Artists News in Tanzania

Picha:Mechi ya TP Mazembe na Yanga,Mashabiki Walivyofulika Uwanjani

Mechi ya kombe la Shirikisho kati ya timu za Yanga na TP Mazembe imekuwa ya aina yake na kuingia kwenye historia baada ya mashabiki kuingia uwanjani asubuhi na uwanja huo kujaa saa tano asubuhi na mageti kufunga, mechi hiyo itapigwa saa kumi jioni.

Comments

comments

Exit mobile version