-->

Masogange Apewa Onyo na Mahakama

Post Image

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirisha kesi ya dawa za kulevya inayomkabili msanii Agnes Gerald Waya maarufu kama Masogange baada ya kutohudhuria kesi hiyo mahakamani. Kesi hiyo ambayo imetajwa kwa mara ya kwanza mbele ya hakimu mkazi wa Kisutu Wilbard Mashauri wakili wa serikali Adolf Mkini amesema kuwa mshtakiwa anakabiliwa na mashtaka mawili ya kutumia […]

Read More..

Wema, Jike Shupa Kimenuka!

Post Image

Ule ushosti wa staa wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu na muuza sura kwenye video za wasanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Zena Abdallah ‘Jike Shupa’ unadaiwa kuvunjika na sasa kila mmoja yupo na mambo yake, Risasi Jumamosi linatiririka. Chanzo makini kililieleza gazeti hili kuwa wawili hao kwa sasa hawana ushosti tena kutokana na watu […]

Read More..

Harmonize: Sijui Kama Diamond Aliwahi Kuwa ...

Post Image

Harmonize ameendelea kusisitiza msimamo wake kuwa hajawahi kusikia kama Diamond na mpenzi wake Jacqueline Wolper waliwahi kuwa na mahusiano. Akiongea kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM, muimbaji huyo amekana kabisa kuwahi kusikia kama mpenzi wake huyo alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na bosi wake ambaye ni hitmaker wa Marry You. “I don’t know […]

Read More..

VIDEO: Kamata, Kafumu Waachia Ngazi

Post Image

Mwenyekiti na makamu mwenyekiti wa kamati ya bunge ya viwanda, biashara na mazingira wamejiuzulu katika nafasi zao kwa madai kamati imekuwa ikikutana na changamoto nyingi zinazowasababishia kushindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo. Mwenyekiti wa kamati hiyo, Dk. Dalali Kafumu, ambaye ni mbunge wa Igunga na makamu mwenyekiti wake, Vicky Kamata, wametoa taarifa hiyo leo wakati wakizungumza […]

Read More..

VIDEO: JPM Amtaka Makonda Aendelee Kuchapa ...

Post Image

Dar es Salaam. Rais John Magufuli amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuendelea kuchapa kazi na kwamba yeye hafanyii kazi maneno ya kwenye mitandao kwasababu yeye ndiyo Rais wa nchi hii. Rais Magufuli amesema kuna baadhi ya watu wanaingilia majukumu yake wakati yeye ndiyo mwenye uamuzi na kwamba hapangiwi kazi ya […]

Read More..

Sitamtambulisha Mpenzi Wangu Tena – Nisha

Post Image

Msanii machachari wa bongo movie Nisha Bebe amesema hatorudia kosa la kumtambulisha mpenzi wake kwa sasa bali atamtambulisha mume wake akiwa tayari. Akiongea kupitia eNewz ya EATV, Nisha amesema  “Sirudii makosa kwa sasa hivi wasitarajie kumsikia mpenzi wangu wala kumtambulisha kwa jamii mtu nitakaye kuja kumtambulisha ni mume wangu ambaye tayari nishampata ila tunachunguzana tabia kwanza kwa sasa” aliongea Nisha […]

Read More..

Zanzibar Yalipa Tanesco Sh 10 Bilioni

Post Image

Dar es Salaam. Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema kuwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar(SMZ) imeanza kulipa deni lake inalodaiwa na Shirika la Umeme Tanzania(Tanesco). Taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Gerson Msigwa imesema kuwa Profesa Muhongo amesema SMZ imelipa kiasi cha Sh10 bilioni na itaendelea kulipa deni hilo […]

Read More..

Mh. Temba: Sijawahi Kubebwa na Chege

Post Image

Msanii wa bongo fleva Temba amesema maneno yanayoongelewa kwamba anabebwa kimuziki na msanii mwenzake Chege hali inayompelekea ashindwe kuachia nyimbo kwa muda mrefu hayana ukweli wowote. Akiongea kupitia eNewz ya EATV, Temba amesema kuna biashara alikuwa anafanya na mtu iliyokuwa inahusiana na muziki ambayo mwisho wake aliyekuwa anafanya naye biashara alimizimia simu na kumkimbia hali iliyopelekea kushindwa […]

Read More..

Alikiba Kuweka Muziki Wake Wasafi.com, Sawa...

Post Image

Kwa takribani miaka mitatu sasa mafahari wawili wa muziki wa kizazi kipya yaani Bongo Flava Alikiba na Diamond Platinumz wamekuwa katika bifu zito sana, licha ya wao kujaribu kila siku kuukwepa ukweli huo. Hakuna kati yao ambaye amewahi kujitokeza hadharani na kukiri uhasama kati yao lakini ni wazi kuwa watu hawa hawapikiki chungu kimoja. Mara […]

Read More..

VIDEO:Mzee Hashim Rungwe Autaka Ukocha wa T...

Post Image

Mwenendo usioridhisha wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, umemuibua Mwenyekiti wa chama cha siasa cha Ukombozi wa Umma, (CHAUMMA), Mzee Hashim Rungwe, kutaka yeye ndiyo aitwe kuwa kocha wa timu hiyo. Mzee Rungwe ambaye alikuwa KIKAANGONI ya EATV, alikutana na swali lililomkumbusha wakati alipowahi kutamka kuwa anahitaji kuwa kocha wa timu, ambapo mzee […]

Read More..

Makala: Kifo Bongo Movie, Mazishi Bongo Fle...

Post Image

Kutoka Instagram, muigizaji mkongwe Norah ameandika. Ni kama Chid Benz. Tofauti yake ni kwamba tasnia ya filamu haijapelekwa ‘soba hausi’. Wasanii na wadau wa filamu wamechoka. Wameishiwa mbinu. Nguvu. Na mizuka ya kazi. Sanaa imegeuka kijiwe cha watu wasio na malengo na maisha. Wanajifanyia tu. Ndicho kilichoifikisha hapa tasnia hii yenye mamilioni ya mashabiki na […]

Read More..

Tatizo Siyo ‘Series’ za Kikorea, Shida ...

Post Image

KUKATAA ukweli hakujawahi kuwa tiba ya tatizo. Ukihisi unaumwa kisha ukakataa kupima hakuondoi ukweli wa tatizo ila kutazidi kudhoofisha afya yako zaidi. Hali hii ilikuwa kwenye tasnia ya filamu Tanzania. Kwa muda mrefu wadau walipaza sauti na kusema tasnia ya filamu ilikuwa imefubaa na inaelekea kufa ila cha kusikitisha wasanii na watayarishaji wa filamu hizi […]

Read More..

2

Sauti ya Mama Wema Ingenitoa Roho – Steve...

Post Image

MCHEKESHAJI maarufu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amefunguka kuwa, kama si  ujasiri wa kiume, sauti iliyovujishwa na mama wa mwigizaji Wema Sepetu, Miriam, akisikika akiwataja baadhi ya viongozi kushirikiana naye ili kumsaidia Wema atoke sero, ingemsababishia kifo kwa presha. Nyerere alisema suala hilo limshtua kiasi ambacho aliona dunia yote itamlaumu yeye hivyo anamshukuru Mungu alisimama […]

Read More..

Wasanii Mmemsikia Rais Magufuli?

Post Image

WENYE kupenda kulalamika, wataendelea kulalamika kuwa sanaa ya Bongo hailipi. Hata hivyo ukiwauliza sababu, watakutajia za ajabuajabu tu. Wasanii wa kweli, wenye kushughulisha bongo zao, wenye kuzidisha ubunifu, hawalalamiki badala yake wanaendelea kupiga kazi kwa nguvu zaidi. Mafanikio yao yanaonekana. Kwa mfano hapa Bongo, tunawaona zaidi wasanii wa Bongo Fleva na Bongo Muvi wakichuana kwa […]

Read More..

Video: Professor Jay – Kibabe

Post Image

Mbunge wa jimbo la Mikumi na msanii mkongwe wa Bongo fleva Joseph Haule a.k.a Professor Jay ameachia video yake mpya wimbo unaitwa “Kibabe”. Video imeongozwa na Hanscana.

Read More..

Dakika 10 na Idris Sultan

Post Image

Inawezekana ukamchukulia poa lakini mshindi wa Big Brother Africa – Hotshots, Idris Sultan yupo makini sana linapokuja suala la uhusiano wa kimapenzi licha ya kwamba maisha yake ya upande huo yana ajali nyingi. Idris ambaye ni mchangamfu na mchekeshaji ukiwa naye, amefunguka mengi kuhusu maisha yake. Mazungumzo yake ya dakika 10 na Starehe, ameelezea kuhusu […]

Read More..

VIDEO: Bill Nass Afunguka Haya Kuhusu Diamo...

Post Image

Rapa Bill Nas ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake ‘Mazoea’ aliomshirikisha rapa mkongwe katika muziki wa bongo Mwana FA amefunguka na kusema katika mapinduzi ya video za Bongo fleva ambazo zilileta tija katika muziki wetu ipo video ya Diamond. Bill Nass alisema hayo kupitia kipindi cha Nga’z Kwa Nga’z. Tazama video hii akinyoosha maelezo.

Read More..

Thea Ataja Madhara ya Mapedeshee

Post Image

STAA wa filamu nchini, Ndumbagwe Misayo ‘Thea’ amefunguka kuwa hana mpango na hategemei mapedeshee  kuendesha maisha yake kwani madhara yake ni makubwa. Akibonga na Risasi Jumamosi, Thea alisema katika maisha yake hajawahi kutegemea wanaume mapedeshee wamwendeshee maisha yake kwani kuna hasara kubwa kwa sababu mastaa wengi wa kike wanaoishi kwa kuwategemea hujikuta wakiachwa na kurudi […]

Read More..