-->

VIDEO: Sirro Akoleza Moto Wakazi wa Mabonde...

Post Image

Dar es Salaam: Kamishna wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Simon Sirro amesema watu wote wanaoishi mabondeni watoke mara moja kwa sababu kufanya hivyo ni kuhatarisha maisha na ambaye hatafanya hivyo atakamatwa. Akizungumza na waandishi wa habari leo (Jumanne), Sirro amesema tayari amewaagiza Ma OCD na wakuu wa upelelezi kuanza oparesheni hiyo mara […]

Read More..

Harmorapa Afungukia Mjengo Wake Mpya

Post Image

Msanii Harmorapa ambaye haishi kwa kiki mjini ameibuka na jambo jipya kwa kusema amenunuliwa nyumba kali ya kuishi maeneo ya mikocheni Jijini Dar es Salaam na uongozi wake unaomsimamia kazi zake. Chipukizi huyo alisema mpaka sasa hajafahamu kiasi kilichogharimu kutumiwa katika kununuliwa nyumba hiyo kwa kuwa yeye amepewa kama zawadi. “Yaah nimenunuliwa nyumba maeneno ya […]

Read More..

Rose Muhando Asakwa Apelekwe Soba

Post Image

DAR ES SALAAM: Taarifa mbaya ya kusikitisha kutoka kwa staa wa nyimbo za Injili, Rose Muhando zinadai kuwa, mwimbaji huyo anasakwa na uongozi wa Sober House ya Pederef ili waweze kumwokoa kwenye matumizi ya madawa ya kulevya ‘unga’. Chanzo kilicho karibu na mwanamama huyo ambaye amejijengea jina kubwa kupitia nyimbo zake nzuri kama Nibebe, kimeeleza […]

Read More..

Huko Kwenye filamu za Kibongo Hakukaliki

Post Image

FILAMU za Kibongo kwa sasa zimedorora sana. Takriban miaka miwili hali ya soko la filamu hizo imekuwa ikisuasua, lakini kwa 2017 limedorora kwa kiwango kikubwa kiasi kwamba hata wasanii wake wanaishi kwa kubangaiza. Kipato kupitia tasnia hiyo kimekuwa muhali, kiasi cha kuleta mashaka makubwa kwa baadhi ya wasanii wakiamua kubadilisha upepo ili kupisha jinamizi lililopo […]

Read More..

Bond Afungukia Kukamatwa Kwake

Post Image

Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Bond Bin Suleiman, amefungukia kukamatwa kwake kwenye ishu ya ujambazi na kudai kuwa aliponzwa na rafi ki yake aliyekuwa hafahamu anajishughulisha na kazi gani. Akizungumza na Wikienda, Bond alisema kuwa, yeye ni msanii na anakutana na watu wengi kama ilivyo kwa wasanii na kilichomkuta kinaweza kumkuta msanii yeyote kwani hukutana […]

Read More..

JK Ateua Tisa Kusimamia Bodi ya Taasisi Yak...

Post Image

Rais wa awamu ya nne Jakaya Kikwete amechagua na kuwataja wajumbe tisa wa Bodi ya wadhamini wa Taasisi ya Mfuko wa maendeleo ya Jakaya Kikwete (JMKF). Aliwachagua wajumbe hao wakati akizindua bodi ya wadhamini wa Taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam. Amewataja wajumbe wa bodi hiyo kuwa ni pamoja na Balozi Ombeni Sefue, Profesa […]

Read More..

VIDEO: Ilinikushirikishe Nionyeshe Uwezo &#...

Post Image

Msanii Diamond Platnum anasema toka ameanza kufanya muziki ameweza kufanya kazi na wasanii wengi lakini anadai ili akushirikishe kwenye wimbo wake lazima umuonyesha sababu, hata kama upo chini ya uongozi wake haiwezi kuwa sababu yeye kukupa shavu. Diamond Platnumz alisema hayo kwenye kipindi cha ‘Ngaz kwa Ngaz’ kinachorushwa na ting’a namba moja kwa vijana EATV […]

Read More..

Vanessa Mdee Aachiwa kwa Dhamana

Post Image

Baada ya kushikiliwa na polisi kwa takriban siku 4, Vanessa Mdee ameachiwa kwa dhamana Jumatatu hii. Vanessa ambaye alishikiliwa muda mfupi baada ya kurejea kutoka Afrika Kusini ni miongoni mwa mastaa waliotajwa kwenye orodha ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kutokana kuhusishwa na matumizi na biashara ya dawa za kulevya. Inadaiwa […]

Read More..

VIDEO:RC Makonda Azindua Barabara Ya Shimo ...

Post Image

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda amezindua barabara ya Shimo la Udongo, Kilwa EPZ iliyopo kurasini ya Kilomita moja; Iliyojengwa kwa kiwango cha zege na kampuni ya wazalendo ya Grant Tech iliyogharimu takribani milioni 350.

Read More..

VIDEO:Harmonize Ataja Sababu za Kutoendana ...

Post Image

MSANII wa kwanza kusainiwa kwenye Lebo ya Muziki ya WCB inayomilikiwa na Diamond Platinumz, Harmonize kwa mara ya kwanza amefunguka akitaja sababu ambazo wadau na mashabiki wamekuwa wakinong’ona kuwa haendani na mpenzi wake wanaedaiwa kuachana, msanii wa Bongo Movie, Jacqueline Wolper. Akipiga stori na Global TV Online, juzi Jumamosi kwenye studio za WCB zilizopo Sinza […]

Read More..

Sugu, Profeja Jay Wameshindwa Au Wameweza?

Post Image

WANAMUZIKI wa Hip Hop pengine ndiyo wanaoongoza kwa tambo. Sikiliza mahojiano yao. Mbali na kujisifu kuwa wanajua sana kuandika mambo ya maana kuliko wasanii wa aina nyingine za muziki, ila watakuambia wao wanawakilisha mitaa. Wanajiona ni zaidi ya wabunge na madiwani. Wanajiona wana sauti pana za kuwafikia watu na zenye mamlaka pengine kuliko hata waandishi […]

Read More..

VIDEO: Amber Lulu Apatwa Kigugumizi Kisa Ha...

Post Image

Video queen na msanii wa bongo fleva Amber Lulu amepatwa na kigugumizi baada ya kuulizwa kuhusiana na kutoka kimapenzi na Harmorapa na kujikuta akipata wakati mgumu kuelezea jambo hilo. Amber Lulu alihojiwa kwenye kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio na kusema picha zinazozangaa kwenye mitandao ya kijamii zikimuonyesha yeye na Harmorapa ni picha […]

Read More..

Video: Harmorapa Ft Juma Nature – Kiboko ...

Post Image

Msanii Harmorapa ameachai video yake mpya wimbo unaitwa ‘Kiboko ya mabishoo‘ ambao amemshirikisha mkali wa sikunyingi kwenye muziki wa Bongofleva Juma Nature. Video imeongozwa na Kwetu Studios. Icheki hapa

Read More..

VIDEO: Majibu ya Hussen Bashe Kuhusu Kushik...

Post Image

Baada ya taarifa za jana kusambaa zikidai wajumbe wawili wa halmashauri kuu Taifa ‘nec’  na mbunge mmoja akiwemo mbunge wa Nzega mjini, Hussein Bashe wanahojiwa na jeshi la polisi Dodoma kwa madai ya kutaka kufanya vurugu na uchochezi katika vikao vya CCM vinavyoendelea Dodoma. Leo March 12 2017 nje ya ukumbi wa CCM Hussein Bashe […]

Read More..

VIDEO: Mh. Temba Alizwa Mali Zake

Post Image

Msanii Temba kutoka TMK Wanaume amefunguka na kuweza wazi kuwa alikwama katika muziki na kushindwa kuachia kazi zake mwenyewe baada ya kutapeliwa pesa zake na mtu ambaye alikuwa akifanya naye biashara za magari. Mh. Temba alisema hayo kupitia kipindi cha Friday Night Live na kudai kuwa alimuamini sana Mustafa lakini hakujua kuwa alikuwa anatengenezwa ili […]

Read More..

VIDEO:Diamond Atoa Ushauri Huu kwa Harmorap...

Post Image

Kwa mara ya kwanza msanii Diamond Platinumz amezungumzia ujio wa masanii Harmorapa na kumshauri azidi kukomaa na afanyekazi iliajipatie ridhiki yake. Zaidi msikilize hapa

Read More..

VIDEO: Kwanini Mzee wa Upako Anamkubali JPM...

Post Image

Mchungaji Anthony Lusekelo wa Kanisa la Maombezi Ubungo KIbangu, ameelzwa kukunwa na utendaji wa serikali ya awamu ya tano iliyo chini ya Rais John Magufuli, huku akiweka wazi asili ya jina lake la ‘Mzee wa Upako’ Akiwa katika kipindi cha KIKAANGONI kinachoruka kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV, Mzee wa Upako alitaja baadhi ya mambo […]

Read More..

Mike Ezuruonye, Davina… One, Two… Tunaj...

Post Image

UTAMU kolea! Soko la filamu nchini linaendeleza juhudi za kujitanua kimataifa baada ya mwigizaji kutoka Nigeria, Mike Ezuruonye kutua nchini kwa ajili ya kucheza sinema na wasanii wa Bongo Muvi. Ujio wake ni mwaliko kutoka kwa staa wa filamu Bongo, Halima Yahaya a.k.a Davina ambaye alichipushwa na Kundi la Sanaa la Kaole la jijini Dar […]

Read More..