Artists News in Tanzania

Tanzia: Pigo Tena Bongo Movie, Muigizaji Haji Jumbe Afariki Dunia

Muigizaji wa tamsthilia hapa Bongo, Haji Jumbe, ambaye amekuwa akiigiza kama Mr. Benson katika tamthilia ya Siri za Familia inayorushwa na EATV amefariki dunia jana Jumatatu jioni, Oktoba 24, katika Hospitali ya Kinondoni kwa Dr. Mvungi.

jumbe932

Haji Jumbe Enzi za Uhai Wake

Imearifiwa kuwa, siku chache kabla ya kifo chache, zilizopita alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya tumbo.

Mazishi yanatarajia kufanyika leo Jumanne majira ya saa 9:00 Alasiri, huko Bagamoyo, Pwani.

 

Comments

comments

Exit mobile version