Rais Magufuli Amteua Salma Kikwete Kuwa Mbu...

Dar es Salaam. Rais John Magufuli amemteua Mke wa Rais mstaafu, Jakaya Kikwete, Mama Salma kuwa mbunge wa kuteuliwa wa Bunge la Jamhuri wa Muungano Tanzania. Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu usiku huu, imesema Mama Salma ataapishwa kwa mujibu na utaratibu wa Sheria zitakazotangazwa na Bunge. Uteuzi wa Mama Salma unamfanya […]
Read More..