-->

Rammy Galis: Kucheza Series Inalipa Kuliko ...

Post Image

Hivi karibuni nilipata chance ya kupiga stori na mwigizaji wa Bongo Movie Rammy Galis ambaye pia anaonekana kila wiki kupitia tamthilia ya Kitanzania ‘HUBA’ inayorushwa exclusively kupitia channel ya Maisha Magic Bongo kwenye DSTV. Ukiachana na yeye kufanana sana na marehmu Steven Kanumba, Rammy Galis ni mtu mmoja poa sana na anayejitambua. Nilibahatika kukaa na kupiga […]

Read More..

Kajala Afungukia Madai ya Kushindwa Kumlea ...

Post Image

Muigizaji wa Filamu Tanzania Kajala Masanja amewafungukia wanaomsema kwamba ameshindwa kumlea binti yake ‘ Paula’  na kusema anatamani awaoneshe watu hao malezi anayompatia binti yake huyo. Akipiga story na eNewz, Kajala amedai kuwa hawezi kushindwa kumlea mtoto wake na kwamba malezi anayompatia binti yake ni tofauti na yale watu wanayoyazungumzia katika mitandao ya kijamii na kuongeza […]

Read More..

Lulu Atoa Povu Uchumba’ake Kuvunjika

Post Image

JUZIKATI yaliibuka madai kwamba, uchumba wa staa wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na yule bosi wa redio Bongo umevunjika huku kila moja akiongea lake. Madai hayo yalienea kwenye mitandao ya kijamii na wapo waliokwenda mbali zaidi kudai kuwa, sasa Lulu karejea kwao na ana mpango wa kuanzisha maisha yake mengine.   “Wamemwagana, uchumba haupo […]

Read More..

Gabo Awapa Makavu ‘Ma-Director’...

Post Image

Muigizaji wa filamu nchini Tanzania  Gabo Zigamba amewataka waongozaji filamu Tanzania (Directors) kutojihusisha na kazi za kuongoza filamu kama hawana vipaji pamoja na taaluma hiyo. Gabo amesema watu hao ndiyo wanasababisha soko la filamu nchini kupigwa bao na kazi kutoka nje kwa maana kazi wanazozitengeneza kukosa ubunifu na ushindani kama ilivyokuwa zamani kupelekea watazamaji kuichukia ‘Bongo […]

Read More..

Idris Sultan Azungumzia Karibu Kiumeni, Uta...

Post Image

Idris Sultan ni miongoni mwa vipaji vipya vitakavyoonyesha uwezo wao wa kuigiza kwa mara ya kwanza kupitia filamu mpya ya Mtanzania Ernest Napoleon, ‘Karibu Kiumeni’. Camera za Global TV Online zilikutana na Idris Sultan kwenye press screening ya filamu mpya ya Karibu Kiumeni na kupiga nae stori. Miongoni mwa vitu alivyoviongelea ni pamoja na nafasi […]

Read More..

AT Amtaka Tundaman Kuhamia Kwenye ‘Mauno’

Post Image

Mfalme wa miduara nchini Tanzania AT ambaye kwa sasa anatamba na ngoma mpya yenye mahadhi tofauti na mduara inayokwenda kwa jina la ‘Sili feel’, amemtaka msanii Tundaman kuanza kucheza ‘mauno’(dansi) ili aweze kupata ‘kiki’ mjini. Hayo yameibuka baada ya Tundaman kulalamikia vyombo vya habari pamoja na blog kuwapa ‘promo’ nyingi wasanii ambao hawana sifa stahiki huku […]

Read More..

Harmonize: Mapenzi Yetu na Wolper Sio ya Ki...

Post Image

Harmonize amefunguka kuwa ni kweli waligombana na mpenzi wake Jacqueline Wolper na haikuwa kiki kama watu wanavyofikiria. Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM Jumatano hii, kuna baadhi ya vitu vilisababisha wagombane lakini kwa sasa kila kitu kinaenda sawa. “Kuna vitu vilitokea tukajikuta hatuko sawa, lakini Mungu ndio mwenye kheri tukawa tupo pamoja […]

Read More..

PICHA & VIDEO: Rais Magufuli Alivyotem...

Post Image

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo March 16 2017 ametembelea eneo la ujenzi wa Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma na kuwahakikishia wananchi kuwa atahamia Dodoma hivi karibuni kama alivyoahidi. Rais Magufuli ambaye ameongozana na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, […]

Read More..

Barnaba: Bora Tuibiwe na Diamond

Post Image

Barnaba amedai kuwa ni bora fedha zao za muziki ziibiwe na Diamond kupitia tovuti yake ya kuuza muziki ya Wasafi.com kuliko watu wengine. Muimbaji huyo ameiambia Dizzim Online, “Tumeibiwa sana wasanii, tumedhulumiwa sana. Mungu anisamehe kidogo, bora atuibie msanii mwenzetu, tunajua msanii mwenzetu anakula yupo kwenye soko letu kuliko atuibie mtu binafsi.” “Na yeye akiwa […]

Read More..

Wakali Watano wa Prof. Jay Hawa Hapa

Post Image

Rapa mkongwe na Mbunge wa jimbo la Mikumi Mhe. Prof. Jay amefunguka na kutaja wasanii wake watano wa hip hop Bongo ambao anawakubali na kusema wasanii hao ndiyo wamejenga msingi na kutengeneza njia kwa wasanii wa sasa. Prof. Jay akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio aliwataja wasanii hao kuwa ni pamoja […]

Read More..

Dayna: Simchukii Baba Watoto Wangu

Post Image

NYOTA wa Bongo Fleva, Mwanaisha Said ‘Dayna Nyange’ amesema licha ya mambo mengi kutokea katika uhusiano wake na mwanaume aliyezaa naye mtoto wa kike, hawezi kumchukia hata mara moja. Akichonga na Risasi Vibes, Dayna alikiri kutokuwa na mawasiliano kabisa na baba mtoto wake huyo anayedaiwa kuwa yupo Afrika Kusini, lakini ikitokea wakakutana na kumtaka mwanaye, […]

Read More..

Niliitwa na Kuhojiwa Kuhusu Dawa za Kulevya...

Post Image

Mtoto wa Rais mstaafu wa Tanzania wa awamu ya nne, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema ameshahojiwa na kamisheni ya kupambana na dawa za kulevya na kukutwa hana hatia kuhusu tuhuma za kujihusisha na biashara haramu ya dawa za kulevya iliyokuwa ikimkabili. Mbunge huyo wa Jimbo la Chalinze ambaye pia ni mwanasheria, jina lake lilitajwa kwenye list […]

Read More..

Upelelezi Kesi ya Wema Mbioni Kukamilika, Y...

Post Image

Dar es Salaam. Upelelezi wa kesi ya kukutwa na bangi inayomkabili Msanii maarufu nchini wa fani ya uigizaji wa filamu, Wema Sepetu (28) na wenzake wawili akiwemo mfanyakazi wake wa ndani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu upo katika hatua za mwisho kukamilika. Wakili wa Serikali Constantine Kakula ameeleza hayo leo (Jumatano) mbele ya Hakimu […]

Read More..

Hivi Ndiyo Vitu 3 Vilivyomvutia Wolper kwa ...

Post Image

Jacqueline Wolper amevitaja vitu vitatu ambavyo vimemvutia kuwa kwenye mahusiano na Harmonize. Muigizaji huyo amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM, vitu hivyo ni upole wake, ukarimu pamoja na kuijua dini. “Upole, Ukarimu na anapenda dini na anaijua dini kabisa. Mimi naamini asingekuwa mwanamuziki angekuwa maalimu fulani hivi,” amesema Wolper. Wakati huo huo Harmonize kwa […]

Read More..

Juma Nature Hajanifanyia Poa – Harmorapa

Post Image

Msanii Harmorapa amewaomba wasanii wakubwa waliopo kwenye ‘game’ ya muziki kuacha tabia ya kuwapiga mkwanja mkubwa ‘underground’ wakati wanapoenda kuwaomba kufanya nao ‘collabo’ Hayo yamekuja baada ya msanii huyo kuombwa pesa ya mavazi na Juma Nature kwaajili ya kufanyia ‘shooting video’ jambo ambalo kwa upande wake limemkwaza kwa namna moja ama nyingine. “Haipo sawa kwa wasanii […]

Read More..

Ujumbe wa Prof Jay kwa Wasanii Waliotaka Ak...

Post Image

Mbunge wa Jimbo la Mikumi kupitia CHADEMA ambaye pia ni msanii wa ‘hip hop’, Joseph Haule (Profesa Jay) amesema hana kinyongo na wasanii wote na wote waliokwenda jimboni kwake kipindi cha uchaguzi oktoba 25, 2015 kwa ajili ya kumpinga. Msanii huyo kupitia ukurasa wake wa kijamii instagram ameandika maneno machache yanawagusa moja kwa moja wasanii wenzake waliokuwa […]

Read More..

Irene Uwoya Aeleza Alivyoshuhudia Ajali Mba...

Post Image

Mwanadada Irene Uwoya ambaye anafanya poa kwenye tasnia ya filamu Bongo, kupitia ukurasa wake wa Instagram, ameeleza jinsi alivyoshuhudia dereva wa bodaboda akigongwa na gari na dereva inayedaiwa kuwa ni Mzungu, na kuachwa barabarani kwa muda mrefu, mpaka pale msanii huyo alipoamua kumsaidia kwa kumkimbiza hospitali. Uwoya ameeleza kwamba jana majira ya usiku, akiwa anarejea […]

Read More..

VIDEO: Nlichoigiza Ndani ya Filamu ya Kiume...

Post Image

Msanii wa vichekesho Idris Sultan amefunguka kwa kudai kuwa uhusika aliouvaa ndani ya filamu ya ‘Kiumeni’ ya Ernest Napoleon ni vitu ambavyo viliwahi kumtokea katika maisha yake. Filamu hiyo ambayo imewakutanisha mastaa mbalimbali wa filamu itaonyeshwa kwa mara ya kwanza Jumatano hii Century Cinemax, Mlimani City jijini Dar es salaam. Akiongea na waandishi wa habari […]

Read More..