika ukurasa wake andiko na […]

Read More..

Mbasha: Sina Hamu na Ndoa Tena

Post Image

BAADA ya hivi karibuni aliyekuwa mkewe, Flora Mbasha kuolewa na mwanaume mwingine, Mwimbaji wa Injili, Emmanuel Mbasha amefunguka kuwa hana hamu na ndoa hivyo hawezi kuwa na haraka ya kuwa na mke kwa sasa kwani anahofia kupata mwanamke msaliti tena. Akipiga stori na Star Mix, Mbasha alisema kutokana na changamoto kubwa aliyoipata kwenye ndoa, kila […]

Read More..

Harmorapa Afungukia Kuvaa Gauni

Post Image

Msanii Harmorapa ambaye sasa ana ‘trend’ na moja ya video ikimuonyesha akicheza wimbo akiwa amevaa gauni amefunguka na kusema yeye hajavaa gauni la bosi wake kama ambavyo watu wanadai bali yeye amevaa nguo ya kawaida katika video hiyo. Harmorapa amesema hayo katika kipindi cha eNewz na kudai kuwa yeye alifanya ‘cover’ ya kitu alichofanya Alikiba […]

Read More..