-->

Prof. Jay Ameanza Kunielewa- Steve Nyerere

Post Image

Mchekeshaji na muigizaji wa bongo ‘movie’ Steve Nyerere amefunguka mengine mapya kwa kudai hana haja tena ya kuendelea kutukanana na watu wasiojielewa kwa kuwa ameshajitokeza mkombozi wake mwenye akili na kutambua kilio chake kinamaana gani. Steve amesema hayo baada ya kile kinachoaminika kuwa Mbunge wa Mikumi, Mhe. Joseph Haule kusimama mbele ya Bunge la Jamhuri […]

Read More..

Diamond Afunguka Haya Baada ya Profesa Jay ...

Post Image

Msanii Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz leo kupitia akaunti yake ya Instagram ameeandika maneno yanayoashiria kutokufurahia hotuba ya mbunge wa Mikumi Joseph Haule a.k.a Prof Jay. Diamond aliandika maeno hayo yanyosomeka “Ndio Maana kwenye Jimbo lako sikuja kupiga kampeni bro…kwakuwa niliijua mapema thamani na umuhimu wa Uwepo wako kwenye hilo jengo….. @professorjaytz Pro .Jay katika […]

Read More..

Baraka Akiri Naj Kumpoteza Kwenye Media

Post Image

MWANAMUZIKI anayefanya vizuri kwenye gemu la Muziki wa Bongo Fleva, Baraka Andrew ‘Baraka The Prince’ hivi karibuni amekiri kuwa, mpenzi wake wa sasa Najma Dattan ‘Naj’ ndiye amesababisha akauke kwenye vyombo vya habari ‘media’. Akichonga na Mikito Nusunusu, Baraka alisema kuwa kipindi cha nyuma kabla hajawa kwenye uhusiano na Naj alikuwa hajatulia hivyo wasichana wengi […]

Read More..

Linah Sanga Afungukia Kuachia Tumbo Wazi

Post Image

Linah Sanga ‘Ndege Mnana’ amefunguka na kuweka wazi kwamba haoni tatizo yeye kupiga picha za kuachia tumbo lake lenye ujauzito wazi kwani picha ni za kawaida sana wala hazina matatizo yoyote. Linnah amefunguka hayo kwenye kamera za eNewz na kudai kwamba hawezi kumfurahisha kila mmoja ndio maana anafanya kile ambacho anahisi kipo sahihi kwa upande wake […]

Read More..

Si Mchina ni Umbo Langu – Sasha

Post Image

MWIGIZAJI chipukizi katika tasnia ya filamu Bongo Sophia Salim ‘Sasha’ mwenye umbo la Kibantu amesema kuwa ni umbile lake na hajui wala hajawahi kutumia dawa za Kichina kama vile ambavyo wengine wanadaiwa kufanya kitu hicho yeye amezaliwa hivyo na anajivunia kuwa hivyo. “Jamani hili ni umbo langu halisi nimeumbwa hivi na sijawahi wala sijui hizo […]

Read More..

Jux Afungukia Picha za Vanessa na Wanaume

Post Image

Msanii Jux ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake ‘Umenikamata’ amefungaka na kusema kitendo cha Vanessa Mdee kuonekana akipiga picha na wasanii mbalimbali au wanaume hakimpi shida kwani yeye anaamini zile ni kazi. Jux anasema yeye aliamua kutoweka wazi mambo yake na Vanessa kutokana na ukweli kwamba ilifika wakati watu walikuwa hawazungumzii kazi zao zaidi […]

Read More..

Masogange Ajisalimisha Kisutu

Post Image

Dar es Salaam. Msanii, Agnes Gerald maarufu kama Masogange (28) amejisalimisha katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Kabla ya Masogange kujisalimisha mahakama ilitoa hati ya kumkamata baada ya kushindwa kuhudhuria mara mbili kwenye kesi hiyo inayomkabili. Hatua hiyo ya kutaka kukamatwa kwa Masogange ilikuja baada ya upande wa mashtaka kuomba mahakama kutoa hati ya kumkamata […]

Read More..

RAY C Afungukia Kutoka na Mbunge

Post Image

DAR ES SALAAM: Sexy lady mkongwe wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ amefunguka kuwa hajawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi mbunge yoyote nchini kama ambavyo baadhi ya watu wamekuwa wakieneza ubuyu. Ray C aliliambia Wikienda kuwa, mbali na kufahamiana na wabunge mbalimbali nchini, lakini hata siku moja hajawahi kujiingiza kwenye uhusiano na mheshimiwa yeyote […]

Read More..

Harmorapa: Wimbo Wangu Mpya ‘Nundu...

Post Image

Msanii Harmorapa, amefunguka na kusema wimbo wake mpya ‘Nundu’ ambao unatoka leo na kutambulishwa kwa mara ya kwanza katika kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio utazima ngoma zote zilizotoka kutokana na ubora wake na ukali wa ngoma hiyo. Harmorapa amesema kuwa anaamini kazi yake hiyo inakuja kupoteza ngoma zingine kutokana na vile ambavyo […]

Read More..

Flora, Ha-Baba Warudiana

Post Image

DAR ES SALAAM: Mastaa wawili Bongo ambao walikuwa wanandoa kisha wakatengana kwa muda, Hamis Ramadhan ‘H.Baba’ na Flora Mvungi, hatimaye wamerudiana na sasa ni mwendo wa mahaba niue. Chanzo makini kililieleza Wikienda kuwa, wawili hao wamerudiana hivi karibuni ambapo hivi sasa ni mahaba niue kwani hata kwenye mitandao ya kijamii wamekuwa wakiweka picha wakiwa kimahaba, […]

Read More..

Picha: Umati Uliojitokeza Kuaga Miili ya Wa...

Post Image

ARUSHA: Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bi. Samia Suluhu Hassan amewaongoza maelfu ya waombolezaji waliofika kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mkoani Arusha  na Watanzania wote kuaga miili ya watoto waliofariki kwa ajali ya gari juzi Jumamosi. Katika hotuba yake kwa wananchi waliojitokeza kwa wingi katika tukio la kuaga miili hiyo […]

Read More..

Janga Nililonalo ni Ugonjwa – Chid Benzi

Post Image

Rapa Chid Benzi ambaye siku kadhaa zilizopita amesherehekea kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa amefunguka na kusema janga alilokuwa nalo ni ugonjwa ambao bado anaendelea kupigana nao kuondoa. Chid Benz amesema kuwa katika kipindi cha katikati alifikia hatua ya kuchanganyikiwa na kusema hicho ndiyo kitu ambacho kilimfanya kurudi tena kwenye matumizi ya dawa za kulevya, […]

Read More..

VIDEO: Bongo Movies & Bongo Fleva Waib...

Post Image

DODOMA: WASANII wa filamu nchini, Bongo Movie pamoja na wale wa muziki, Bongo Fleva jana waliibuka kwenye Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma wakati waziri Dkt. Harrison Mwakyembe akisoma bajeti ya makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa mwaka wa fedha 2017/2018. Chanzo:GPL

Read More..

Vanessa Mdee Amjibu Afande Sele

Post Image

Msanii  Vanessa Mdee ameshindwa kuvumilia kukaa kimya baada Rapa Afande Sele kusema kuwa Said Karoli ana uwezo mkubwa kisanii kuliko Vanessa Mdee Vanessa Mdee ameonyesha kutofurahishwa na kauli ya Afande Sele na kusema alikuwa anamuheshimu na kumtambua msanii huyo kutokana na heshima yake kwenye muziki huu lakini amechoshwa, kuzunguziwa na mtu huyo katika vitu visivyoeleweka […]

Read More..

NDANI YA BOKSI: Bongo Fleva Inapoishi kwa M...

Post Image

Msimu wa Fiesta unakaribia. Tegemea nyimbo nyingi za Bongo Fleva kuachiwa kipindi hiki. Kwa msukumo wa tukio la Fiesta ili wapate nafasi ya kupanda majukwaani katika mikoa mbalimbali. Shoo zilizokuwa zikiandaliwa na kina Nyau kule Morogoro na mwenzake Ngedere hazipo hivi sasa hata kama zipo siyo kama zamani kimapato na msisimko. Mdosi wa Shinyanga sidhani […]

Read More..

Shule ya Lucky Vicent yafungwa, Lema afika ...

Post Image

Shule ya Lucky Vicent imefungwa kwa siku saba kufuatia vifo vya wanafunzi wake 32 vilivyotokea kwenye ajali ya gari jana Karatu. Kutokana na ajali hiyo Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema na wabunge wengine wa Chadema wamefika shuleni hapo kutoa pole. Lema kwa niaba wabunge wameeleza kusikitishwa na msiba huu na amewapa pole wafiwa lakini […]

Read More..

Young Dee awazungumzia Young Killer, Dogo J...

Post Image

Rapa Young Dee amefunguka mambo kadhaa kuhusu Young Killer na Dogo Janja kumchana mara kwa mara kwenye ngoma zao. Young Dee amekiambia kipindi cha The Play List cha Times Fm kuwa wasanii hao ni umri tu wanapitia kwa sasa ambao yeye ameshapita huko hivyo hawashangai. Kuhusu line ya Dogo Janja iliyopo katika wimbo wake wa […]

Read More..

Shamsa Ford Amkingia Kifua Flora

Post Image

Msanii wa filamu Shamsa Ford amefunguka na kumtetea Flora aliyewahi kuwa mke wa Emmanuel Mbasha ambaye wiki iliyopita aliolewa tena na kijana Daudi Kusekwa. Shamsa Ford ameibuka na kuanza kumtetea Flora kutokana na maamuzi yake hayo ya kuolewa kwa mara ya pili na kusema yeye ndiye anajua kwanini ameamua kufanya hivyo na kumtaka kutosikiliza maneno […]

Read More..