Faraja Nyalandu na Hoyce Temu Walitumia Uch...

Na RAMADHANI MASENGA KWANZA huanza kwa kupita jukwaani. Kisha yanafuata ni mambo ya ubunifu. Baadaye ndipo huanza kuulizwa maswali. Moja kati ya maswali wanayoulizwa mamisi wetu ni pamoja wapi ulipo Mlima Kilimanjaro, Baba wa Taifa alizaliwa mwaka gani na Ziwa Tanganyika linapatikana mkoa gani. Baada ya hapo mambo mengine hufuata. Kisha jina la mshindi hutajwa. […]
Read More..