-->

Shilole, Vanessa Wamaliza Bifu Lao

WAREMBO wanaofanya vyema kwenye tasnia ya muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, Vanessa Mdee, usiku wa kuamkia leo wameweza kuvunja bifu lao ambalo limekuwa likivuma kwenye mitandao ya kijamii baada ya kukamua kwenye steji moja ndani ya ukumbi wa Bilicanas.

shilole11

Shilole (kulia) akipashana jukwaani na Vanessa kabla ya shoo hiyo kuanza.

shilole541

Vanessa na Shilole wakijaribu kuelezea juu ya bifu lao.

shilole452

Shilole akifanya makamuzi.

vanessa12

Vanessa akikamua jukwaani.

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364