-->

Nikki wa Pili Awapa Darasa BASATA

Post Image

Msanii Nikki wa Pili kutoka katika kampuni ya Weusi amelitaka Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) kufanya mpango kuwaita wasanii kwa ujumla ili wakae pamoja waweze kuwaweka sawa juu ya neno “maadili” linalotumiwa kama fimbo ya kuwachapa ‘wasanii’. Ametoa neno hilo leo wakati wakitambulisha wimbo wao mpya unaoitwa ‘Ya Kulevya’ kupitia kipindi cha Planet Bongo ya […]

Read More..

Nay wa Mitego Afunguka Baada Kuachiwa (Vide...

Post Image

Msanii wa muziki wa hip hop Nay wa Mitego amefunguka mengi mbele ya waandishi wa habari muda mchache baada ya kuachiwa na jeshi la polisi. Rapa huyo alishikiliwa na jeshi hilo kwa siku mbili baada ya wimbo wake mpya ‘Wapo’ kuonekana hauna maadili. Akiongea na waandishi wa habari baada ya kutoka kituo cha polisi alipokuwa […]

Read More..

Bi Mwenda Aukubali Uzee

Post Image

DAR ES SALAAM: Mwigizaji mkongwe wa sinema za Kibongo, Fatuma Makongoro  ‘Bi Mwenda’ sasa ameukubali uzee baada ya kusumbuliwa na miguu ambayo imempunguzia kasi ya kufanya kazi zake za sanaa. Akizungumza na Wikienda , Bi Mwenda alisema kuwa, sasa uzee ndiyo umekamilika kwani anasumbuliwa na miguu lakini anashukuru Mungu mambo yanakwenda vizuri. “Nilipenda kutania uzee […]

Read More..

Profesa Jay: Diamond, Kiba Wanaua Bongo Fle...

Post Image

MKONGWE kwenye muziki wa Hip Hop Bongo, Joseph Haule ‘Profesa Jay’ ameibuka na kusema kuwa, wasanii  mahasimu wakubwa, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na Ali Kiba ndiyo wanauoa muziki wa Bongo Fleva.   Profesa Jay ambaye ni Mbunge wa Mikumi, akiwa ameachia ngoma yake mpya ya Kibabe hivi karibuni  amefanya mahojiano na Polisi wa Swaggaz na kuzungumza […]

Read More..

Rais Magufuli Aagiza Nay wa Mitego Aachiwe ...

Post Image

Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mheshimiwa John Magufuli, amelitaka jeshi la polisi nchini kuhakikisha linamwachia huru msanii wa muziki wa kizazi kipya, Emmanuel Elibariki maarufu Nay wa Mitego, aliyekamatwa mjini Morogoro jana. Akizungumza na waandishi wa habari leo mjini Dodoma, Waziri wa Habari, Utamaduni na  Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, amesema Rais Magufuli amesema […]

Read More..

Hawa Ndiyo Wasanii Watano Anaowakubali Shil...

Post Image

Msanii Shilole ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake ‘Sitoi kiki’ amefunguka na kuwataja wasanii watano wa bongo fleva ambao yeye anawakubali na kupenda kazi zao. Shilole alifunguka hayo kupitia kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio na kusema katika wasanii hao msanii wa kwanza kabisa anayemkubali ni Bi. Khadja Kopa “Jamanii mimi nampenda […]

Read More..

Simu ya JPM Kwa Diamond Inaweza Kuleta Maba...

Post Image

JAPO sanaa ni utajiri ila kuna baadhi ya wahafidhina bado wanaona ni kitu cha kihuni. Kwao msanii ni muhuni na sanaa ndiyo uhuni wenyewe. Bahati mbaya dhana hii haiko kwa watu wa kawaida ila imesambaa mpaka kwa baadhi ya watu walio madarakani. Na hali inapofika hapa ndiyo wazi unajua kuwa sanaa haiwezi kuendelea. Mfano mzuri […]

Read More..

Gwajima: Nitaendelea Kusema Ukweli Fitina K...

Post Image

Dar es Salaam. Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amesema ataendelea kusema ukweli na hataogopa chochote. “Nitaendelea kusema ukweli fitina kwangu mwiko” alisema hayo katika mahubiri yake ya leo kanisani kwake Ubungo. Pamoja na mambo mengine, Askofu huyo, alisema Clouds Media ni rafiki zake kwa sababu wamewaeleza ukweli watanzania. Alisema hata waislamu […]

Read More..

Harmorapa Ala Shavu, Awa Balozi

Post Image

MSANII wa Bongo Fleva anayetrendi katika mitandao ya kijamii Bongo, ‘Hamorapa’ anatazamiwa kuwa balozi wa Kinywaji kiitwacho Swala. Akizungumza na mwandishi wa mtandao huu, Hamorapa amefunguka kuwa yupo katika mazungumzo na kampuni inayozalisha kinywaji hicho na anatarajia kupata dili nono ya kukitangaza kinywaji hicho.  

Read More..

Ney wa Mitego Awekwa Mtegoni, Akamatwa

Post Image

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi limethibitisha kumkamata na kumshikilia rapa wa muziki wa kizazi kipya, Emanuel Elibariki maarufu Nay Wa Mitego leo usiku mjini Morogoro. Akizungumza na Mwananchi, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Ulrich Matei alithibitisha kumkamata rapa huyo kwa kosa la kutoa wimbo unaoikashifu […]

Read More..

VIDEO: Prof Jay Ajisafisha kwa Afande Sele,...

Post Image

Mkongwe wa hip hop bongo, Joseph Haule ‘ Prof Jay’ amekanusha kuwa ‘disi’ wasanii wenzake akiwepo Alikiba pamoja na Afande Sele kwenye wimbo wake mpya wa ‘Kibabe’. Katika ngoma hiyo, kuna mstari usemao ‘Mwambieni mfalme wenu siti yangu aifute vumbi’, mstari ambao umekuwa ukizusha hisia kuwa ni dongo kwa Afande Sele ambaye amewahi kupata taji ya […]

Read More..

VIDEO: Steve Nyerere Atoa Neno kwa Nape

Post Image

Muigizaji maarufu wa vichekesho  Steve Nyerere amemshauri Mh.Nape Nauye kumshukuru Mungu na kumuomba kwa kutenguliwa uwaziri kwa kuwa hajui ameepushwa na jambo gani. Akiongea na eNewz Steve Nyerere ameendelea kusema kwamba Mh. Nape nje ya uwaziri alikuwa ni msanii pia na alikuwa anaithamini thamani ya msanii na kuilinda pia alikuwa akipenda maendeleo ya wasanii na maendeleo yake na […]

Read More..

Askofu Gwajima Awavuta Stan Bakora na Kital...

Post Image

Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima Ministries, Josephat Gwajima amesema Jumapili hii atatembelewa na wachekeshaji Kitale ‘Mkudesimba’ pamoja na Stan Bakora. Gwajima amekuwa akitamka mara kadhaa kwamba anavutiwa na wachekeshaji hao ambao wamekuwa maarufu kutokana na vichesho vyao ambavyo vilikuwa vinarushwa kupitia redio ya EFM. Jumamosi hii mchungaji huyo ambaye amekuwa akizuru katika vituo […]

Read More..

Shilole: Nikichemka Muziki, Nakuwa Mama Lis...

Post Image

STAA wa Muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ameibuka na kusema kuwa endapo itatokea muziki ukambumia atageukia kazi ya mama ntilie ‘mama lishe’ kwa sababu anaipenda na iko kwenye damu. Akibonga na Risasi Jumamosi, Shilole alisema tangu akiwa mdogo anapenda sana kupika hivyo hata sasa pamoja na kufanya muziki amekuwa akipika mwenyewe kwenye mgahawa […]

Read More..

Harmonize Adaiwa Kumuoneshea Ishara Mbaya M...

Post Image

Taarifa iliyotolewa na Kituo cha East Africa Television kupitia ukurasa wao wa Twitter imeeleza kuwa, Msanii kutoka WCB, Harmonize ilikuwa awepo kwenye kipindi cha FNL cha televisheni hiyo usiku huu, lakini ameingia mitini baada ya kumuona meneja wa msanii Harmorapa maeneo ya studio hizo. Inadaiwa kuwa baada ya kumuona meneja wa Harmorapa, msanii Harmonize amemuoneshea kidole cha […]

Read More..

Harmonize Awajibu Wanaoiponda Script ya Vid...

Post Image

Ni wiki moja sasa tangu First Born wa WCB,Harmonize apandishe Youtube video yake mpya ya Niambie ambayo imeonekana kupondwa na baadhi ya watu kuwa haijaendana na maudhui ya audio. Watu wengi wanadai kuwa audio inajenga picha ya umaskini,lakini kwenye video Harmonize anaonekana kwenye maisha ya kishua sana,jambo ambalo limewakera baadhi ya mashabiki.

Read More..

Nahitaji Demu Mzuri Anagonga Ngeri Sana- Id...

Post Image

IDRIS Sultan mwigizaji na mchekeshaji katika tasnia ya filamu Bongo amefunguka kwa kusema kuwa anahitaji mwanamke ambaye atamuoa, sifa ya kwanza awe mzuri sana awe na tabia nzuri hasa ya kuwapenda watoto kwani yeye anapenda Watoto zaidi. “Siku hizi mambo ya kidigitali mambo yanakuwa wazi tu, binafsi nampenda mwanamke mwenye sifa hizi awe na akili, […]

Read More..

Ikulu Yakanusha Taarifa ya Serikali Kufuta ...

Post Image

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Ikulu, Gerson Msigwa ameikanusha taarifa inayosambaa ikionyesha kuwa serikali inatishia kuifuta mitandao ya kijamii. Taarifa hiyo iliyoonyesha imeandaliwa na Ikulu, ilieleza kuwa serikali haitasita kuifuta mitandao ya kijamii iwapo itabaini kuwa yote yanayoendelea hayana tija. “Serikali inafuatilia kwa karibu yote yanayoendelea kwenye mitandao ya […]

Read More..