VIDEO: Alikiba ana Roho Ngumu – Husse...

Hussein Machozi amesema ‘team’ katika muziki wa bongo fleva zimekuwa nzuri kwani zinafanya mashabiki waendelee kukomaa na msanii wao ila anasema yeye hawezi kwani hana roho ngumu kama Alikiba ambaye anatukanwa na watu mitandaoni na kukaa kimya. Hussein Machozi amesema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha eNewz na kusema yeye mtu akimtukana kwenye mitandao ya kijamii […]
Read More..