-->

Nay wa Mitego Apewa Makavu na Mzazi Mwenzak...

Post Image

Msanii wa hip hop, Nay wa mitego amechezea kichambo kutoka kwa mzazi mwenzake ambaye ni muigizaji wa filamu za bongo, Skyner Ally kuwa ameshindwa kuwa baba bora kwa binti yake. Kwenye ukurasa wake wa instagram Skyner amefunguka maneno hayo akiwa anamtakia heri ya kuzaliwa mtoto wake ambaye amefikisha miaka mitano na kudai kuwa alikuwa na […]

Read More..

Diamond Endelea Kuwaamsha Wasanii Waliolala

Post Image

NYOTA wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ akisema leo hafanyi tena muziki basi ataweza kuishi kwenye hadhi aliyonayo sasa kwa muda mrefu sana. Jeuri hiyo anaipata kutokana na kufanya uwekezaji mkubwa kwenye kiwanda cha muziki nchini. Anamiliki lebo yenye wasanii wakali kama Rich Mavoko, Harmozine na Ray Vann. Tunafahamu ukubwa wa wasanii hao waliopo […]

Read More..

Lulu Awajibu Wanaomnanga Mtandaoni

Post Image

MTOTO mzuri Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewataka wanaomsema kuwa ni mfupi, wampime kwa akili zake maana yeye harefuki mwili lakini anarefuka akili. Akizungumzia ufupi huo ambao umekuwa ukijadiliwa mara kwa mara mitandaoni, Lulu alisema anaufunga mjadala huo kwa kuwataka wanaomjadili wafuatilie matendo yanayofanywa na uwezo wa akili yake. “Niwaulize tu wanamuoanaje Lulu wa miaka […]

Read More..

Beef ya Nay wa Mitego na Yusuph Mlela Yafik...

Post Image

Baada ya muigizaji wa filamu, Yusuph Mlela kuomba pambano la ngumi na rapa Nay wa Mitego, rapa huyo amemjibu muigizaji huyo kwa maneno ya kejeli. Wawili hao waliingia kwenye bifu hilo baada ya Nay wa Mitego, kuwaita wasanii wa filamu ‘mataahira’ kisa kuandamana kupinga biashara ya filamu ‘feki’ za nje ambazo hazilipi kodi. Rapa huyo […]

Read More..

Manara Marufuku Kujihusisha na Soka kwa Mwa...

Post Image

Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), imemfungia Haji Manara (Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba) kutojihusisha na masuala ya soka kwa mwaka mmoja na pia anatakiwa kulipa faini ya Shilingi  Milioni tisa. Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Nidhamu, Jerome Msemwa amesema hatua hiyo imefikiwa baada ya Manara […]

Read More..

Harmorapa:Sijawahi Kuachwa na Mwanamke

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Harmorapa amefunguka na kusema kuwa katika maisha yake hajawahi kabisa kuachwa na mwanamke bali yeye ndiye huwa anawaacha hivyo hajui suala la maumivu ya mapenzi. Harmorapa alisema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha Kikaangoni kinachorushwa kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV, na kudai yeye hajui maumivu ya mapenzi kwa kuwa […]

Read More..

Bongo Movie Tengenezeni Sababu ya Filamu Ze...

Post Image

UNAWEZA kumpeleka ng’ombe mtoni kwa kutumia nguvu nyingi, ila ukashindwa kutumia nguvu hiyo hiyo kumfanya anywe maji ya mto, kwa kuwa uamuzi wa kunywa au kutokunywa ni wake. Mapema wiki hii jijini Dar es Salaam baadhi ya wasanii wa filamu walifanya maandamano ya kupinga uuzwaji wa filamu za nje zisizofuata utaratibu kwa kile walichodai zinashusha […]

Read More..

Flora Mbasha Kuolewa Jumapili Ijayo

Post Image

MWIMBAJI nyota wa muziki wa Injili nchini, Madame Flora (Flora Mbasha zamani), Jumapili ya wiki ijayo anatarajia kufunga ndoa na mume wake mtarajiwa Daudi Kusekwa katika bustani za hoteli ya Rock Beach jijini Mwanza. Madame Flora ameliambia Swaggaz kuwa ndoa hiyo itaambatana na uzinduzi wa albamu yake mpya inayoitwa Wakati Wake pamoja na kitabu alichokipachika […]

Read More..

Waziri Mwakyembe Akutana na Uongozi wa Simb...

Post Image

Waziri wa Habari,Sanaa na Michezo, Harrison Mwakyembe amekutana na kufanya mazungumzo na uongozi wa klabu ya Simba nchini. Waziri Mwakyembe ameonana na uongozi huo ofisi kwake mjini Dodoma, Ukiongozwa na Rais wa klabu hiyo, Evans Maveva ambapo uongozi huo umetii wito wa Mheshimiwa Mwakyembe, ili kujadili mambo mbalimbali yanayohusu mpira wa miguu, zikiwemo fursa na […]

Read More..

Quickrocka: Kajala Hajawahi Kuwa Mpenzi Wan...

Post Image

Rapa Quickrocka ambaye jana ameachia ngoma yake mpya ‘Down’ akiwa amemshirikisha msanii Mimi Mars amefunguka na kusema yeye alikuwa hatoki kimapenzi na Kajala na kusema hizo stori zilikuwa ni uongo. uickrocka alisema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha Friday Night Live na kusema hizo habari zilikuwa ni uongo hivyo hakuwa anatoka kimapenzi na msanii huyo wa […]

Read More..

Bongo Movie tunawajua zaidi kwa mengine ...

Post Image

Rapa Nikki wa Pili kutoka katika kundi la Weusi amefunguka na kusema kuwa wasanii wengi wa bongo movie wanafahamika kwa mambo mengi na si kufahamika zaidi kutokana na kazi zao za kila siku. Nikki alisema hayo kama kuwapa funzo wasanii wa filamu kuwa wanapaswa kufanya kazi ambazo ndiyo zitawapa heshima zaidi na kuwafanya watu watambue […]

Read More..

Mke wa Chameleon Adai Talaka Mahakamani

Post Image

MKALI wa muziki nchini Uganda, Jose Chameleon na mke wake, Daniella Atim, wanaweza kuachana hivi karibuni baada ya mwanamke huyo kwenda mahakamani kwa lengo la kudai talaka. Wawili hao walifunga ndoa Aprili 18, 2017 na wana watoto wanne ila kwa sasa wanaweza kuachana, huku mrembo huyo akidai kuwa ananyanyaswa mno na Chameleon. Kwa mujibu wa […]

Read More..

Tunu ya JB Kuzinduliwa leo Ukumbi wa Sinema...

Post Image

Kampuni ya steps itazindua Filamu ya Tunu leo kwenye ukumbi wa Sinema wa Quality Center (Sineplex Suncrest Cinema) kuanzia saa 12 jioni.      

Read More..

Joh Makini Akwepa Ishu Hii ya Fid Q

Post Image

Msanii wa hip hop kutoka Kundi la Weusi, Joh Makini, amesita kuzungumzia issue ya ushindani kati yake na rapa kutoka Mwanza Fareed Kubanda ‘Fid Q’. Mashabiki katika mitandao ya kijamii wamekuwa wakiwashindanisha wawili hao, kutokana na uwezo wao wa kuandika mistari na kuchana, hali ambayo imetengeneza taswira ya kwamba huenda hawana maelewano. Mtangazaji JJ wa […]

Read More..

VIDEO: Nay Afungukia Ishu ya Roma Mkatoliki

Post Image

Mwanamuziki anayesumbua kwa sasa na wimbo wa ‘Wapo’ Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego amejitetea kwenye eNewz ya EATV kuwa watu wasihusishe vitu anavyoweka kwenye mitandao ya kijamii na tukio la utekwaji wa msanii Roma Mkatoliki. Nay amefunguka hayo baada ya kuulizwa kuhusu maneno aliyoyaweka kwenye mtandao wake wa Instagram siku moja baada ya kupatikana kwa msanii Roma […]

Read More..

Wema: Deni Tulilonalo ni kwa Watanzania tu

Post Image

STAA wa filamu na malkia wa mtandao Bongo, Wema Abraham Sepetu ‘Maddam’, amewafungukia wasanii walioandamana Kariakoo wakidai kuwa filamu zao haziuzi kutokana na mfumo wa usambazi wa kazi zao uliopo jijini Dar. Madai hayo yamezuia mijadala kila kona ya jiji na nje ya Dar es Salaam. Wema amechapisha katika ukurasa wake wa Instagram na ujumbe […]

Read More..

Mwili wa Mbunge wa Chadema Wawasili -VIDEO

Post Image

Dar es Salaam.Naibu spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Tulia Ackson leo Alhamisi ameongoza mapokezi ya mwili Mbunge wa viti maalumu (Chadema) Dk Elly Macha. Dk Macha alifariki dunia Machi 31 mwaka huu katika Hospitali ya New Cross, Wolverhampton nchini Uingereza alikokuwa akitibiwa. Baadhi ya viongozi waliokuwepo wakati mwili huo ukiwasili, […]

Read More..

Yusuph Mlela Amfungukia Nay wa Mitego

Post Image

Msanii wa filamu nchini Yusuph Mlela amemtusi rapa Nay wa Mitego kwa kile anachodai kuwa msanii huyo anapotosha jamii juu ya maandamano waliofanya baadhi ya wasanii  wa filamu nchini. Yusuph Mlela ambaye kwenye post yake ameonekana kushindwa kutumia lugha ya staha huku akionesha kutokwa na povu jingi kutokana na mapokeo ya mashabiki wa filamu ambao […]

Read More..