-->

Polisi Wadaiwa Kuuawa kwa Risasi Kibiti

Post Image

Ikwiriri. Polisi saba waliokuwa doria katika Kijiji cha Jaribu mpakani mwa wilaya za Rufiji na Kibiti mkoani Pwani, wanadaiwa kuuawa usiku huu kwa kupigwa risasi na watu wasiofahamika. Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Ernest Mangu amethibitisha kutokea kwa mauaji hayo, lakini akasema taarifa zaidi zitatolewa na kamanda wa polisi wa Mkoa wa Pwani. Taarifa […]

Read More..

Nisha na Majanga ya Kuvunjiwa Duka Lake

Post Image

MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amefunguka kuhusu duka lake la nguo lililopo Sinza Makaburini, Dar kuvunjwa huku wengine wakihisi kavunjiwa kwa sababu za bomoabomoa jambo ambalo mwenyewe amesema si la kweli bali anafanya ukarabati. Kuvunjwa kwa duka la Nisha kulizua sintofahamu kwa mashabiki wake hivi karibuni, jambo ambalo Show Biz Xtra ilimtafuta […]

Read More..

VIDEO: Alichokisema Rose Ndauka Kuhusu Mada...

Post Image

Staa mrembo kutoka Bongo Movie, Rose Ndauka amelifungukia swala na madai ya kuwa bongo movie imekufa kwa kueleza kuwa bongo movie haijafa kwa sababu wapo wasanii wanafanya kazi nzuri na kuwa  tatizo jamaii haitaki kuwapokea wasanii wapya. Akiongea na Ayo TV Entertainment, Rose Ndauka  alifun guka kuwa  anayesema Bongomovie imekufa anasambaza habari za upotoshaji tu kwa […]

Read More..

Rais Magufuli Ampigia Simu MwanaFA na Kumpo...

Post Image

Rais Dkt John Joseph Pombe Magufuli ni shabiki wa muziki wa Hamis Mwinyijuma maarufu kwa jina la MwanaFA, hilo limewekwa wazi na msanii mwenyewe. Rais Magufuli ameamua kuweka hisia zake hizo wazi kwa kumpigia simu msanii huyo wa Bongo Fleva na kumfikishia ujumbe kuwa yeye ni msikilizaji mzuri wa wimbo wake wa Dume Suruali. Katika […]

Read More..

VIDEO:Upendo Nkone Ataja Sababu ya Kutumia ...

Post Image

Msanii wa Injili nchini Upendo Nkone amekiri kuwa ni kweli alikuwa anatumia mkorogoro (anajichubua ngozi) lakini hivi sasa ameacha kufanya hivyo baada ya mashabiki wake kumjia juu na kutaka aachane na mambo hayo ya kujichubua. Upendo Nkone amesema hayo kupitia kipindi cha Kikaangoni kinachofanyika kupitia ukurasa wa facebook wa EATV kila siku ya Jumatano kuanzia […]

Read More..

Askofu Gwajima Afutiwa Kesi ya Kumtolea Man...

Post Image

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemwachia huru Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima katika kesi ya kutoa lugha ya matusi dhidi ya Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo. Gwajima ameachiwa huru leo baada ya mahakama kuifuta kesi hiyo kwa sababu upande wa Jamhuri […]

Read More..

VIDEO:Waziri Mwakyembe Atoa Sababu za Kuwep...

Post Image

Mbunge wa Chemba, Juma Nkamia, Jumanne hii alipata nafasi ya kusimama bungeni Dodoma ambapo alielezea kushangazwa na kitendo cha Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Dkt Harrison Mwakyembe kuwepo kwenye mkutano wa waandishi wa habari na rapper Roma aliyetekwa hivi karibuni na watu wasiojulikana. Hatimaye Dkt Mwakyembe, Jumatano hii amesimama bungeni kujibu hoja hiyo. “Nianze […]

Read More..

Witnesz Kibonge Mwepesi – Mzuka (Ofic...

Post Image

Msanii Witnesz ameachia video mpya wimbo unaitwa “Mzuka”, video imeongwa na kampuni ya Dreams Studio.

Read More..

NDANI YA BOKSI: Shoo ya Milioni 10, Shingon...

Post Image

Hasira. Inatia hasira. Kuchukuliana poa poa maisha haya. Jay Z ni mtoto wa maskini tu, aliyelelewa na mama. Atake asitake ni mtoto wa maskini. Aliyekulia sehemu za kipumbavu. Kipuuzi na kila aina ya ushenzi. Wendawazimu uliotopea. Ila binti yake Blue Ivy, atabaki kuwa mtoto wa tajiri na atakufa akijulikana kama mtoto wa tajiri. Jay Z […]

Read More..

Sakata la Roma, Davina Amuunga Mkono Wema

Post Image

BAADA ya supastaa wa filamu Wema Sepetu kuwashutumu wenzake wa Bongo Muvi kwa kutosapoti harakati za kupiga kelele kufuatia kupotea kwa Mwanamuziki wa Hip Hop, Ibrahimu Mussa ‘R.O.M.A’ kwa siku tatu na kusababisha kutoleana maneno makali mtandaoni na muigizaji mwenzake Vincent Kigosi ‘Ray’, Halima Yahya ‘Davina’ amemuunga mkono mrembo huyo wa zamani wa Tanzania akisema […]

Read More..

VIDEO: Mbunge Ali Kessy Amshambulia Roma Mk...

Post Image

Mbunge wa Nkasi Kaskazini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ali Mohamed Keissy amefunguka na kusema wasanii ambao wanaandika nyimbo za kumtukana na kumkashfu Rais Magufuli wanapaswa kupata kibano zaidi ili waache tabia hiyo. Mbunge huyo amesema hayo leo bungeni na kusema angeaachiwa yeye dakika mbili tu wangeona ni nini angewafanya, hivyo kuendelea kuwatetea […]

Read More..

Tunda Afunguka Kuhusu Maisha Yake Baada ya ...

Post Image

Mrembo  maarufu aliyependezesha video ya ‘Furaha’ ya Young D, Tunda 76 amedai kutajwa kwake kwenye orodha ya wanaohusika na dawa za kulevya kumempa changamoto ya kuaminika nyumbani kwa wazazi wake.   Tunda amezungumza hayo leo kwenye eNewz ya EATV na kusema kuwa tangu kutajwa kwenye wahusika wa matumizi ya madawa imemfanya kubadilisha mpaka mfumo wa […]

Read More..

Ndoa ya Lulu, Dj Majizo Yanukia

Post Image

BAADA ya kuwa kimya kwa muda mrefu, staa wa filamu mwenye vituko vingi, Elizabeth Michael ‘Lulu’, ameibuka na kuweka wazi kwamba yupo mbioni kukamilisha maandalizi ya ndoa yake na mmiliki wa Redio EFM, Francis Shiza ‘Dj Majizo’. Lulu, ambaye hivi karibuni alidaiwa kuachana na mpenzi wake huyo wa muda mrefu, aliliambia MTANZANIA kwamba taarifa hizo […]

Read More..

Mwenyekiti wa Freemanson Azikwa kwa Kuchomw...

Post Image

Dar es Salaam. Mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Freemason Afrika Mashariki, Sir Jayantilal Keshavji Chande maarufu kama Andy Chande, umeteketezwa leo Kijitonyama, jijini Dar es Salaam kupitia tukio lililodumu kwa takribani saa moja. Mwili huo umeteketezwa kwa moto kupitia ibaada iliyofanyika kwenye nyumba maalumu inayotumika kama sehemu ya maziko ya waumini wa dini ya Hindu. […]

Read More..

AUDIO:Bashe Awataka Wabunge Kuacha Unafiki

Post Image

Dodoma.Mbunge wa Nzega Mjini(CCM) Hussein Bashe amewataka wabunge kuacha unafiki kuhusu usalama kuwateka watu na kwamba yeye ni mmoja wa watu waliokamatwa wakati wa mkutano Mkuu wa CCM. Hivyo amesema kama wanataka wamfukuze CCM. Bashe alikuja juu baada Waziri wa Tamisemi, George Simbachawene kumtaka Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe kuthibitisha kuwa matukio ya ukamataji […]

Read More..

East Coast Team Haitarudi Tena – Mwana FA

Post Image

Msanii wa ‘HipHop’ Bongo Mwana FA amefunguka na kusema kundi la East Coast Team halitaweza kurudi tena katika mambo ya muziki tofauti na taarifa za awali za kurejea upya kwa kundi hilo. FA ameuweka wazi ukweli huo akiwa kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio kwa  kusema itakuwa vigumu kurudisha kundi hilo tena katika ulingo wa muziki […]

Read More..

Water Chilambo Aomba Nyimbo Zake za Bongo F...

Post Image

Aliyekuwa mshindi wa BSS Water Chilambo amesema anaomba TV na Radio kuacha kupiga nyimbo zake za bongo fleva kwa sasa na wamsapoti kwenye muziki wa Gospel ambao anaufanya. Akipiga story kupitia eNewz Chilambo amesema wametokea wasanii wengi pamoja na waandaaji wa muziki kumuita ili waweze kufanya kolabo ya nyimbo ya bongo fleva lakini aliwakatalia hali iliyowapelekea wengine […]

Read More..

Aunty Fifii Amkumbuka Kanumba, Akiwachana W...

Post Image

IJUMAA iliyopita ilitimia miaka mitano kamili tangu Steven Kanumba alipofariki dunia ghafla na kuleta majonzi nchini nzima, lakini huwezi kuamini ni wasanii wachache wa tasnia hiyo waliweza kufanya kumbukumbu yake. Jambo hilo limemkera mno mwingizaji mkongwe aliye pia mtunzi na mtayarishaji, Tumaini Bigilimana ‘Aunty Fifi’ ambaye aliongoza ibada ya kumbukumbu ya kifo cha Kanumba sambamba […]

Read More..