-->

VIDEO: Alikiba ana Roho Ngumu – Husse...

Post Image

Hussein Machozi amesema ‘team’ katika muziki wa bongo fleva zimekuwa nzuri kwani zinafanya mashabiki waendelee kukomaa na msanii wao ila anasema yeye hawezi kwani hana roho ngumu kama Alikiba ambaye anatukanwa na watu mitandaoni na kukaa kimya. Hussein Machozi amesema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha eNewz na kusema yeye mtu akimtukana kwenye mitandao ya kijamii […]

Read More..

Mc Pilipili, Rose Ndauka Muwaache!

Post Image

TASNIA ya uchekeshaji imeendelea kupiga hatua na kuonyeha tofauti ya wazi baina ya wachekeshaji wa zamani na wa kizazi hiki. Wachekeshaji wa zamani walishindwa kunufaika na sanaa yao kutokana na ukosefu wa uwekekezaji katika vipaji vyao lakini kwa sasa wachekeshaji wanakula bata kutokana na fedha wanazoingiza kupitia sanaa yao. Miongoni mwa wachekeshaji wanaotengeneza pesaa ndefu […]

Read More..

Flaviana Matata: Mwanamitindo, Mjasiriamali...

Post Image

Miaka 10 iliyopita Flaviana Matata aliibuka mshindi katika mashindano ya Miss Universe nchini. Huenda wengi walimchukulia kama washindi wengine ambao hufurahia umaarufu na zawadi kisha hupotea. Miaka 10 baadaye Flaviana si tu jina maarufu nchini kama yalivyo mengine, ni super model, mjasiriamali na mwanaharakati anayesaidia wenye uhitaji. Amefanyakazi na makampuni makubwa katika kazi yake ya […]

Read More..

Faiza Akumbushia Enzi za Penzi Lake na Sugu

Post Image

Mwigizaji Faiza Ally ameleza jinsi mahusaino ya kimapenzi yalivyokuwa yanamsumbua katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita hali iliyopelekea yeye kuugua mara kwa mara. Kupitia instagram Faiza amepost picha akiwa kitandani na kuandika, ‘‘Kuna mambo sasa hivi nikiangalia nacheka sana … haya mapenzi jamani, hapo ni miaka mitatu iliyopita nilikuaga namlilia Baba Sasha mpaka natundikiwa drip […]

Read More..

New Video: Harmorapa Kaachia Video ya ‘NU...

Post Image

Harmorapa alianza kukiki kwenye mitandao kiutaniutani ambapo baadae Producer maarufu P Funk Majani alimuona na kukutana nae kwenye studio za Bongo Records, alimsifia kuwa anapenda kujifunza na ni mwepesi pale anapoelekezwa. Sasa Harmorapa kaanza kuachia ngoma zake ambapo hapa kamshirikisha  Ronei na Mkongwe mwingine wa Bongofleva Cpwaa, ukishaitazama hii usisahau kuacha na comment yako ili […]

Read More..

Hawaitakii Mema Ndoa Yangu – Shamsa Ford

Post Image

Mwigizaji Shamsa Ford amefunguka na kusema kuna watu wengi wamekuwa si watu wema katika ndoa yake, na wamekuwa wakihangaika kuona ndoa yake hiyo inapotea au hata kuvunjika kabisa. Shamsa Ford amesema kutokana na vitendo mbalimbali ambavyo amekuwa akivishuhudia ni wazi kuwa watu wanampiga vita na kutaka kuisambaratisha ndoa yake hiyo, jambo ambalo anasema Mungu hawezi […]

Read More..

Antu Mandoza Msomi Mwenye Bahati Kuigiza Fi...

Post Image

Apania kutwaa Tuzo za Oscar kama Lupita BONGO movie huwezi kupata bahati ya kuingia moja kwa moja na kupewa thamana kuingiza kama mwigizaji kinara, ni mamisi tu ndio wenye bahati hiyo lakini mwingine lazima asote, kwa Antu Mandoza ‘Miss Mandoza’ mwigizaji kinara katika filamu ya Kiumeni ni tofauti, yeye sinema yake ya kwanza anapewa nafasi […]

Read More..

AliKiba Mwendo Wake wa Kobe Ila Mambo Yake ...

Post Image

Alikiba aka King Kiba ni kati ya wanamuziki wa Africa ambao wanashabikiwa na kuwa na umaarufu wa hali ya juu. Hii yote inatokana na utamu wa sauti aliyojaliwa nayo, na kipaji cha mashairi matamu ambayo kwakweli yamekuwa yakiwaburudisha mashabiki lukuki Duniani. Alikiba ambaye kwasasa yuko chini ya kampuni kubwa ya muziki Duniani Sony Music, anauwezo […]

Read More..

VIDEO:Young Dee: Sijatelekeza Mtoto Wangu

Post Image

Msanii Young Dee a.k.a Pakarasta amesema yeye hawezi kulea mtoto wake na wala hajui ulezi na ndiyo maana mtoto wake amempeleka kwa mama yake ili aweze kupata malezi mazuri na misingi ya kiimani zaidi. Young Dee amebainisha hayo baada ya kuenea kwa taarifa mbalimbali kutoka katika mitandaoni ya kijamii ambazo zilikuwa zikidai msanii huyo amemtelekeza mtoto […]

Read More..

VIDEO: Aliyeliombea gari lisichukuliwe na m...

Post Image

Video moja inayomwonyesha mkazi wa Morogoro Bw. Nyangusi Laiser akiwa anaombea gari lake aina ya Toyota Land Cruiser lisichukuliwe na mafuriko, liligeuka kuwa burudani kwenye mtandao baada ya kusambaa sana kwenye mtandao. Bw Laiser aliandika kwenye ukurasa wake wa Fesibuku siku ya Jumanne, ambapo tukio lilitokea, kwamba alikuwa kwenye gari na mke wake pamoja na […]

Read More..

Jokate: Sasa Nawaza Noti Tu

Post Image

MWANAMITINDO Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’ amefunguka kuwa, misukosuko aliyokumbana nayo kwenye maisha ya kimapenzi imetosha kwani kama ni maumivu ameshayaonja na sasa hakuna anachowaza zaidi ya kujirundikia noti kwa kufanya kazi kwa nguvu. Akizungumza na Akizungumza Ijumaa, Jokate ambaye pia ni Kaimu Katibu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi wa Umoja wa Vijana wa Chama […]

Read More..

Harmorapa Amjibu Afande Sele

Post Image

Wiki iliyopita Mfalme wa Rhymes nchini Tanzania, Afande Sele alizungumzia hali ya muziki ilivyo kwa sasa na kwenye mazungumzo hayo alisikika akisema hajui ngoma yoyote ya Harmorapa na hata kwa mara ya kwanza kumuona ni pale alipotokea kwenye tukio la Nape kushikiwa Bastola, hivyo haelewi muziki anaoufanya zaidi ya kumuona mitandaoni tuu. Hatimaye Harmorapa amemjibu. […]

Read More..

Hakuna Zaidi Yangu – Chid Benz

Post Image

Rapa Chid Benzi amefunguka na kusema kwa Tanzania hii hakuna msanii mkali kama yeye na hatatokea msanii ambaye anaweza kuchukua nafasi yake kwa mashabiki wake sababu hata hao mashabiki zake wanatambua kuwa hakuna msanii mkali zaidi ya Chuma. Chid Benzi amesema hayo alipokuwa akiwatoa hofu watu juu ya yeye kurudi kwenye muziki na kusema muda […]

Read More..

Mambo 9 Kurudisha Soko la ya Kuzingatia Fil...

Post Image

KUTOKANA na wasanii wa fi lamu za Kibongo kuwa kwenye mikakati mizito ya kuhakikisha soko la kazi zao linarejea kwenye ubora wake kwa madai kuwa filamu za nje zimeua soko la ndani, kuna haja ya kuyazingatia haya yanayochangia kufeli kwao ili kupaa na kufi kia levo ya kimataifa. UBORA WA STORI Ninapozungumzia ubora wa stori […]

Read More..

Chura Ameniunganisha na Watu -Snura

Post Image

Msanii wa muziki Bongo Snura Mushi a.k.a Snura amefurahishwa na mashabiki aliowapata wakati anatoa nyimbo ya chura mwaka jana mwezi wa nne. Snura ameeleza kufurahishwa kwa kuongeza idadi ya mashabiki hao kupitia kipindi cha EIGHT cha TVE kuwa nyimbo yake ya chura ilimuwezesha kupata mashabiki wengi katika soko lake la muziki na anaimani bado anao […]

Read More..

Video: Chid Benz afunguka kwa mara ya kwanz...

Post Image

Rapa Chid Benz amefunguka kwa mara ya kwanza tangia atoke Rehab alikokuwa akipata matibabu ya kuachana na matumizi ya madawa ya kulevya na amewaasa vijana watu,iaji wa Tanzania kuacha kabisa mchezo huo. Chid Benz ambaye anaonekana mwenye afya na uso wenye furaha, amesema madawa ya kulevya sio ya kuyazungumzia. Amesema kama mtu hataki kujutia maisha […]

Read More..

Shilole Ashindwa Kufika Mahakamani Kutoa Us...

Post Image

Dar es Salaam. Msanii wa muziki wa kizazi wa Bongo Fleva na filamu, nchini Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole ameshindwa kufika mahakamani kutoa ushahidi katika kesi ya matumizi mabaya ya mtandao kwa kuwa anaumwa. Leo (Jumatano) Shilole alipaswa kutoa ushahidi katika kesi hiyo inayomkabili mwanafunzi wa Chuo cha Bandari, Thomas Lucas (20) inayosikilizwa mbele ya […]

Read More..

Nilitaka Kujua Lipumba Amepatwa Nini –...

Post Image

Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Dr Josephat Gwajima amefunguka na kusema Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad ni rafiki yake hivyo alitaka kuonana naye ili aweze kujua Professa Ibrahim Lipumba anaharibu vipi chama. Mchungaji Gwajima amesema hayo leo alipokutana na waandishi wa habari baada ya kumaliza mazungumzo na […]

Read More..