-->

Video: Gigy Atoboa Kisa cha Kugombana na Mpenzi Wake Mo J

Mtangazaji wa kipindi cha Lavidavi cha ChoiceFm, Gigy Money amefunguka kwa kueleza kilichosababisha akagombana na mpenzi wake Mo J na jinsi walivyomaliza ugomvi wao.

Akiongea na Bongo5 wiki hii, Gigy amedai aliumizwa na kitendo cha kupigwa na mpenzi wake huyo baada ya kugundua amechepuka.

“Kuna mambo yalitokea, Mo J alichepuka mimi nikamshtukia, kwa baada ya kumwambia akaanza kunigiga,” alisema Gigy Money.

“Lakini namshukuru mungu yameisha baada ya mimi pia kuchepuka, kwa sababu labda alikuwa hajui maumivu ya kuchepuka, kwahiyo sasa hivi tupo sawa,”

Bongo5

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364