Artists News in Tanzania

Pichaz: Walichokifanya WCB hapo jana Uwanja wa Samora Iringa

Jana katika kusherekea sikukuu ya Christmas,timu nzima ya WCB na wasanii wake wakiongozwa , Diamond Platnumz, walioangusha show kubwa kwenye viwanja vya Samora mjini Iringa.

Picha zinaonesha jamaa walivutia nyomi ya kutosha. Jione picha hapo chini.

Comments

comments

Exit mobile version