-->

VIDEO:Wasanii Huu ni Wakati wa Kupendana-Jo...

Post Image

STAA wa filamu nchini, Blandina Chagula ‘Johari’ amesema kuwa kwa sasa wasanii wa maigizo wanapaswa kushikamana na kuondoa tofauti zao. Johari ameyasema hayo leo wakati akipiga stori na mwandishi wetu akiwa katika Makaburi ya Kinondoni kwa ajili ya sala fupi ya kumwombea aliyekuwa staa wa filamu Bongo, Steven Charles Kanumba aliyefariki siku kama ya leo […]

Read More..

Steve:Tumuenzi Kanumba kwa Vitendo

Post Image

MSANII wa maigizo na vichekesho nchini, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amesema kuwa, wasanii wa tasnia ya filamu wanapaswa kumuenzi kwa vitendo aliyekuwa staa wa filamu Bongo, Steven Charles Kanumba ambaye leo ametimiza miaka mitano tangu kifo chake. Steve alisema hayo leo wakati alipoungana na baadhi ya wasanii wa Bongo Movies kufanya ibada fupi ya kumuombea […]

Read More..

Roma Hashikiliwi na Polisi – Serikali

Post Image

Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, sanaa na Michezo imesema imepokea kwa mshtuko taarifa za kutoweka kwa Mwanamuziki Ibrahim Mussa kwa jina la kisanii “Roma Mkatoliki”  tangu tarehe 5 Aprili 2017. Katika taarifa yake iliyotolewa jioni ya leo na kusainiwa na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa wizara Zawadi Msalla, amesema kuwa wizara hiyo […]

Read More..

Mizengwe, Kundi Pekee La Comedy Lililosalia...

Post Image

Kikundi cha kash kash, kinajojishughulisha na shughuli za sanaa kwa kucheza ucheshi unaojulikaba kama Mizengwe ndio kikundi pekee hivi sasa kilichobakia kwenye tasnia ya ucheshi kwa kuweza kuendelea kuiburudisha jamii kupitia vichekesho vyao! Kikundi hicho kilichojaliwa kuwa na wachekeshaji wenye vipaji akiwemo mkwere original, maringo7, safina na wengineo wameweza kutawala na kukiimarisha kikundi hiki kwa […]

Read More..

Mwanamuziki wa Ubelgiji Atua Nchini Kufanya...

Post Image

Dar es Salaam. Mwanamuziki Kriticos kutoka Ubelgiji amewasili nchini kwa ajili ya kutengeneza wimbo wa pamoja na mwanamuziki Harmorapa. Kriticos ambaye anaimba miondoko ya kufokafoka, (rap) amesema ameupenda uimbaji wa Harmorapa na ndiyo sababu ya kuamua kufanya naye kazi. Aliyazungumza hayo muda mfupi baada ya kutua uwanja wa ndege wa Julius Nyerere leo mchana. Kwa […]

Read More..

Wauzaji wa Filamu za Nje Wapewa Siku 10 Kua...

Post Image

WAUZAJI wa filamu za nje wamepewa siku kumi wawe wameachana na biashara hiyo kwani haifuati utaratibu kisheria na kuwaacha wasanii ambao ndio wanaofuata vigezo vya uuzaji wa filamu kuwa maskini pamoja na kufanya kazi kubwa hayo oda hiyo imetolewa na mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda. Akiongea mbele ya Kamanda Simon Siro […]

Read More..

Diamond Awakata Midomo Wanaodai Nillah Sio ...

Post Image

Kupitia mtandao wa Instagram, msanii Diamond Platimuz ameweka picha za watoto wake, Tiffah na Nillan na kuandika maneno akiwaasa watumie vyema midomo yao. Prince & Princess Lion!!!.. Midomo mkaitumie vizuri hiyo watoto….?-Diamond ameandika Ujumbe amabao wengi wamaeuchukulia kuwa ni jibu kwa wale wote ambao walikuwa wakidai kuwa Nillan siyo mtoto Diamond na kuwa ni mtoto […]

Read More..

New Video: GaraGasha By Azma f/ Jongwe (Sug...

Post Image

New video kutoka kwa  msanii Azma Mponda akiwashirikisha Sugu, Izzo Bizness na Abela Music. Wimbo unakwenda kwa jina la Garagasha, Video imeongozwa na Andy Zabron Snr huku wimbo ukitayarishwa na Gwesa,Kita na Alfizoh.    

Read More..

Roma Mkatoliki na Moni Watekwa!

Post Image

Rapa Roma Mkatoliki ambaye hivi sasa anafanya vyema na wimbo wake ‘Usimsahau mchizi’  msanii mwenzake na Moni Central Zone wamekamatwa na kupelekwa kusikojulikana na watu wasiojulikana. Katika taarifa iliyotolewa na msanii Prof. Jay ambay pia ni mbunge wa Mikumi inasema msanii huyo alikamatwa jana akiwa studio. Prof. Jay ameandika katika ukurasa wake wa Facebook kuwa […]

Read More..

Pombe Imemniletea Wolper Ubonge

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Jackline Wolper, ameweka wazi kwamba pombe ndiyo inayomsababishia unene anaopigania sasa kuupunguza. Wolper alisema watu wengi wanadhani ulaji wa chakula zaidi ndiyo unaosababisha mwili wake kuwa mnene kiasi cha kutowavutia baadhi ya mashabiki wake lakini ukweli ni kwamba unene huo unasababishwa na unywaji zaidi wa pombe. “Unajua sikuwa mnywaji na […]

Read More..

Video:Flora amethibitisha kuzaa nje ya ndoa...

Post Image

Muimbaji wa nyimbo za injili madam Flora (Zamani Flora Mbasha) amekiri kupata mtoto nje ya ndoa yake na aliyekuwa mume wake Emmanuel Mbasha ambaye pia ni muimbaji wa nyimbo za injili. Imefahamika. Hilo limefichuliwa leo na aliyekuwa mumewe, Emmanuel Mbasha, alipokuwa kwenye kipindi cha Kikaangoni kinachorushwa kupitia ukurasa wa facebook wa EATV kila siku ya Jumatano […]

Read More..

Wazazi Walimkataa Alienipa Ujauzito-Linnah

Post Image

Msanii wa muziki Linah Sanga ambaye kwa sasa ni mjamzito amefunguka kwa kudai kuwa wazazi wake walimkataa mpenzi wake wa sasa kwa kigezo cha dini. Muimbaji huyo ambaye amelelewa katika misingi ya dini ya kikristo, amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds Fm kuwa haikuwa rahisi kwa wazazi wake kumkubali mwanaume huyo. “Mwanzoni wazazi wangu walimkataa […]

Read More..

Wema Sepetu Ampa Makavu Harmorapa

Post Image

MSANII wa filamu nchini Wema Sepetu, ‘Madam’ amemfungukia  Msanii wa Bongo Fleva, Harmorapa baada ya hivi karibuni kujinadi mtandaoni kuwa yupo tayari kumuoa Wema. Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram, Wema ameandika kuwa anamheshimu Harmorapa kama msanii mwenzie hivyo kitendo cha kujinadi mtandaoni kuwa yupo tayari kuwa na Wema katika mahusiano si sawa ajaribu […]

Read More..

Uwoya: Nasaka Pesa Kwa Sababu ya Mtoto Wang...

Post Image

STAA wa filamu za Bongo Movie, Irene Uwoya, ameweka wazi kwamba bidii yake na ubunifu aliouongeza katika kazi zake anazofanya kwa sasa zinatokana na nia yake ya kutaka kumwandalia mazingira bora mtoto wake, Krish. Uwoya alisema kwa sasa anaweza kukidhi mahitaji yote ya mwanae lakini hatayamudu kama hataendeleza ubunifu katika sanaa ya uigizaji na shughuli […]

Read More..

Wema Sepetu: Sitoi Umaarufu Tena

Post Image

MISS Tanzania mwaka 2006 na mwigizaji wa filamu nchini, Wema Sepetu, amesema atamshtaki yeyote atakayetaka kupata jina kubwa kwa jamii kupitia mgongo wa jina lake kama baadhi ya wasanii waliotambulika kwa jamii kupitia jina lake. Wema alisema baadhi ya wasanii waliopata majina makubwa kutokana na kuwa karibu naye hawana heshima wala fadhila kwake, hivyo hataki […]

Read More..

Simu Yamponza Aliyejitosa Baharini

Post Image

Zanzibar. Msichana aliyejirusha baharini juzi, alikimbia kwao Zanzibar baada ya kukutwa na simu kinyume na utamaduni wa familia yao. Msichana huyo, ambaye jina tunalihifadhi kwa sababu za kimaadili kutokana na kuwa na umri mdogo, alikuwa amepanda boti ya Kilimanjaro iliyokuwa ikisafiri kwenda Zanzibar juzi na alijirusha katika Bahari ya Hindi saa 5:15 asubuhi. Picha za […]

Read More..

Batuli: Sina Tatizo na Uwoya

Post Image

Mwanamama wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ ameweka wazi kuwa hana tatizo na mwigizaji mwenzake, Irene Uwoya labda aulizwe yeye (Uwoya) kwani anasikia tu watu wakisema kuwa ana bifu naye. Batuli aliliambia Wikienda kuwa, anachojua yeye hana ugomvi na Uwoya na wala hana muda wa kusoma mitandaoni lakini angeomba aulizwe Uwoya. “Sina muda wa […]

Read More..

Wema Sepetu Alipamba Jarida la Kenya ‘Tru...

Post Image

Malkia wa filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu amekava jarida kubwa la True Love Magazine East Africa la nchini Kenya. Kwa sasa jarida hilo linaingia mtaani katika msimu huu wa pasaka. Kupitia Instagram, True Love Magazine East Africa, wameshare cover lake ambalo limepokelewa na maoni tofauti. Katika jarida hilo Wema amezungumzia hela, wanaume pamoja na maisha […]

Read More..