-->

  1. 1
  2. 2
  3. 3
  4. 4
  5. 5
  6. 6
  7. 7
  8. 8
  9. 9
  10. 10

VIDEO:Lukuvi Kumchukulia Hatua Aliyempa Mak...

Post Image

Dar es Salaam. Waziri wa Ardhi, William Lukuvi amesema atamchukulia hatua mfanyabiashara aliyemkabidhi, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda eneo kwa ajili ya viwanda kwa sababu eneo hilo si lake ni mali ya Serikali. “Sitaki ardhi itumike kama sehemu ya wafanyabiashara kutakatishia fedha zao chafu,”amesema Lukuvi leo (Jumatatu) katika mkutano na waandishi […]

Read More..

Filamu ya Gate Keeper Kuzinduliwa Suncrest ...

Post Image

MTAYARISHAJI na muongozaji mahiri katika tasnia ya filamu Swahilihood Vincent Kigosi kupitia kampuni yake ya R J kwa kushirikiana na Steps Entertainment Ltd itarajia kuzindua filamu kali na ya kusisimua ya Gate Keeper katika ukumbi wa Suncrest Cinema uliopo Mwalim Nyerere. Sinema hiyo itazinduliwa tarehe 3.3. 2017 huku ikiambatana na matukio makubwa kama vile Red […]

Read More..

VIDEO: Irene Uwoya Ataja Kilichomkosesha Ub...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Irene Uwoya amefafanua sababu za kutopitishwa na chama chake cha CCM kuwa mbunge wa Viti Maalum vya wanawake, na kusema kuwa kilichomuangusha ilikuwa ni kura za Rais kuwa chache. Uwoya alikuwa akijibu maswali ya wapenzi na mashabiki zake LIVE kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV, ambapo swali la kwanza kabisa kuulizwa, […]

Read More..

Nimezaliwa Upya, Subirini Cheche!-TID

Post Image

VITA vya dawa za kulevya imeshika kasi huku tukiona wasanii wakizungumziwa kutokana na kujihusisha na matumizi ya dawa hizo. Matumizi ya dawa za kulevya yamechangia kwa kiasi kikubwa kuharibu ndoto za watumiaji. Watumiaji katika jamii ni wengi huku sanaa ikiwa ni moja ya wahanga wakubwa wa tatizo hilo. Ni rahisi kuwatambua wasanii wanaojiusicha na matumizi […]

Read More..

Shamsa: Nilijua Matatizo yatamkuta mume wan...

Post Image

SIKU chache baada ya mumewe, Chid Mapenzi kupata msala wa madawa ya kulevya na kuswekwa Kituo Kikuu cha Polisi (Sentro), Muigizaji Shamsa Ford amesema kamwe haiwezi kutokea akamuacha mumewe kwani tangu awali, alijua siku moja mumewe anaweza kupata matatizo kama hayo. Muigizaji huyo alisema tayari mitandaoni kumeshaanza kuenea uvumi kuwa huenda akamuacha mumewe kutokana na […]

Read More..

Rais Magufuli Asema Epa ni Ukoloni Mwingine

Post Image

Dar es Salaam. Rais John Magufuli amemweleza Rais wa Uganda, Yoweri Museveni kwamba Mkataba wa Ushirikiano wa Uchumi na Jumuiya ya Ulaya (EPA) ni aina mpya ya ukoloni utakaoua maendeleo ya viwanda katika nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Siku ya mwisho ya kusaini mkataba huo ilikuwa Oktoba mosi mwaka jana, lakini katika kikao […]

Read More..

Watanzania Waliomba Majina ya Watumia ‘Un...

Post Image

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema kutajwa hadharani kwa wahusika wa dawa za kulevya kumetokana na maombi ya Watanzania chini ya uongozi wa awamu ya nne. Makonda amesema katika uongozi wa Rais Jakaya Kikwete alipigiwa kelele ili awataje wahusika wa dawa za kulevya lakini aliamua kuacha vyombo vyenye […]

Read More..

Martin Kadinda Aanika Kinachomponza Wema Se...

Post Image

MWANAMITINDO Martin Kadinda, amefunguka kuwa kinachomponza Wema hadi ajikute anaingia kwenye misala mbalimbali ya kipolisi ni watu wanaomzunguka. Kadinda ambaye pia ni meneja wa msanii huyo, alisema ili Wema aweze kufanikiwa maishani, hana budi kuwaweka pembeni baadhi ya marafi ki ambao wana tabia chafu kwani mara nyingi wamekuwa wakimsababishia matatizo mbele ya jamii. “Siwezi kuwataja […]

Read More..

TID Kumshtaki Steve Nyerere, ni Baada ya Ku...

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki Khalid Mohamed ‘TID’ ameahidi kuwachukulia hatua watu wanaosambaza taarifa kuwa alipewa pesa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kama kivuli katika sekeseke la kutaja majina ya wanaohusika na dawa za kulevya. Muimbaji huyo alisema yeye alikuwa ni muathirika wa dawa za kulevya na serikali ilimkamata kwa kosa […]

Read More..

Matatizo Yamemfunza – Shamsa Ford

Post Image

Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford ambaye siku za karibuni muwewe alipatwa na maswahibu na kujikuta chini ya mikono ya polisi kwa tuhuma za kujihusisha na matumizi au kufanya biashara ya madawa ya kulevya. Inawezekana kufuatia matatizo aliyopata muwe wake, Shamsa Ford amepata kujifunza kuwa siku zote watu ambao wewe unaweza kuwaona ni marafiki wakawa […]

Read More..

Steve Nyerere Aongea na Wanahabari, Amkaang...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Steven Mengele a.k.a Steve Nyerere amefanya mkutano na waandishi wa habari kwenye Ukumbi wa Millenium Tower, Makumbusho jijini dar es Salaam. Steve Nyerere: Naomba radhi kwa watu wote ambaye nimewataja mule ndani kwenye ile sauti iliyosambaa kwenye Mitandao ya Kijamii(audio), nilifanya kwa kulinda chama changu na sikutaka dada yangu aniache. Nia […]

Read More..

Wastara Atapeliwa Mamilioni

Post Image

STAA wa filamu za Kibongo, Wastara Juma (pichani) amejikuta katika wakati mgumu baada ya kutapeliwa mamilioni ya fedha na kampuni moja ya simu ya Wachina baada ya kuingia nao mkataba wa kuwa balozi wao hapa nchini. Wastara aliingia mkataba na Wachina hao mwaka jana ambapo alitakiwa awe analipwa shilingi milioni 400 kwa mwaka lakini ghafla […]

Read More..

VIDEO: Mzee wa Upako Amuonya Nay wa Mitego ...

Post Image

Baada ya hivi karibuni msanii wa hip hop, Nay wa Mitego kutangaza kuwa atafungua kanisa lake ambalo litakuwa si la biashara bali ni la kumuabudu Mungu aliye hai, Mchungaji maarufu nchini, , Lusekelo Anthony aka Mzee wa Upako amemuonya kutomchezea Mungu. Mzee wa upako ameyasema hayo alipotafutwa na E-News ya EATV baada ya kuulizwa maswali […]

Read More..

Jackline Wolper: Marafiki Wapya Hutuharibia...

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Jackline Wolper, ameweka wazi kwamba hataki kusikia habari za kuwa na marafiki wapya, kwa madai kwamba ndio wanaoharibu misingi ya maisha yake. Wolper aliliambia MTANZANIA kwamba, wakati wa kupata marafiki wapya huwa mzuri, lakini baadaye hujikuta katika matatizo yasiyokwisha. “Sisi mastaa tuna kazi kubwa, kila siku tunakutana na marafiki wapya […]

Read More..

VIDEO: JPM Ajitokeza Kumsaidia Neema Mwita

Post Image

Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amewapongeza Madaktari wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa juhudi kubwa walizofanya kunusuru maisha ya Neema Mwita Wambura ambaye alijeruhiwa kwa kuunguzwa na maji ya moto kifuani, shingoni na mkononi. Pongezi hizo za Mhe. Dkt. Magufuli zimetolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu Bw. Gerson Msigwa muda […]

Read More..

VIDEO: Uwoya afungukia Kutoka na Harmorapa

Post Image

Msanii wa filamu nchini Irene Uwoya amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye hajawahi kutoka kimapenzi na Harmorapa na wala hajawahi kukutana na msanii huyo bali amekuwa akimsikia tu akifananishwa na Harmonize na hajawahi hata kukutana naye. Akiongea kwenye kipindi cha KIKAANGONI kinachoruswa mubashara kila siku ya Jumatano kwenye ukurasa wa facebook wa EATV, Irene Uwoya amesema […]

Read More..

Video: Alikiba Alivyovutia mashabiki Kwenye...

Post Image

Alhamis hii, Alikiba alialikwa na ubalozi wa Marekani nchini Afrika Kusini pamoja na IBM kwenda kuhudhuria uzinduzi wa filamu iitwayo, Hidden Figures. Kwenye uzinduzi huo, Kiba alikuwa kivutio kikubwa cha mashabiki waliohudhuria. “It was a heartfelt experience spending the evening with girls who were recently rescued from child trafficking. I pray for your peace and […]

Read More..

Mkutano wa Wema Sepetu na Waandishi wa Haba...

Post Image

Miss Tz 2006, Wema Sepetu na familia yake wamefanya leo mkutano na waandishi wa habarinyumbani kwao Sinza-Meeda. Wema Amewasili na Kuanza Kuongea kama ifuatavyo: ⁠ ⁠Mama wema: Habari za mchana, nawakaribisha ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Wema: Kwa jina naitwa Wema Sepeti Isack Abraham ⁠⁠⁠⁠ ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Wema: Naomba mnisamehe kwa kufika kwa kuchelewa ⁠⁠⁠⁠ ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Wema: ⁠⁠⁠Sitakuwa na mengi ya kuongea, nataka […]

Read More..