Artists News in Tanzania

Picha: Bata la Diamond na Zari Huko Zanzibar

Baada ya kumfanyia sherehe ya kuzaliwa mpenzi wake Zari, staa wa bongo fleva, Diamond Platnumz  akiwa na mcheza danci wake Moses Iyobo ambae ameambatana Aunt Ezekiel wameendelea kula bata visiwani Zanzibar.

Hizi ni baadhi ya picha zao

Comments

comments

Exit mobile version