Ney wa Mitego Awekewa Ulinzi Zanzibar

MKALI wa wimbo wa ‘Wapo’, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, amesema tangu alipotoa wimbo wa ‘Wapo’ amekuwa akifanya shoo zake katika mikoa mbalimbali akiwa na ulinzi wa kutosha. Mlinzi huyo kabla ya kuwasili visiwani Zanzibar kwenye tamasha la Muziki na Utamaduni la Zanzibar Swahili, alikubaliana na waandaaji wa tamasha hilo wampatie ulinzi wa kutosha na […]
Read More..