-->

Natamani Kufanya Kazi na Chid Benz-Ray C

Post Image

Msanii mkongwe ambaye kwa sasa anasikika na ngoma ya ‘Unanimaliza’  Rehema Chalamila ‘Ray C’ amekiri kutamani kufanya kazi nyingine na rapa Chid Benzi na anamuombea kwa Mungu ili aweze kutoka rasmi kwenye mtihani wa dawa za kulevya Ray C amefunguka hayo hivi karibuni na kusema kuwa mbali na kuwa walisha fanya wimbo wa pamoja na […]

Read More..

Daz Baba Amgundua Mchawi Wake

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki wa hip hop, Daz Baba amedai amegundua kitu ambacho kinamkwamisha ashindwe kufanya vizuri kama zamani. Daz ambaye amewahi kufanya vizuri na nyimbo nyingi ikiwemo ‘Namba 8’, ameimbia Bongo5 kuwa uwekezaji katika kazi zake za muziki ndio kitu ambacho kinamfelisha. “Mimi kitu ambacho kinanikwamisha kwa sasa ni video kali. Kwa sababu nyimbo […]

Read More..

Shilole: Sasa Natamani Kuvaa Shela

Post Image

STAA wa Mduara Bongo, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amefunguka kuwa, sasa anatamani kuvaa shela kama walivyovaa wanawake wengine kwani kuna wakati ukifika mwanamke lazima utamani hali hiyo. Akizungumza na Showbiz Xtra, Shilole alisema kuwa, watu wengi wanamtabiria mambo mazuri ya ndoa lakini anaamini kuwa siku yake itafika na ataolewa na kila mmoja atashangaa. “Natamani sana na […]

Read More..

Ray Kigosi Afungukia Unafiki wa Baadhi ya M...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Ray Kigosi amefunguka na kusema kuwa baadhi wa Watanzania ni wanafiki na wamekuwa wakikatisha tamaa watu katika mambo yao kutokana na unafiki wao. Ray Kigosi amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Instgram na kusema kutokana na unafiki huo wa baadhi ya watu ulimfanya mpaka marehemu Kanumba kuvunjwa moyo katika kazi yake […]

Read More..

Ne-Yo Ampongeza Diamond

Post Image

MKALI wa muziki wa RnB nchini Marekani, Shaffer Smith (NE-YO) amempongeza staa wa muziki nchini Tanzania, Nasibu Abdul (Diamond) kwa kuzindua manukato yake yajulikanayo kama Chibu. Ne-Yo, aliyeshirikishwa na Diamond kwenye wimbo wa ‘Marry You’, ameshindwa kuzuia hisia zake na kumpa pongezi msanii huyo kwa hatua aliyofikia ya kuwa na manukato yake, kama ilivyo kwa […]

Read More..

Sina Tatizo na Wema Sepetu wala Mama Yake &...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Steve Nyerere amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye na Wema Sepetu hawana tatizo lolote na kudai yule ni dada yake hivyo wanaheshimiana na kuendelea kuishi kama zamani licha ya Wema Sepetu kuhama Chama Cha Mapinduzi (CCM). Steve Nyerere amesema hayo kwenye kipindi cha eNewz na kusema ni kweli kulikuwa na matatizo […]

Read More..

NDANI YA BOKSI: Mnalazimisha Kuuza Kitimoto...

Post Image

Kuna kitu kinaendelea Dar es Salaam kwa sasa. Ukikifikiria sana unaweza kulia. Vituko vya Harmorapa vina tija na mvuto kuliko haya ya Bongo Movie. Yaani ni filamu tosha inatengenezwa. Bongo Movie wanachofanya ni kuliua zaidi soko la filamu zao. Pamoja na kelele za wadau mbalimbali hawasikii la muadhini wala mnadi swala. Wameweka pamba sikioni na […]

Read More..

Thea:Tunatetea Haki Yetu

Post Image

MSANII wa filamu za Kibongo, Ndumbagwe Misayo ‘Thea’ ameibuka na kuwabeza watu wanaowaponda waigizaji kwa kitendo chao cha kuandamana kupinga uuzwaji holela wa sinema za nje kwa kuwaambia waendelee kutukana kwani wao walifanya hivyo ili kutetea haki yao. Akipiga stori na Za Motomoto News, Thea alisema wao walifanya hivyo kwa kuona inafaa, sasa kama kuna […]

Read More..

Simfahamu Nay wa Mitego – JB

Post Image

Msanii Jacob Steven  JB’ amedai kutomfahamu Nay wa Mitego na kusema pamoja na kusikia sehemu mbali mbali za maneno ya kashfa kutoka kwa msanii huyo yeye bado anampenda japokuwa hamjui na wala hajawahi kusikiliza nyimbo zake. Akilijibu swali la Mtangazaji wa eNewz Duwe Santana kuhusu jinsi alivyopokea kauli ya wasanii waliondamana kuitwa ‘Matahira’ JB amesema […]

Read More..

Wolper Acharukia Wasanii Wenzake

Post Image

Dar es Salaam: Staa mwenye kiwango cha juu Bongo Muvi, Jacqueline Wolper Massawe amefunguka kuwa, wasanii wengi waliopo kwenye tasnia ya filamu ni wanafiki na wanafuata mkumbo, hawako kiuhalisia.   Akizungumza na Showbiz, wakati wa maandamano ya kupinga wizi wa kazi zao na uingizwaji na uuzwaji holela wa sinema za nje, Wolper alisema kuwa, wasanii […]

Read More..

Video: Jux – Umenikamata

Post Image

Msanii Jux ameachia video mpya wimbo unaitwa ‘umenikamata‘ tazama hapa chini.

Read More..

Siasa Imechangia Kutuua Bongo Movie-Steve N...

Post Image

Mchekeshaji maarufu nchini Steven Nyerere amekiri kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio kuwa waigizaji kujiingiza kwenye siasa pia ni chanzo cha tasnia ya filamu nchini kupoteza mvuto. Steve amefunguka hayo ikiwa ni siku chache tangu kufanyika maandamano ya baadhi ya wasanii wa filamu kuishinikiza serikali kuwaondolea kodi katika filamu zao au kuhakikisha inakusanya pia […]

Read More..

Diamond Atoboa Sababu ya Kufanyakazi na You...

Post Image

Diamond amefunguka kwa mara ya kwanza sababu za kumshirikisha Young Killer katika wimbo wake mpya ambao bado haujatoka. Ni mara nyingi hitmaker huyo wa Marry You, ameonekana kushindwa kuzizuia hisia zake za kumkubali Msodoki huku mara kadhaa akionekana kutumia mistari ya rapper huyo katika kuandika katika mitandao yake ya kijamii. Akiongea na kipindi cha XXL […]

Read More..

CUF Lipumba Yakiri Aliyekatwa Kisigino ni M...

Post Image

Dar es Salaam. Chama cha Wananchi CUF kimekiri kuwa mtu aliyekatwa kisigino katika vurugu zilitokea Jumamosi iliyopita ni mlinzi wa chama hicho. Akizungumza leo Mkurugenzi wa Habari wa CUF,Abdul Kambaya amesema mlinzi huyo na wenzake walikwenda Mabibo kwa ajili ya kufanya doria. Amesema mlinzi huyo Rashid Mtawa alikatwa mapanga na wafuasi wa chama hicho wanaounga […]

Read More..

Nay wa Mitego Akubali Yaishe Aomba Msamaha

Post Image

Baada ya kuporomoshewa maneno ya kashfa kwenye mitandao na mzazi mwenzake kwa kushindwa kumtunza mtoto zaidi ya kumuweka tuu kwenye mitandao ya kijamii na kujisifu, Nay wa mitego amekiri kubadilika na kuanza kumuhudumia binti yake. Nay wa Miteho leo Rapa kupitia ukurasa wake wa Instagram ameamua kuudhihirishia umma kuwa kuanzia sasa atakuwa baba mwema na ataanza kuwahudumia watoto […]

Read More..

Wasanii Wasiopiga Kelele Hawategemei Filamu...

Post Image

Muigizaji mkongwe nchini Jacob Stephen ‘JB amefunguka na kudai hawakufanya maandamano ya kuzuia movie za nje ya nchi kuuzwa nchini bali waliandamana kuzitaka zilipiwe kodi au serikali itoe msamaha kwenye filamu za ndani. JB amezungumza hayo alipokuwa akifanya mahojiano na wanahabari wakati wa uzinduzi wa filamu ya Tunu na kudai kuwa watu wengi wamehusisha maandamano yao na […]

Read More..

Najivunia Kufananishwa na Jay Z- Joh Makini

Post Image

Msanii wa miondoko ya ‘Hip hop’ kutoka kampuni ya Weusi, Joh Makini amefunguka ya moyoni na kusema anajisikia faraja kwa mashabiki zake kumfananisha na msanii Jay Z. Joh Makini amesema ufananisho huo uko wazi kwa kuwa kiwango cha muziki wake ni mkubwa kiasi ambacho watu wanaomzunguka na wapenzi wa kazi zake hawaoni mtu mwingine wa […]

Read More..

Mchawi wa Filamu za Bongo Hayupo Kariakoo

Post Image

BAADHI ya wasanii wa filamu za Bongo wameandamana maeneo ya Kariakoo wakiamini ndiko alipo mchawi anayeroga kazi zao zisiuzike. Awali Bongo Fleva walikuwa wakipata shida kubwa walipokuwa wakipambana na muziki wa Genge uliokuwa maarufu nchini Kenya ambao ladha na mwonekano wa muziki huo ni kama wa Bongo Fleva, lakini hawakuandamana kwenda Kariakoo kupinga nyimbo zao […]

Read More..