-->

Sakata la Madawa: Vanessa Mdee Akamatwa na ...

Post Image

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia mwanamuziki Vanessa Mdee maarufu Vee Money kwa tuhuma za kujihusisha na biashara haramu ya dawa za kulevya. Akizunguzumzia taarifa hiyo, Mwanasheria wa mwanamuziki huyo, Amin Tenga amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo amesema kuwa Vanessa alijisalimisha mwenyewe katika kituo cha polisi kama alivyoagizwa na Mkuu […]

Read More..

Wema Afanya Jambo,Siku ya Wanawake Duniani

Post Image

Katika kuadhimisha siku ya wanawake duniani Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu ameshiriki kwa kupanda miti katika vyanzo vya maji vya Mbogo na Nukutu katika milima ya Uluguru, Manispaa ya Morogoro. Wema aliyeungana na Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Morogoro kupitia CHADEMA, Devotha Minja, Diwani wa kata hiyo pamoja na wenyeviti wa serikali za mitaa, […]

Read More..

Morogoro: Wakuu wa Shule za Msingi Zilizofa...

Post Image

Walimu wakuu wa shule za msingi Magunga na Lubanta, Wilaya ya Mvomero zilizofanya vibaya kwenye mtihani wa darasa la saba mwaka jana, wamekabidhiwa kinyago. Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Mohamed Utaly alikabidhi kinyago hicho katika tukio lililoshuhudiwa na walimu wakuu wa shule za msingi na waratibu elimu kata wa wilaya hiyo, shule hizo zitakaa na […]

Read More..

VIDEO: Faiza Ally Asimulia Mkasa Uliopeleke...

Post Image

Muigizaji wa Bongo Movie, Faiza Ally ukipenda muite mama Sasha,kupitia ukurasa wake kwenyemtandao wa instagram ameweka video hii akisimulia mkasa uliosababisha kulala lupango kwa siku moja. Msikiize hapa  

Read More..

Rose Ndauka awa mtangazaji mpya wa East Afr...

Post Image

Staa wa Bongo Movie, Rose Ndauka amepata shavu jipya la kutangaza East Africa Radio. Kupitia mtandao wake wa Instagram, muigizaji huyo amethibitisha hilo kwa kuandika ujumbe unaosomeka, “Nafurahi kuwa mmoja wa team hii mpya ya #Eastafricaradio.Ni planetbongo mpya 2017.” Awali Ndauka alikuwa akitangaza Times FM kabla ya mkataba wake kumalizika mwishoni mwaka jana. Bongo5

Read More..

Jina Analotumia Baraka ni Langu – Dul...

Post Image

Mwanamuziki mkongwe Prince Dully Sykesy ameweka wazi yeye ndiye aliyempatia jina la kisanii Baraka The Prince miaka kadhaa iliyopita kabla hata msanii huyo hajatoa wimbo hata mmoja. Katika ukurasa wake wa instagram Dully ameandika kwamba baraka aliwahi kumpigia simu na kumwomba amchagulie jina ambalo litamfanya awe maarufu. “Kuna siku ila mwaka sikumbuki nilipata simu kutoka kwa […]

Read More..

Mboto: Ningetembea na Aunt Ningefurahi

Post Image

Mwigizaji wa Vichekesho Bongo, Haji Salum ‘Mboto’ ameibuka na kufunguka kuwa iwapo angetembea na Aunt Ezekil angefurahi na angeweka wazi kwa sababu yeye ni rijali.    Mboto alisema hayo baada ya kuibuka maneno mtandaoni kuwa, Aunt aliwahi kuwa na ujauzito wake na akautoa, ishu ambayo Mboto aliikana vikali. Mboto aliliambia Wikienda kuwa, yeye na Aunt […]

Read More..

Navy Kenzo: Tukigombana Ndiyo Tunatoa Wimbo...

Post Image

WACHUMBA wanaounda kundi la Navy Kenzo, Aika Mareale na Nahreel, wamesema wanapogombana ndiyo hupata nafasi ya kuandika wimbo mzuri.   Akizungumza na MTANZANIA, Aika alisema hatua waliyopiga kimuziki na kimapenzi ndiyo inayowapatanisha kwa muda mfupi wanapogombana. “Huwezi amini huwa tunagombana sana na mpenzi wangu na wakati mwingine tunafikia hadi hatua ya kutaka kuachana, lakini tukifikiria […]

Read More..

VIDEO: TID ni Paka – Steve Nyerere

Post Image

Msanii wa vichekesho Steve Nyerere ameibuka na kumjibu msanii TID huku akieleza kufurahishwa na hatua ya TID kumfananisha na panya kwa kuwa inaonesha jinsi alivyo mjanja ambaye anaweza kujitafutia na kusema Wakati akifurahi kufananishwa na panya, Steve amemfananisha TID na paka ambaye husubiri kutengewa kila kitu. Steve Nyerere alisema hayo kupitia kipindi cha eNewz na kudai kuwa […]

Read More..

VIDEO: Fid Q Asimulia Enzi za Zamani za Bon...

Post Image

Miaka ya nyuma, Bongo Records kwa Tanzania ilikuwa label ambayo msanii akiwa chini yake alikuwa akionekana kama mfalme, kwa mujibu wa Fid Q. Hakikuwa kitu cha mzaha kumridhisha P-Funk Majani hadi akuweke kwenye roaster ya wasanii wake. Akizungumza na Lil Ommy wa Times FM kwenye kipindi cha The Playlist, Fid alielezea mashavu waliyokuwa wakiyapata wasanii […]

Read More..

VIDEO:Mose Hakukosea kwa Harmorapa – Aunty

Post Image

Muigizaji Aunty Ezekiel amemtetea mpenzi wake (Mose Iyobo) kwa kumfananisha na nyani msanii chipukizi anayefananishwa na mmoja wa wasanii kutoka WCB  (Harmo Rappa) kwa kusema ni sawa kabisa na Mose hakufanya makosa.   Hivi karibuni akiwa kwenye Kipindi cha KIKAANGONI cha Facebook EATV Aunty amesema kwamba watu walimnukuu vibaya Mose na kumhukumu moja kwa moja […]

Read More..

Sijaona Wakumlinganisha na Alikiba – ...

Post Image

Rapa ambaye amejizolea umaarufu sana kupitia mitandao ya kijamii Harmorapa amefunguka na kusema kwa Tanzania hii hajaona msanii wa kumfananisha na Alikiba na kusema hata ngoma yake ambayo amefanya na Juma Nature alitaka kufanya na Alikiba. Harmorapa anasema kabla ya kurekodi ngoma yake hii mpya ambayo amefanya na mkongwa Juma Nature alijitahidi sana kumtafuta Alikiba […]

Read More..

Idris Sultan: Mimi na Wema Sio Maadui

Post Image

Idris Sultan amedai kuwa hana uadui na ex wake Wema Sepetu – bado kwa mbali wana ushkaji. Mchekeshaji na mtangazaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa huzungumza na ex wake huyo mara chache kwa sasa. “Unajua sipendi unafiki nikasema ‘ahh tunaongeaga, mbona washkaji tu tuko peace sana’ hapana sio kihivyo,” amesema Idris. “Unakuta ni mara moja moja […]

Read More..

Ray Ashindwa Kuishi na Chuchu

Post Image

Pamoja na kumzalia mtoto wa kiume aitwaye Jaden, staa wa sinema za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ anadaiwa kushindwa kuishi na mwandani wake, Chuchu Hans ambaye naye ni mkali wa Bongo Muvi, kisa kikielezwa kuwa ni mama wa jamaa huyo ambaye hataki mwanaye aishi mbali naye.   Habari za kuaminika zilieleza kuwa, Chuchu amekuwa akitangaza kwamba, […]

Read More..

Lissu Afutiwa Mashataka, Akamatwa Tena

Post Image

Mbunge wa Singida Mashariki na Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA Tundu Lissu amekamatwa na polisi katika mahakama ya Kisutu wakati akitoka kuhudhuria kesi yake ya uchochezi. Taarifa ya kukamatwa lwa Lissu imethibitishwa na Afisa Habari wa chama hicho, Tumaini Makene, ambaye amesema kuwa Lissu amekamatwa bila kupewa maelezo yoyote ya sababu za kukamatwa kwake, na amepelekwa […]

Read More..

Askofu Gwajima:Mimi ni Mashine ya Kusaga na...

Post Image

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amesema yeye ni sawa na mashine ya kusaga na kukoboa ambayo ukiweka miguu unageuka sembe. Gwajima amesema hayo leo asubuhi katika ibada  kanisani kwake  akieleza kuwa, “Baba wa familia amechokozwa kuwa anavuta unga watoto wamechachamaa wanataka baba ampige adui yake, nitaendelea kupiga bila kuogopa chochote.” “Watu […]

Read More..

Jacqueline Wolper Akerwa na Harmorapa

Post Image

STAA wa fi lamu za Kibongo, Jacqueline Wolper ameeleza  kukerwa na mwanamuziki chipukizi, Athuman Omary ‘Harmorapa’ aliyesema amewahi kutoka naye kimapenzi jambo ambalo siyo kweli. Akichonga na Mikito Nusunusu Wolper alisema mwanamuziki huyo ambaye ameimba kwenye wimbo wake wa Kiboko ya Mabishoo kuwa ameshatoka naye kimapenzi amemkosea heshima  na hata alivyousikia wimbo huo umemshangaza kwa […]

Read More..

Adui wa Wema Sepetu ni Yeye Mwenyewe

Post Image

WEMA Sepetu na mama yake wameamua kuhama CCM na kuhamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Hii ni haki yao ya kikatiba. Ila ajabu katika uhamaji huu ni kauli na matamshi yao. Mama yake Wema pamoja na mambo mengine ameonekana kuumizwa na kitendo cha mwanaye kukamatwa na kuwekwa  rumande kwa tuhuma za kutumia mihadarati. Katika […]

Read More..