-->

Tag Archives: MAI

Bila Kujuana Bongo Kutoka ni Kazi- Mai

Post Image

MSANII chipukizi wa Filamu Bongo Maimuna Salum ‘Mai’ amefunguka kwa kusema kuwa wasanii chipukizi kupata nafasi za kuigiza ni mtihani kwani bila kujuana na Muongozaji au mtayarishaji inakuwa si rahisi kupewa nafasi kucheza nafasi kubwa japo katika malipo napo kuna changamoto zake. “Tunaipenda sanaa lakini kuna changamoto kubwa sana kwani kama hauna urafiki na Director […]

Read More..