-->

Kama Bongo Movie vile, Bongo Fleva nayo ina...

Post Image

Wimbi la kutegemea video nzuri kuwa zitaubeba wimbo linaanza kupungua kasi. Kama wimbi hilo liliweza kupindua meli basi sasa linaonekana hata mashua itakuwa kazi ngumu kuizamisha. Miaka miwili au mitatu nyuma ulizuka mtindo wa wasanii kutegemea video kuzibeba nyimbo zao, lakini kwa mifano michache tu ya hivi karibuni utaona utamaduni huo unaanza kufa. Wiki mbili […]

Read More..

VIDEO: Nimemsamehe Baraka – Ben Pol

Post Image

Mwanamuziki wa miondoko ya RnB bongo, Ben Pol amejibu ‘diss’ ya Baraka The Prince kuhusu ujio wa wimbo wake mpya na kusema kuwa amesha msamehe siku nyingi, kabla hata hamjamkosea huku akiongeza kwamba anajitahidi kumsaidia msanii huyo akue. Ben ameeleza hayo kupitia kipindi cha eNewz kinachorushwa na EATV na kusema anafahamu kuwa baadhi ya vitu haviko […]

Read More..

Wema Sepetu Ampa Pole Zari

Post Image

Muigizaji wa Filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu ameshindwa kujizuia kwa kuonesha uchungu alioupata baada ya kusikia taarifa za msiba wa aliyekuwa mwanaume wa Zari ‘Ivan Semwanga’ na kumfariji mzazi mwenzake na marehemu Zari The Boss Lady. Wema Sepetu amesema ameumizwa na taarifa hizo huku akiwaonea huruma watoto wa marehemu ambao amewaacha wakiwa wadogo. “Broken hearted??? Rest […]

Read More..

Mzazi mwenzake Zari afariki dunia

Post Image

Dar es Salaam. Mfanyabiashara wa Uganda, Ivan Semwanga amefariki dunia katika Hospitali ya Steve Biko Academic jijini Pretoria, nchini Afrika Kusini. Zari aliyezaa watoto watatu na mwanamume huyo amethibitisha kifo chake kwa kuandika katika mtandao wa Instagram akimtakia pumziko la milele. “Mungu huwaita kwake walio wema ndiyo maana amekuchukua. Umegusa maisha na kusaidia wengi. Nakumbuka […]

Read More..

VIDEO: Chadema awana Shukrani – Wolper

Post Image

Malkia wa filamu bongo, Jacqueline Wolper amefunguka sababu za kuacha kuendelea kuisapoti CHADEMA ni viongozi wa chama hicho kushindwa kuutambua mchango wake alioutoa wakati wa uchaguzi mkuu hali iliyomfanya ajihihisi mpweke na kama ametelekezwa . kiwa ni mara ya kwanza Wolper kufunguka ishu hiyo katika kipindi cha KIKAANGONI kinachorushwa kwenye ukurasa wa facebook EATV, amesema hajawai kuwa […]

Read More..

VIDEO: Wasanii Tupunguze Bata – Riyama

Post Image

Msanii wa filamu nchini Riyama Ally amefunguka na kutoa sababu kubwa zilizopelekea tasnia ya movie nchini kushuka kuwa ni pamoja na wasanii kudharau wamashabiki zao, kupuuza maoni ya watazamaji na kufanya vitu visivyoendana na jamii. Riyama alisema hayo kupitia kipindi cha Friday Night Live na na kuongeza kwamba ukiacha dharau ambazo mastaa wamekuwa wakionyesha kwa […]

Read More..

Diamond: 20 Percent Akihitaji Kusaidiwa Nit...

Post Image

MSANII wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’, amesema ana uwezo wa kumsaidia msanii 20 Percent ili arudi tena kimuziki na kuwa tishio kama mwaka 2011, lakini hadi atake kusaidiwa. Diamond alisema wapo wasanii wanaohitaji msaada katika kazi zao na wanaonyesha utayari wa kusaidiwa, lakini wapo pia wanaohitaji msaada lakini hawaonyeshi utayari wa kusaidiwa. “Kuna […]

Read More..

Rais Magufuli Amng’oa Profesa Muhongo

Post Image

Dar es Salaam. Rais John Magufuli amemtaka Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kuachia madaraka kushindwa kusimamia suala la mchanga wa dhahabu unaosafirishwa kwenye makontena. Amemtaka waziri huyo kujitathimini na bila kuchukua muda mrefu aachie madaraka kutokana na suala hilo. Rais Magufuli amesema hayo baada ya kamati iliyokuwa ikichunguza suala la mchanga kwenye […]

Read More..

Gigy Afunguka A-Z Kuhusu Picha Zake Chafu n...

Post Image

Baada ya weekend hii kusambaa video chafu ikimuonyesha mwanasheria nguli, Albert Msando akishikana shikana na video vixen, Gigy Money na kuzua taharuki mitandaoni, Gigy amefunguka kuzungumzia sakata hilo A-Z. Akiongea na Bongo5 Jumatatu hii, Gigy amedai wakati akirekodi video hiyo na kuisambaza mtandaoni mwanasheria huyo aliridhia. “Jumapili hii nilienda Arusha na kile mlichokiona ilikuwa ni […]

Read More..

Madam Flora Afunguka Haya kwa Mume Wake

Post Image

Msanii wa nyimbo za injili nchini, Madam Flora amefunguka na kusema mume wake wa sasa Daudi Kusekwa ni mwanaume shujaa kwani ni mtu aliyevumilia mengi. Madam Flora alisema hayo siku ya kuzaliwa kwa mume wake huyo ambayo ilikuwa Jumapili  huku akimtakia maisha marefu na mafanikio mema “Hongera mume wangu Daudi Kusekwa kwa kuzaliwa, Mungu akupe […]

Read More..

Diamond Afungukia Swala la Zari Kumtembelea...

Post Image

Msanii wa muziki, Diamond Platnumz amedai ameshindwa kupost chochote kumtakia hali aliyekuwa mpenzi wa zamani wa Zari, Ivan ambaye amelazwa hospitali, kwa madai ataonekana anatafuta kiki.   Muimbaji huyo amedai amekuwa akimhimiza mpenzi wake Zari kwenda kumtakia hali mzazi mwenzake huyo. “Ni kweli mzazi wake Zari anaumwa, na yuko serious. Na kila siku huwa namuhimiza […]

Read More..

VIDEO: Kala Jeremiah Aumendea Urais

Post Image

Msanii wa hip hop ambaye anafanya vizuri na hit ya Wananduto Kala Jeremiah amefunguka na kusema hawezi kugombea ubunge kwani tayari ameshafanya kazi hiyo kwa miaka mingi na sasa anasubiri muda ufike aweze kugombea nafasi ya Urais. Mbele ya kamera za eNewz Kala amesema kuwa kwa muda mrefu ameshaombwa na wanasiasa mbali mbali pamoja na […]

Read More..

Kumbe Tatizo ni Kanumba

Post Image

KWA muda mrefu sasa kumekuwa na mijadala kwenye mitandao ya kijamii na hata katika vinywa vya mashabiki wa filamu za Kitanzania wakibishana kuhusu tasnia ya Bongo Movie, wapo wanaoamini imekufa na wengine kupinga jambo hilo. Hata baadhi ya wasanii wa tasnia hiyo wenyewe wamegawanyika pia, kuna wanaamini ndio basi tena na wengine wakisema bado inaendelea […]

Read More..

Majeruhi wa Lucky Vincent wazungumza kwa ma...

Post Image

Marekani. Madaktari wa Hospitali ya Mercy, ya Marekani wamesema watoto watatu majeruhi wa ajali ya Lucky Vincent, wanaendelea vyema. Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu ameandika katika ukurasa wake wa faceboook kuwa watoto hao Saidia Ismael, Doreen Mshana na Wilson Tarimo watapelekwa katika makazi maalum ya kuangalia afya zao ikiwa ni pamoja na kupewa mazoezi […]

Read More..

Riyama: Bila Milioni Nne Hapana

Post Image

NGULI wa filamu Tanzania, Riyama Ally, amefunguka na kuweka wazi kuwa hawezi kucheza filamu ya kitajiri bila kulipwa Sh milioni nne. Akizungumza na MTANZANIA jana, Riyama alisema kiwango chake cha malipo kinatokana na filamu na vipande anavyopewa kucheza, hivyo hawezi kucheza filamu ya maisha ya kifahari bila kulipwa Sh milioni nne kutokana na ugumu wa […]

Read More..

VIDEO: Nimemsamehe Baraka – Nisha

Post Image

Msanii wa filamu za vichekesho Salma Jabu aka Nisha, amefunguka na kuweka wazi kuwa saizi amemsamehe msanii wa muziki wa bongo fleva Baraka The Prince ambaye aliachana naye mwaka jana na kutokea kumchukia sana. Nisha amesema hayo kupitia kipindi cha eNewz na kudai saizi ameamua kumsamehe kabisa kutoka moyoni mwake na kusema ameanza kuwa shabiki […]

Read More..

Amanda Hatishiki na Maneno ya Watu Haumwi n...

Post Image

MWIGIZAJI wa kike wa filamu Bongo Amanda Poshi amefunguka kwa kusema yupo salama kabisa kiafya wala hana tatizo lolote kutokana na muonekano wake kupungua kwake kutokana na mazoezi anayofanya kwa ajili ya afya yake anashangaa wale ambao wanamshangaa kupungua mwili wake. “Sitishiki na maneno ya wabaya wangu ambao wanahangaika kusambaza maneno na kunishangaa kwanini nimepungua […]

Read More..

P Funk Majani Amfunguka Haya Tena Kuhusu Fi...

Post Image

Mtayarishaji Mkongwe wa bongo fleva, P Funk Majani amemmwagia sifa rappa Fid Q na kusema kwamba ndiye msanii bora wa siku zote kwa kuwa ni mtu mwenye misimamo na hajawahi kubadilika kufuata upepo wa muziki bali amesimamia misingi ya hip hop. Majani amemwaga sifa hizo kwenye heshima ya Planet Bongo ya East Africa radio, Ijumaa hii […]

Read More..