-->

Steve Amtwisha Jukumu la Filamu Makonda

MSANII wa filamu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ ameshikilia bango la kutaka filamu za nje zizuiwe hapa nchini kwa kuamini kuwa, soko la filamu za Kibongo litazidi kutanuka na kufanya vizuri.

MAKONDA732

Akipiga stori na paparazi wetu alisema, kila anapofikiria masuala ya filamu jambo hilo huwa linazidi kumnyima raha na kumtaka Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kulishughulikia kwa kuwa yeye ni kiongozi wa serikali kuhakikisha wasanii wa filamu za Kibongo wanakuwa na amani katika kazi zao.

“Nimefurahi sana Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar. Namuomba alifanyie kazi suala la filamu za kigeni, ahakikishe hazipati nafasi kubwa isipokuwa filamu zetu,” alisema Steve.

Chanzo:GPL

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364