-->

Ujumbe wa Haji Manara Kwa Wema Sepetu

Manchester United jana imeendelea kutengeneza njia ya kuignia kwenye nafasi nne za juu baada ya kuifunga Chelsea mabao 2-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England ‘Premier League’ kwenye Uwanja wa Old Trafford.

Baada ya mechi hiyo msemaji wa timu ya Simba, Haji Manara  ambae mara kadhaa ameonesha kumkubali sana muigizaji Wema Sepetu alisema hivi kupitia akaunti yake ya Instagram Ufundi wa Hererra pale OT leo,,ni zaid ya kumuona Wema Sepetu akiwa na kanga moja iliyolowa maji @shaffih @edokumwembe @wemasepetu ??? #GGMU ?

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364