-->

Rose Ndauka Kutoa Deal kwa Wasanii wa Filam...

Post Image

Kampuni ya Ndauka Advert ya malkia wa filamu Rose Ndauka ikishirikiana na African Swahili TV Machi 9,10 itafanya usahili katika ukumbi wa Kijiji cha Makumbusho kwajili ya kuwapata wasanii ambao watashiriki kwenye tamthilia mpya itwaayo ‘How Cheat?’. Muigizaji huyo amewataka wasanii wakubwa kwa wadogo kuchangamkia fursa hiyo ili kujipatia ajira pamoja na kukuza vipaji vyao. […]

Read More..

Wema Sepetu Akutana na Lema, Afunguka Manen...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu ambaye hivi sasa amehamia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ametimiza hadi yake kwenda kuonana na Mbunge wa Arusha mjini Mhe. Godbless Lema ambaye amepata dhamani siku ya Ijumaa na kutoka gerezani. Wema Sepetu juzi alisema atakwenda Arusha kuonana na Mbunge huyo ambaye amekaa ndani kwa zaidi ya miezi […]

Read More..

Aunt Ezekiel: Huu Ndio Wakati Wangu wa Kupa...

Post Image

MSANII wa filamu za Bongo, Aunt Ezekiel, amedai kwamba anatamani kupata watoto zaidi kwa kuwa huu ndio wakati wake wa kufanya hivyo na hajui atapata watoto wangapi katika maisha yake. Aunt Ezekiel ambaye yupo kwenye uhusiano na dansa wa msanii Diamond Platnumz, Mose Iyobo, amesema kwa kuwa ndio wakati wake wa kufanya maamuzi sahihi na […]

Read More..

VIDEO: Sina Mpango wa Kubadili Jina –...

Post Image

Msanii wa Rap Harmorapa aliyepata umaarufu mkubwa baada ya kufananishwa na msanii kutoka kundi la WCB Hamonize amesema hana mpango wa kubadilisha jina lake “labda iongezeke a.k.a tu”. Akiongea kupitia eNewz ya EATV, Hamorapa amesema maneno ya watu kuwa ameamua kujiweka upande wa Alikiba ingawa ameshindwa kujizuia kuonesha mahaba yake kwa msanii huyo. “Mi sijali watu […]

Read More..

Nyumba ya Gwajima Yapigwa Picha

Post Image

Dar es Salaam. Wakili Peter Kibatala amesema polisi wamepiga picha nyumbani kwa Askofu wa Kanisa la Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima. Kibatala ambaye ni wakili wa Askofu Gwajima amesema jana kuwa mbali na kupekuwa na kupiga picha kila kona walikwenda katika kanisa lake lililopo Ubungo. “Waache wafanye yao na sisi […]

Read More..

Tanzanite: Diamond Bado Ananichukia Hadi Le...

Post Image

Kukumbusha tu Tanzanite alipata jina miaka kadhaa iliyopita baada ya kuurudia wimbo wa Diamond, Mbagala na kudai ulikuwa wake huku pia baadaye akimtuhumu kumroga. Shutuma hizo zilimkera sana Diamond. Tanzanite amedai kuwa hadi leo Diamond Platnumz anamchukia. “Nakutanaga naye [Diamond] lakini si mtu ambaye labda ananipa ushirikiano,” Tanzanite ameiambia Bongo5. Muimbaji huyo amedai kuwa ugomvi […]

Read More..

Lulu Afungukia Kuhusu na Siasa na Wasanii

Post Image

ELIZABETH Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa anajivunia uamuzi wake wa kutojihusisha na siasa maana amepata amani ya moyo kuliko wasanii wenzake ambao kwa sasa  wapo kwenye malumbano ya kisiasa. Mrembo huyo ambaye ni mkali wa sinema za Kibongo, alisema, wakati wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu Mwaka 2015, watu wengi walikuwa walikuwa hawamuelewi lakini ukweli ni kwamba […]

Read More..

Operesheni ya viroba inaendelea- Majaliwa

Post Image

Dodoma. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema operesheni kuhusu pombe za viroba inaendelea katika mikoa mbalimbali baada ya kupigwa marufuku Machi Mosi. Majaliwa amesema hayo katika kikao cha Baraza la Mawaziri cha kwanza tangu Serikali kuhamia mjini hapa. Amesema katika operesheni hiyo wamegundua mambo mengine ikiwamo uwapo wa kampuni zilizokuwa hazilipi kodi. Kuhusu kikao hicho cha […]

Read More..

Ommy Dimpoz aeleza jinsi pressure ya kuepuk...

Post Image

Hadi unausikia wimbo wa msanii umetoka, kuna vikao vingi hufanyika nyuma ya pazia katika tu kuhakikisha kuwa hatoi wimbo unaoweza kumwaibisha. Wengi huyapa masikio mengi zaidi ya kuusikiliza wimbo na kutoa maoni kabla ya kuutoa. Hiyo ni moja ya pressure kubwa waliyonayo wasanii kwa sasa hasa waliofanikiwa kwasababu wanahofia kuachia wimbo mbovu lakini pia kutokana […]

Read More..

Wema Sepetu Kwenda Arusha Kuonana na Godble...

Post Image

Kamanda Wema Sepetu Jumamosi hii ataelekea mkoani Arusha kwajili ya kuonana na mbunge wa Arusha, Godbless Lema ambaye ameachiwa kwa dhamana Ijumaa hii baada ya kusota gerezaji kwa miezi nne. Muigizaji huyo ambaye ana wiki moja na nusu ndani ya Chadema toka arudishe kadi ya CCM, amedai kesho atasafiri kwenda mkoani Arusha kuonyesha ushirikiano. “Mungu […]

Read More..

Alikiba Kujaza ‘Wa Kimataifa’ K...

Post Image

Msanii Alikiba ameingia katika orodha ya miongoni mwa wasanii wanaotarajia kufanya mapinduzi ya muziki kwa mashabiki zao kwa kutoa albam. Baada ya kutua katika Jiji la Dar es Salaam akitokea nchini Afrika Kusini siku ya jana, ‘King’ Kiba aliwashukuru mashabiki zake kwa upendo walioonesha kwake kwa kumsubiria muda mrefu bila ya kukata tamaa na kusema endapo mambo […]

Read More..

Jike Shupa Aununua Ugomvi wa Batuli, Wema!

Post Image

VIDEO Queen Zena Abdallah ‘Jike Shupa’ ameibuka na kudai kuwa, hawezi kumuacha shoga yake Wema Sepetu ashambuliwe halafu yeye abaki kimya kwani anaamini anayoyafanya yuko sahihi hivyo anatangaza kuununua ugomvi. Jike Shupa aliyasema hayo juzikati baada ya kuibuka kundi la wasanii wa Bongo Muvi na kumshambulia Wema baada ya kujiunga Chadema ambapo inadaiwa sasa hivi […]

Read More..

VIDEO: Hatimaye Lema Aachiwa kwa Dhamana

Post Image

Hatimaye Mahakama Kuu Kanda ya Arusha imemuachia kwa dhamana Mbunge wa Arusha Mjini kupitia CHADEMA, Godbless Lema baada ya kusota gerezani kwa zaidi ya miezi minne. Mahakama hiyo imefikia uamuzi huo baada ya kupitia hoja za pande zote mbili zilizowasilishwa mahakamani hapo leo na kuamua kuzitupitilia mbali hoja za upande wa serikali za kumnyima Lema […]

Read More..

VIDEO:Mwana FA Afunguka Haya Kuhusu Mchang...

Post Image

Mwana FA anataka kuweka mambo clear: Hakuna mtu mwenye mchango mkubwa kwenye muziki tunaofanya kama Profesa Jay. Ameiambia Bongo5 kuwa huo ni ukweli ambao wachache wasiompenda watapinga hadharani lakini mioyoni mwao wana msimamo tofauti. “Mimi binafsi ni heshima ya kipekee kabisa kwa Profesa Jay. Hakuna mtu mwenye mchango mkubwa kwenye aina ya muziki tunaofanya kama […]

Read More..

Wasanii Wamtenga Shija, Afunguka Mazito

Post Image

STAA wa sinema za Kibongo, Deogratius Shija amefunguka kuwa, wasanii wanamtenga, kisa sakata la unga ambalo lilimsababishia kuwekwa sero bila kujua sababu ya yeye kuingia huko. Akizungumza na Amani baada ya kutoka Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam alikowekwa sero kwa siku 15, Shija alisema katika sakata hilo ambalo lilihitaji faraja ya wasanii wenzake, […]

Read More..

New Music: Harmorapa Aachia Wimbo ‘Ki...

Post Image

Msanii wa muziki Harmorapa ameachia wimbo wake mpya Kiboko ya Mabishoo akiwa amemshirikisha Juma Nature. Wimbo umeandaliwa na producer T Touchez. Katika kazi hiyo ambayo tayari imeanza kusambaa kwenye mitandao ya kijamii, Harmorapa amewachana baadhi ya mastaa akiwemo dansa Mose Iyobo, na watu wengine ambao wamekuwa wakim-‘diss’ kuwa hajui muziki na kusema yeye hajali maneno […]

Read More..

VIDEO: 80% Bongo Movie Hawana Vipaji –...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Tanzania Aunty Ezekiel amefunguka na kusema kuwa zaidi ya asilimia 80 ya wasanii wa filamu nchini hawana vipaji, na wanafanya kazi kiubabaishaji, jambo linalochangia tasnia hiyo kuporomoka. Aunty amesema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha Kikaangoni kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV, na kusema kuwa sehemu kubwa ya wasanii wa filamu nchini […]

Read More..

Shilole Akanusha Kutaka Kuvunja Ndoa ya Nuh...

Post Image

Msanii wa muziki na filamu Shilole amekanusha kurudiana na aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Nuh Mziwanda ambaye kwa sasa ameoa mwanamke mwingine aitwae Nawal. Kupitia mitandao ya kijamii zilizagaa taarifa kwamba wawili hao wamerudia na wako karibu zaidi. Akiongea na Bongo5 wiki hii, Shilole alidai kwa sasa yeye na Nuh ni washikaji na kuna baadhi […]

Read More..