Artists News in Tanzania

Picha:Madam Flora Afunga Ndoa Leo na Daudi Kusweka

Manamuziki maarufu wa nyimbo za Injili, Flora Flora, ambaye ni mjukuu wa aliyekuwa muhubiri maarufu nchini, Askofu, Moses Kulola (sasa marehemu), amefunga ndoa leo tarehe 30/04/2017 jiji Mwanza na mchumba wake Daudi Kusweka.

Hizi ni baadhi ya picha za harusi hiyo.

Madam Flora akielekea sehemu ya kufungia ndoa

Comments

comments

Exit mobile version