-->

Filamu za Kibongo Kuanza Kuuzwa Nchini Chin...

Post Image

Wasanii wa filamu za kibongo wamepewa fursa ya kuanza kuuza filamu zao nchini China ambao sasa zitakuwa zikitafsiriwa kwa lugha ya nchi hiyo kama ambavyo Rufufu amekuwa akitafsiri za kwao hapa nchini. Aliyekuwa Waziri wa Habari, Michezo, Sanaa na Utamaduni, Nape Nnauye aliwaombea wasanii hao kwa serikali ya China ambapo maombi hayo yalipokewa kwa mikono […]

Read More..

Harmorapa Afungukia Kilichomtoa Mbio kwa Na...

Post Image

Msanii asiyekaukiwa ‘kiki’ katika ulingo wa sanaa ya Bongo, Harmorapa amesimulia kilichomkuta alipokwenda kumuona aliyekuwa Waziri wa habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Nape Nnauye kiasi cha kutoka mbio za aina yake, baada ya kuona bastola. Harmorapa ambaye kwa sasa anatamba na ngoma yake inayokwenda kwa jina la ‘Kiboko ya Mabishoo’ aliyomshirikisha Juma Nature, amesema kilichomfanya aende katika […]

Read More..

Diamond, Belle9 Wambeba Saida Kalori

Post Image

WASANII wa Muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na Abednego Damian ‘Belle9’ wamembeba msanii mwenzao anayeimba nyimbo za asili, Saida Kalori kwa kushiriki katika albamu yake itakayoitwa Naamka. Akilonga na Showbiz, Saida aliyewahi kutamba na Wimbo wa Chambua Kama Karanga ‘Maria Salome’ alisema kuwa anamshukuru Mungu amerudi tena kwenye gemu na wasanii hao wamempa […]

Read More..

VIDEO: Magufuli Ashuhudia Tena ‘Madud...

Post Image

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo amefanya ziara ya kushtukiza katika bandari ya Dar es Salaam kwa lengo la kufuatilia utekelezaji wa maelekezo aliyoyatoa kwa nyakati tofauti Maelekezo hayo ni juu ya kudhibiti udanganyifu wa mizigo inayoingia na kutoka nchini kupitia bandari hiyo ikiwemo usafirishaji wa mchanga wa […]

Read More..

Mrisho Mpoto Alia na Wanasiasa

Post Image

Msanii Mrisho Mpoto amewaomba wanasiasa waachie ‘gap’ kidogo ili wasanii nao waweze kupata muda wa kutambulisha kazi zao za sanaa kwa jamii ambayo sasa imetekwa na upepo wa siasa. Hayo yameibuka kutokana na matukio makubwa ya kisiasa kila kukicha na baadhi ya wasanii wakiongozwa na Mpoto kuandika katika mitandao ya kijamii kuwataka wanasiasa wajaribu kidogo kupunguza kasi […]

Read More..

Video: Harmorapa Atimua Mbio Baada ya Kuion...

Post Image

Harmorapa ni bingwa wa kumendea headlines kwenye matukio makubwa yanayowahusu watu wenye majina. Hata hivyo Alhamis hii mambo yalitaka kumtokea puani. Rapper huyo mwenye visa alitimba Protea Hotel jijini Dar es Salaam ambako mheshimiwa Nape Nnaye alikuwa ameenda kuzungumza na waandishi wa habari, lengo lake kumpa pole kwa masahibu yaliyompata – kuvuliwa uwaziri. Hata hivyo […]

Read More..

Akaunti ya Shamsa Ford Yenye Followers 2.1m...

Post Image

Wizi wa akaunti za mitandao ya kijamii kwa mastaa Bongo bado unaendelea – na sasa ni zamu ya Shamsa Ford kulia. Akaunti ya mtandao wa Instagram ya muigizaji huyo ambayo ilikuwa na followers milioni 2.1 imedukuliwa (hacked) usiku wa Jumanne hii. Akiongea na Bongo5, Shamsa amesema kwa sasa bado anaendelea kushughulikia jambo hilo kuhakikisha anairudisha […]

Read More..

Barnaba Afunguka Ukweli Kuhusu Mke Wake

Post Image

Mkali wa bongo fleva Barnaba Classic amesema yeye na mke wake hawajaachana kama watu wanavyoamini lakini wametofautiana kidogo. “Kwa sasa siko kwenye maelewano mazuri na mama watoto wangu, siyo kwamba tumeachana au tumetengana sitaki kusema hivyo pia wimbo wangu mpya huu wa Lonely sijamuimbia mtu na hauhusiani na maisha yangu kabisa”. Alisema Barnaba Aidha msanii huyo […]

Read More..

RAY: Ningeteuliwa Waziri Ningeanza Kuwachuj...

Post Image

MKONGWE wa filamu Nchini, Vicent Kigosi ‘Ray’, amefunguka kuwa kama angeteuliwa kuwa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, angeanzisha mpango maalumu wa kuwachuja wasanii. Akiongea na +225 Kipindi cha XXL cha Clouds Fm amedai kuwa kila mtu anataka kuwa msanii, hakuna mgawanyiko wa kazi. Msanii akicheza filamu moja basi kesho ameshakuwa staa na anavaa kofia […]

Read More..

Nape Azungumza Chini ya Ulinzi wa Polisi

Post Image

Dar es Salaam. Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, amezungumza na wanahabari nje ya hoteli ya Protea baada ya mkutano wake kuzuiwa na Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Kinondoni. Katika mkutano huo, Nape alionyeshwa kushangazwa na kitendo cha polisi kumnyooshea bunduki alipokuwa akitaka kuzungumza na wanahabari katika eneo hilo. “Mimi ni mtu mdogo sana ndani ya […]

Read More..

Shilole:Sipangiwi Kuzungumza Kiingereza

Post Image

Msanii wa kizazi kipya Zuwena Mohamed ‘Shilole’ anayetamba na wimbo wa ‘Hatutoi kiki’ amefunguka kuwa hapendi kuzungumza lugha ya Kiingereza pasipo sababu kwakuwa ametumia gharama kuilipia lugha hiyo, na hivyo hakuna wa kumpangia kuizungumza. Akiwa East Africa Radio kwenye kipindi cha Planet Bongo Shilole amesema kwamba watu wanaomtaka yeye kuzungumza Kingereza wanapoteza muda wao kwa […]

Read More..

Hofu ya Kupotezwa na WCB Ilivyomtesa Harmon...

Post Image

Msanii kutoka lebo ya WCB Wasafi, Harmonize amefunguka na kudai alipata hofu ya kufanyiwa fitina kwenye muziki baada ya uongozi wake kumtaka kuachia wimbo wake mpya kupitia mtandao ulioanzishwa na lebo hiyo. Harmonize amefunguka katika Planet Bongo na kusema kuwa uongozi wake ulipomtaka kumtanguliza kama chambo alidhani wamedhamiria kumpoteza katika ramani ya muziki ndiyo maana […]

Read More..

Snura: Sitaki Wanangu Wanifuate

Post Image

STAA wa Muziki wa Bongo Fleva, Snura Mushi amefunguka kuwa licha ya uanamuziki wake, kamwe hawezi kuwaruhusu wanawe wawe wanamuziki kwani havutiwi na changamoto zilizomo. Akipiga stori na Risasi Vibes, Snura ambaye ana watoto wawili, alisema matarajio yake ni kuona watoto wake wakitafuta kazi nyingine kwani wakiwa fani tofauti watakuwa msaada mkubwa kwake. “Nafanya muziki […]

Read More..

Jay Dee Ataja Kinachomfanya Aendelee Kuwa B...

Post Image

Mwanamuziki Lady Jay Dee kutoka Tanzania amesema kitendo cha yeye kuto-lewa sifa ndiyo kimemfanya kuendelea ku-hit katika soko la muziki ndani na nje ya nchi mpaka sasa. Msanii huyo amedai kuwa hiyo ndiyo siri pekee iliyomfanya aweze kupita katika vipindi vyote vigumu mpaka leo hii bado yupo katika soko na kuendelea kufanya vizuri kila leo akiachia […]

Read More..

Ridhiwani: Baba Alinitoa Hofu

Post Image

Dar es Salaam. Baada ya kuitwa kuhojiwa kuhusu tuhuma za kuhusika na biashara ya dawa za kulevya, Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete amesema taarifa hizo zilitingisha familia yake, lakini baba yake Jakaya Kikwete alimtia moyo. Tofauti na watuhumiwa wengine waliohojiwa kuhusu matumizi na biashara ya dawa za kulevya, Ridhiwani hakutangazwa hadharani badala yake aliitwa kimyakimya […]

Read More..

Snura: Natamani Nimrudie Mungu

Post Image

MSANII aliyetamba na wimbo wa Chura, Snura Mushi, amesema malengo yake makubwa ni kumrejea Mungu kabla hajaaga dunia. Snura alisema imani yake ni kwamba mambo ya dunia yana mwisho wake, hivyo kuamua kuwa mlezi wa madrasa aliyoachiwa na marehemu babu yake iliyopo Yombo Vituka, kama njia ya kumrudia Mungu. “Najitahidi kufanya kazi kwa bidii na […]

Read More..

Shilole Awafungukia Wanaomuhusisha na Nuh M...

Post Image

Msanii wa bongo fleva nchini Tanzania Shilole ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wake mpya ”Hatutoi kiki’ amewataka watu kuacha tabia ya kuendelea kumzushia vitu ambavyo sio vya kweli baina yake na Nuh Mziwanda. Hayo yamekuja baada ya kuzagaa kwa picha zinazowaonesha wakiwa pamoja katika mapozi ya kimapenzi jambo ambalo Shishi amesema siyo la kweli […]

Read More..

Wasafi.com ni Mtego kwa Mastaa Bongo

Post Image

AGOSTI 2, 2016 staa mwenye jina kubwa ulimwenguni Shawn Carter ‘Jay Z’ alitimiza malengo yake ya muda mrefu kwa kuwa msanii wa kwanza duniani kumiliki mtandao ambao umewawezesha waandishi wa muziki na wanamuziki mastaa wakubwa duniani kufaidika na jasho lao kwa kuuza kazi zao za audio na video kwa mashabiki wao duniani kote. Mtandao huo […]

Read More..