Wema, Mafufu Warushiana Maneno!

NYOTA wa filamu nchini, Wema Sepetu na Jimmy Mafufu, wameingia kwenye katika bifu kiasi cha kufikia kurushiana maneno kupitia kitandao ya kijamii. Wema siku chache zilizopita aliandika maneno katika ukurasa wake wa Instagram kuwa kuna baadhi ya wasanii wa Bongo Movie ni wanafki na wanaacha kuposti ishu ya kupotea kwa mwimbaji Roma badala yake wao […]
Read More..