Artists News in Tanzania

Picha: Show ya ‘The Black Tie’ ya Wema Sepetu na Christian Bella

Msanii wa muziki Christian Bella amefanya show ya nguvu katika show ya ‘The Black Tie’ ambayo iliandaliwa na malkia wa filamu Wema Sepetu.
Steve Nyerere akimwagia mapesa Christian Bella
Steve Nyerere amwaga mapesa kwa Christian Bella

Show hiyo ambayo imefanyika usiku wa Jumamosi hii katika ukumbi wa King Solomon jijini Dar es salaam, imeacha historia ya aina yake katika muziki kutokana wadau mbalimbali pamoja na mastaa wa filamu kushindana kumtuza msanii huyo. Katika show hiyo pia Bella alisindikizwa na Linex, Barnaba pamoja na Linah.

Pia mkali huyo wa masauti aliweza kuzindua CD yake ya show ya miaka 10 ya Christian Bella iliyofanyika mwezi mmoja uliyopita. Aliangalia za matukio ya show hiyo.

Bella akikusanya mshiko kwanza


Bella akimwagiwa dola


JB akimwaga pesa kwa Christian Bella


JB na Irene Uwoya


Mwendo wa pesa tu


Steve Nyerere na Mama Wema we acha tu


Irene Uwoya akimtuza Bella

Bella akicheza na bosi aliyemmwagia dola za kutosha


Bella akifanya yake


Bella, Wema Sepetu pamoja na Idris Sultan


CD mpya ya miaka 10 ya Christian Bella ikizinduliwa


Mama Wema akisaliamia mmoja kati ya wageni wa VIP


Mwendo ya pesa tu


Pesa kwanza mengine baadae


Shilole akisakata rumba na Esha Buheti


Steve Nyerere na Mama Wema we acha tu

Chanzo:Bongo5

Comments

comments

Exit mobile version