Natamani Kufanya Kazi na Chid Benz-Ray C

Msanii mkongwe ambaye kwa sasa anasikika na ngoma ya ‘Unanimaliza’ Rehema Chalamila ‘Ray C’ amekiri kutamani kufanya kazi nyingine na rapa Chid Benzi na anamuombea kwa Mungu ili aweze kutoka rasmi kwenye mtihani wa dawa za kulevya Ray C amefunguka hayo hivi karibuni na kusema kuwa mbali na kuwa walisha fanya wimbo wa pamoja na […]
Read More..