-->

  1. 1
  2. 2
  3. 3
  4. 4
  5. 5
  6. 6
  7. 7
  8. 8
  9. 9
  10. 10

Rais Magufuli Amteua Salma Kikwete Kuwa Mbu...

Post Image

Dar es Salaam. Rais John Magufuli amemteua Mke wa Rais mstaafu, Jakaya Kikwete, Mama Salma kuwa mbunge wa kuteuliwa wa Bunge la Jamhuri wa Muungano Tanzania. Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu usiku huu, imesema Mama Salma ataapishwa kwa mujibu na utaratibu wa Sheria zitakazotangazwa na Bunge. Uteuzi wa Mama Salma unamfanya […]

Read More..

Wema kama Malkia Chadema

Post Image

BINTI mrembo mwenye wafuasi wengi kwenye mitandao ya kijamii, Wema Sepetu, anahudumiwa kama Malkia na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baada ya kutangaza kukihama Chama Cha Mapinduzi (CCM). Wema, tofauti na wanachama wengine wa Chadema waliojiunga katika miezi ya hivi karibuni, amepewa mlinzi maalumu ambaye atakuwa akimlinda kwa kila atakapokuwa kutokana na kile Chadema […]

Read More..

Muziki wa Taarabu Unapotea kwa Kukimbizana ...

Post Image

Muziki wa Taarabu ulianza kukwama pale Abdul Misambano na vijana wenzake walipoanza kuupa kisogo ule wa asili. Yalikuwa ni mabadiliko ya muda mrefu, yalianzia kwa kibao kama ‘Asu’ lakini miaka michache baadae yakazaa bendi kama Jahazi na nyingine nyingi ambazo kwa pamoja zilijinasibu kwamba zinafanya muziki uitwao ‘Morden Taarab’ au Taradansi. Tangu pale mambo yakawa […]

Read More..

Tumuamini Yupi Kati ya Wema Sepetu au Batul...

Post Image

Wiki chache zilizopita kumekuwepo na mambo mengi ambayo yamekuwa yakitrend kwenye vichwa vya watu kama madawa ya kulevya, watu kupelekwa kuhojiwa na harakati za wanahabari kutaka kujua msanii gani atapanda mahakamani, lengo ni kutaka kuchukua matukio mbalimbali yatakayotokea maeneo hayo. Ukiacha na hayo, kumekuwa na habari ambayo msanii wa Filamu Tanzania, Wema Sepetu kuhamia Chama […]

Read More..

VIDEO: Dayna Atetea Picha Zake za Utata Mit...

Post Image

Msanii wa bongo fleva Dayna Nyange amesema hawezi kuishi maisha ya kumfurahisha kila binadamu bali anaishi kama vile jinsi anavyoona inafaa kwa upande wake ndiyo maana haoni kama kuna tatizo la yeye kuwa na picha za utata katika mitandao. Wakati akihojiwa na kipindi cha eNewz cha EATV leo kutokana na picha zake za utata zinazomuonesha sehemu […]

Read More..

Mama Diamond Atua Rasmi Bongo Muvi

Post Image

DAR ES SALAAM: Mama mzazi wa staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim ‘Sandra’, ametua rasmi kwenye fani ya uigizaji wa sinema za Kibongo (Bongo Muvi). Akizungumza na gazeti hili katika mahojiano maalum, mama Diamond alitamba kwenda kimataifa kwenye upande wa filamu kama anavyofanya mwanaye Diamond akiwa ameshiriki katika utayarishaji na uigizaji wa […]

Read More..

Irene Uwoya Awafungukia Wasanii Wanaodai Ku...

Post Image

Irene Uwoya ni moja kati ya wasanii wa bongo movies walioshiriki kwenye kampeni za uchaguzi za mwaka 2015 akiwa kama kada wa chama cha mapinduzi. kufatia kile kinachoendelea hivi sasa kuhusu madai ya baadhi ya wasanii kudai na wengine kutangaza kulipwa wakati wanaifanya kazi ile ya kukipigia debe chama cha mapinduzi,Irene Uwoya amefunguka haya kupitia […]

Read More..

Wema Sepetu Amfungukia Batuli

Post Image

Ni baada ya Batuli kuongea na waandishi wa habari na kukanusha madai ya kuwa wasanii wa kundi la ‘Mama ongea na mwanao’ lililoshikirika kwenye kampeni za mwaka 2015,wanakidai chama cha mapinduzi. Kupitia mtandao wa Instagram, Wema Sepetu ameweka picha ya rafiki yake huyo wa zamani na kuandika ujumbe ambao umeashiria kuwa urafiki wao ndio basi […]

Read More..

Zitto Alia na Serikali Ugumu wa Maisha

Post Image

Mbunge wa Kigoma Mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo Mhe. Zitto Kabwe amefunguka na kuililia serikali juu ya ukali wa maisha nchini kufuatia gharama za maisha kupanda. Mhe. Zitto Kabwe ameitaka serikali ifanye juhudi na jitihada kupunguza au kumaliza kabisa ukali wa maisha kwa wananchi kwani “Mtwara unga wa ugali ( sembe) Sasa tshs 2000 […]

Read More..

Rais wa Shirikisho la Filamu Afungukia Ishu...

Post Image

RAIS wa Shirikisho la Filamu Tanzania, Simon Mwakifwamba amesema kuwa mikataba na makubaliano ya kuwapigia debe wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2015 hayakuhusisha shirikisho hilo na yeye kama rais wa shirikisho hana taarifa hizo. “Ninachokifahamu ni kwamba, kila msanii alikuwa na mkataba wake binafsi hivyo shirikisho lisingeweza kumzuia msanii kujihusisha […]

Read More..

Baraka Amtaja Mfalme wa Hip Hop Bongo

Post Image

Msanii Baraka The Prince amefunguka na kusema rapa Lord Eyes kutoka Weusi ambaye pia ni msanii aliye chini ya usimamizi wake ndiye mfalme wa hip hop Bongo. Baraka The Prince amesema hayo kupitia kipindi cha Planet Bongo ya EATV na kusema wasanii ambao wana ‘diss’ yeye kumsimamia Lord Eyes katika kazi zake ni wale ambao wanaogopa […]

Read More..

Batuli Akanusha Madai ya Wema Sepetu Kuidai...

Post Image

Muigizaji wa filamu nchini, Yobnesh Yussuf maarufu kama Batuli amekanusha taarifa iliyotolewa na Wema Sepetu kuwa CCM haijawalipa pesa za kampeni ya Mama Ongea na Mwanao kwenye uchaguzi wa mwaka 2015. Akizungumza na wanahabari kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Protea, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ akiwa na Ndumbangwe Misayo ‘Thea’,amesema madai aliyoyatoa Wema Sepetu hayana ukweli wowote […]

Read More..

Ally Kiba, Diamond Kuibeba Serengeti Boys

Post Image

Dar es Salaam. Wanamuziki Ally Kiba na Diamond Platnumz ni miongoni wa wajumbe wa kamati ya watu 10 wa kusaidia maandalizi ya timu ya taifa ya vijana ya Tanzania ‘Serengeti Boys’ Akitangaza kamati hiyo inayoundwa na wanahabari, viongozi wa kampuni na wasanii Waziri wa Habari, Utamaduni Sana’a na Michezo Nape Nnauye amesema jukumu kubwa la […]

Read More..

Ray Kurudi na Nguvu Mpya Kwenye ‘Bong...

Post Image

Msanii filamu Bongo Vincent Kigosi ‘Ray’ amefunguka na kuwaomba mashabiki zake kuwa tayari kuipokea kazi yake mpya ya ‘Gate Keeper’ ambayo ina utofauti mkubwa katika kazi zake alizowahi kuzifanya hapo awali. “Filamu yangu mpya itakuwa ya tofauti sana na itahusisha mastaa wengi kama Single Mtambalike ambaye amecheza kama Professa, Kajala Masanja aliyecheza kama mwananfunzi wa chuo kikuu, Baba […]

Read More..

Wema Sepetu Afunguka Anachokipenda Kwenye S...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu ambaye wiki iliyopita amekihama chama chake cha muda CCM na kuingia CHADEMA amefunguka na kusema kuwa anaipenda sana siasa na siku akifanikiwa katika siasa atafurahi sana kwa kuwa ni kitu anachokipenda sana. Wema Sepetu kupitia account yake ya Twitter amesema ameamua kuhama CCM na kuingia CHADEMA ili kupigania uhuru pamoja […]

Read More..

Lulu Diva Amfungukia Barnaba

Post Image

ZIKIWA zimepita wiki kadhaa tangu msanii wa Bongo Fleva, Barnabas Elius kudaiwa kutengana na mzazi mwenziye, msanii wa Bongo Fleva, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amemfungukia kuwa, ishu hiyo alipoisikia ilimshtua sana. Akichonga machache na Over Ze Weekend, Lulu Diva anayetamba kwa sasa na Ngoma ya Usimwache iliyofanyika MJ Records chini ya Daxo Chali alisema, amekuwa […]

Read More..

Shamsa Amfungukia Haya Gabo Zigamba

Post Image

Msanii Shamsa Ford ameweka wazi hisia za moyo wake kwa Gabo Zigamba kuwa ndiyo mwanaume pekee anayemkubali pindi wanapokuwa pamoja katika kazi za filamu na kuhisi kila wanachokifanya ni ukweli na uhalisia. Shamsa amebainisha hayo kupitia moja ya mtandao  kijamii anaoumiliki kwa kuweka picha inayowaonesha wawili hao wakiwa mbali kihisia huku ikiwa imebebwa na ujumbe […]

Read More..

Mzee Chillo Alia na Wataalamu wa Afya Muhim...

Post Image

MSANII nguli wa Filamu za Kibongo, Ahmed Olotu, ‘Mzee Chillo’ jana aliwafungukia baadhi ya wataalamu wa afya wa Chuo Kikuu cha Muhimbili (University of Health and Allied Sciences), jijini Dar, kuachana na mambo ya rushwa ili kuwafanya wananchi kuwa na imani nao. Mzee Chillo alisema hayo kwenye Warsha ya  Kilangi For Youth Academic Social Premier, […]

Read More..