Wasanii wa filimu nchini wakiongozwa na Odama, Ijumaa hii wamefanya misa ya kumbukumbu ya kifo cha msanii wa filamu Rachel Haule.
Wasanii mbalimbali kama Ray Kigogo, Odama, Esha Buheti Steve Nyerere, Sabrina Rupia, Maya Mrisho, Senator Msungu Richie Mtambalike, JohariChagula pamoja na Lamata walihudhuia misa hiyo ambayo ilitawala majonzi.
Comments
comments