Nikki wa Pili Awapa Darasa BASATA

Msanii Nikki wa Pili kutoka katika kampuni ya Weusi amelitaka Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) kufanya mpango kuwaita wasanii kwa ujumla ili wakae pamoja waweze kuwaweka sawa juu ya neno “maadili” linalotumiwa kama fimbo ya kuwachapa ‘wasanii’. Ametoa neno hilo leo wakati wakitambulisha wimbo wao mpya unaoitwa ‘Ya Kulevya’ kupitia kipindi cha Planet Bongo ya […]
Read More..