-->

VIDEO: Wastara Aibukia Kwenye Bongo Fleva

Post Image

Msanii nyota wa filamu Tanzania Wastara ameanza kufanya muziki na tayari ameanza kuandaa albam yake. eNewz ya EATV imemshuhudia msanii huyo wa bongo movie akiwa anafanya video yake ya kwanza aliyowaimbia wanawake na kusema kuwa tayari ameshakamilisha albam yake ambayo ndani ya mwezi huu atakuwa ame’shoot’ video 3 kwa mpigo, na albam itakamilika mwezi Juni mwaka huu. […]

Read More..

Nay wa Mitego Atuma Ujumbe Huu kwa Vanessa ...

Post Image

Msanii wa muziki wa hip hop Nay wa Mitego amefunguka kwa kumpa pole mwanadada Vanessa Mdee ambaye anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kutumia na kusambaza dawa za kulevya. Muimbaji huyo alijisalimisha kwa jeshi la polisi siku 5 zilizopita baada ya kutajwa kwenye list ya RC Makonda ya watu wanaojihusisha na biashara ya […]

Read More..

Bashe, Musukuma, Malima Mbaroni

Post Image

Dodoma. Wabunge wawili na aliyekuwa naibu waziri wa fedha, Adam Malima wanahojiwa na polisi mjini hapa kwa kosa la kutaka kufanya vurugu na uchochezi katika vikao vya CCM. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Lazaro Mambosasa amethibisha na kuwataja waliokamatwa kuwa ni Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe na Mbunge wa Geita vijijini ambaye pia […]

Read More..

VIDEO: Majani Amtabiria ‘Ufalme’ Harmorapa

Post Image

Producer mkongwe nchini P Funk Majani amemtabiria msanii Harmorappa kuja kuwa msanii mkubwa nchini tofauti na watu ambavyo wanamchukulia kama kijana asiyejua chochote kwenye muziki na anayetafuta kiki huku wakimbeza kwamba hajui kuimba. Jana wakati akiwa amemsindikiza msanii huyo kwenye kipindi cha FNL cha EATV kuzindua video yake mpya ‘Kiboko ya Mabishoo’, Majani amesema Harmorapa ni mtoto wa kipekee sana […]

Read More..

VIDEO:Watangazaji wa Planet Bongo Wamtolea ...

Post Image

Kwenye kipindi cha planet bongo watangazaji wa Dullar na Juma Junior wametokwa na povu baada kusikia kauli ya msanii Diamond aliyosema sasa hivi akitoa nyimbo hategemei Radio na TV pekee kusambaza mziki wake Bali anatumia mitandao ya kijamii kuhakikisa mziki wake unafika kwa mashabiki kwa ukubwa alionao, tofauti na zamani redio na TV zilikuwa na […]

Read More..

VIDEO:JPM Aongoza Kikao cha Kamati ya Maadi...

Post Image

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 10 Machi, 2017 ameongoza Kikao cha Usalama na Maadili cha chama kilichofanyika Chamwino Mkoani Dodoma. Kikao hicho kimehudhuriwa na wajumbe wake wakiwemo Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar ambaye ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti […]

Read More..

Msami Afunguka Kumtamani Wema Sepetu

Post Image

Msanii wa bongo fleva ambaye pia ni miongoni mwa ma’dansa’ wakali Bongo, Msami Baby ameweka wazi hisia za moyo wake na kusema kuna mastaa wa ‘bongo movie’ anatamani kutoka nao kimapenzi. Msanii huyo amesema katika tasnia ya filamu ametokea kuwapenda wadada watatu ambao ni Wema Sepetu, Elizabeth Michael (Lulu) na Jokate Mwegelo japokuwa amekuwa matatani kwa […]

Read More..

Tunda Man: Kuna Wasanii ‘Feki’ Wanapewa...

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki kutoka Tip Top Connection Tunda Man amedai kuna wasanii wengi hawajui muziki lakini wanabebwa na baadhi ya madj pamoja na watangazaji. Muimbaji huyo amedai hali hiyo imesababisha baadhi ya wasanii wengi wenye uwezo kuendelea kusugua benchi wakati wasio na uwezo wakifanya vizuri. “Kama wewe unasikiliza redio au runinga kuna ngoma utakuta […]

Read More..

Vanessa Mdee Aendelea Kushikiliwa Central

Post Image

Dar es Salaam. Kamishna wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Simon Siro amesema jeshi hilo bado linamshikilia Msanii maarufu wa mziki wa kizazi kipya, Vanessa Mdee ambaye alikamatwa juzi (Jumatano) kwa tuhuma za matumizi za dawa za kulevya. Vanessa alikuwa miongoni mwa watuhumiwa wa matumizi ya dawa za kulevya waliotajwa na Mkuu mkoa wa […]

Read More..

Barnaba: Sina Mpango na Kolabo ya Nje

Post Image

MSANII wa Bongo Fleva, Elias Barnaba, amesema hana mpango wa kufanya kolabo na msanii wa nje kwa sasa kwa kuwa bado anajipanga vizuri kisanaa. Alisema si kwamba anaogopa ila kwa upande wake anaona bado anahitaji kujipanga zaidi ili atakapoamua kufanya kolabo yoyote iwe kubwa kama alivyorekodi na msanii wa Uganda, Jose Chameleone. “Muziki hautaki kubahatisha, […]

Read More..

Shilole Afunguka Kuhusu Ujauzito

Post Image

Msanii filamu na muziki wa bongo fleva, Shilole amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye hana ujauzito wowote bali ameridhika na maisha jambo ambalo limefanya aongezeke mwili na kunenepa licha ya watu kuwa na hisia kuwa huenda ana ujauzito. Shilole amesema hayo alipokuwa akihojiwa kwenye kipindi cha 5SELEKT kinachorushwa kila siku ya Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia […]

Read More..

Pasha Ateseka na Penzi la Snura

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva, Khaji Mtepa ‘Pasha’ aliyewahi kutamba na Nyimbo za  Thamani ya Penzi, Umeniweza, Hidaya, Ni Soo na nyingine kibao amefungukia mateso makubwa anayoyapata juu ya penzi la msanii mwenzake, Snura Mushi. Akizungumza na safu hii katika mahojiano maalum, Pasha alifunguka kuhusu maisha yake ya muziki, kawaida, uhusiano na mikakati yake mipya kimuziki. […]

Read More..

Video: Mdogo Wake Gwajima Amtetea Makonda, ...

Post Image

Mdogo wake na mchungaji Josephat Gwajima wa Kanisa la ufufuo na uzima, amesema mchungaji huyo anatakiwa aache kutumika na kuhoji kuna nani nyuma yake. Amedai mchungaji hawezi kujiingiza kwenye malumbano na mipasho ya kidunia. Ameendelea kusema vyeti vya Makonda viachiwe mamlaka husika kuchunguza kwani kumuandama sana inaweza kusababisha watu wengine siku zijazo kuogopa kujihusisha kupambana […]

Read More..

VIDEO: Nimeanza Kusumbuliwa na Mabinti R...

Post Image

Rapa anayechipukia kwenye muziki wa hip hop, Harmorapa amefunguka na kusema toka amepata jina amekuwa akipata usumbufu sana kutoka kwa watu wake wa kawaida pamoja na mabinti. Akiongea na EATV Harmorapa ameweka wazi kuwa sasa hivi amekuwa akipata usumbufu mkubwa kutoka kwa mabinti mbalimbali. eatv.tv

Read More..

Irene Uwoya: Mwanamke Anastahili Heshima

Post Image

MSANII wa filamu nchini, Irene Uwoya, amesema mwanamke anastahili heshima ya hali ya juu kwani amekuwa ni nguzo ya familia na mafanikio katika jamii inayomzunguka. Akizungumza na MTANZANIA jana, alisema katika kila familia iliyoweza kupata mafanikio, lazima mwanamke atakuwa amehusika. Alisema kwenye maisha yake amekuwa akifanya kazi kwa nguvu zote bila ya kujali kuwa yeye […]

Read More..

DUMA: Ninayo Siri ya Kuikomboa Bongo Muvi

Post Image

MSANII wa filamu anayepanda kwa kasi Bongo, Daud Michael ‘Duma,’ amesema anaifahamu siri inayowafelisha wasanii wengi Bongo siku hadi siku kiasi kwamba kwa sasa tasnia ya filamu inaonekana kupoteza mvuto. Akipiga stori na Uwazi Showbiz , Duma ambaye muda mwingi anapenda kuutumia kufanya mazoezi ya kazi zake za filamu, alifunguka kuwa kinachowafelisha wasanii wengi wa […]

Read More..

Ajiua Baada ya Kukamatwa na Viroba

Post Image

Mfanyabiashara na muagizaji wa pombe za viroba, Festo Mselia, amekutwa amejiua kwa kujipiga risasi ikiwa ni siku moja baada ya jeshi la polisi kuendesha msako na kukamata shehena ya pombe katika ghala alililokuwa akilimiki mjini Dodoma. Katika vita ya kupambana na matumizi ya pombe za vifungashio aina ya viroba vilivyopigwa marufuku, jeshi la polisi mkoa […]

Read More..

Alikiba Afungukia Tetesi za Kufanya ‘...

Post Image

Muimbaji mahiri wa muziki Alikiba amefunguka kwa kukanusha taarifa ambazo zilizagaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa ana mpango wa kufanya kolabo na Justin Bieber. Akiongea na mtangazaji wa JEMBE FM JJ akiwa Las Vegas Marekani, Alikiba alidai taarifa za kwamba ana mpango wa kufanya kolabo zitungwa na mashabiki wake wa muziki. “Ni mashabiki waliamua kuzusha, […]

Read More..