-->
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda amezindua barabara ya Shimo la Udongo, Kilwa EPZ iliyopo kurasini ya Kilomita moja; Iliyojengwa kwa kiwango cha zege na kampuni ya wazalendo ya Grant Tech iliyogharimu takribani milioni 350.
comments
Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364
Maneno ya Irene Uwoya kwa Msami ‘Usi-force, panic na yako’
Vazi la wolper yaleta gumzo.
Sugu, Masonga jela miezi mitano
Multichoice imekuja na THE PUNGUZO- Miezi miwili (2) bure!